Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ilipaswa niwaache waende zao mapema..,ila kiume nikakomaa nikidhani nafanya kitu sahihi ..,

Leo hii wao ndio wamesepa zao na kuniacha mwanaume naweweseka na ndoto juu yao

natamani nirudi miaka saba nyuma na kufanya maamuzi tofauti.,

mana hali niliyo nayo leo haipaswi kuwa kwa mwanadamu yoyote yule
 
Sina ninachojutia. Kila nilichopitia kilikuwa daraja la kunifikisha nilipo hivi sasa.
Najitahidi kuwa bora, nisiwe kama nilikotoka.

Majuto yafaa nini ikiwa maisha ni sasa?
Anza kuishi sasa, achana na yaliyopita.
Word...
 
Whaaaaaat? Kumbe ni comment bora ya siku?
Mdakuzi njoo usikie huku.
Asante kwa taarifa Mkuu 🙏🏽
Ni maoni bora b... kwa kuwa yanashawishi watu kusonga mbele na siyo kubaki kwenye makosa ya nyuma.

Kuishi ni mwalimu mzuri, na tunajifunza kwa yaliyopita, kwa maana ya makosa tusiyarudie na tuliyopatia tuyaendeleze.

Ova
 
Ni maoni bora b... kwa kuwa yanashawishi watu kusonga mbele na siyo kubaki kwenye makosa ya nyuma.

Kuishi ni mwalimu mzuri, na tunajifunza kwa yaliyopita, kwa maana ya makosa tusiyarudie na tuliyopatia tuyaendeleze.

Ova
Lakini, wenzi bora ndio wanaoibadili dunia.

Mimi kubadilishwa na mmoja mpaka nimefikia kuwa na mtazamo chanya juu ya maisha yaliyopita, na kuwashawishi wengine… Wakipatikana wengine kama mimi dunia itabadilika kwa kiwango kikubwa.
 
Lakini, wenzi bora ndio wanaoibadili dunia.

Mimi kubadilishwa na mmoja mpaka nimefikia kuwa na mtazamo chanya juu ya maisha yaliyopita, na kuwashawishi wengine… Wakipatikana wengine kama mimi dunia itabadilika kwa kiwango kikubwa.
B... kila mabadiliko huwa na sababu, vizuri imekuwa ni mabadiliko ya kuimarika na kujenga.

Inshallah, busara ziongezeke ili tuifanye dunia kuwa sehemu salama na yenye kuifurahia.

Ova
 
Kuingia kwenye mahusiano kijingajinga, matokeo yake kupoteza dira,nimekua kama muizraeli,yaani sehemu ya kutumia siku 40,najiona kabisa natumia miaka 40 kuifanikisha safari yangu,na hatakama nikifikia lengo,sintakua na furaha kama ile ambayo ningeipata endapo ningefikia lengo kwa wakati.Anyway,natamani hata niumbwe upya nisome kwa tahadhari,nikwepe makosa ambayo nimepitia.
 
Tuewekee hapa uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Kutomba bila kondom na kuwajaza mademu mimba
 
Back
Top Bottom