Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

UOGA.

Hili neno limenirudisha sana nyuma. Nìlikuwa muoga sana wa kufanya maamzi kwenye mambo yangu na kama ujuavyo vitu vingi ambavyo binadamu anatakiwa kuvifanya huwa vina age limit.

Sasa unakuja kupata ujasiri wa kufanya ulichoogopa kukifanya jana,umri nao unakukataa
 
kweli mkuu
 
Nilichokosea nikua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…