Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Mimi binafsi nikikuta mwanamke mwenye nyashi ya haja najua hapo hela ipo
 
Umenikumbisha kisa Cha yule mchezaji anaitwa Kurt Zouma (sijui kama nimeamdika sawasawa)... Huyu jamaa alituhumiwa kumpiga Paka wake.... Wazungu walikuja juu mpaka jamaa akawa anakatwa mshahara wake.... Na akafunguliwa mashtka kwa kosa la kunyanyasa wanyama.... Ilivuma sana hii kesi pale England.....🤣🤣🤣
 
Congratulations, ipo siku na mimi nitakuwa naamka kwenda ofisini narudi nyumbani jioni
 
Congratulations, ipo siku na mimi nitakuwa naamka kwenda ofisini narudi nyumbani jioni
Kutoka ndani ya uvungu wa moyo nakuombea mkuu kikubwa usichague kazi kamwe huwez kupata kazi kama hauna kazi humu humu kwny maofisi tunayoanza nayo ndiyo tunakutana na fursa mpya.

Kikubwa kuwa muadilifu na mchapakazi kuna watu wanakufatilia pasipo wewe kujua hii ndiyo kitu pekee ilonifanya nikawa shifted kutoka nilipokuwa mpaka nilipo, jali na upende unachofanya.
 
Na kuna zingine ukizaliwa umekwisha😅😅
 
Apo chacha.
Yale ma apartments ya kariakoo jee yanavoning'inia maguo. Ht haipendezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…