Hy bill yake alilipia nini au ilikuwa n muamala wa nn?Kuna ofisi moja nilikuwa nafanya kazi miaka kma mitatu nyuma, nlikuwa cashier mm na mwenzng.
Akaja mteja mmoja wkt huo mm nilikuwa namuhudumia mteja mwengine mwenzng akampokea uyo jamaa, sasa jamaa bill yake ilikuwa inasoma milion mbili na jamaa alitoa card ya bank kulipia.
Kikichotokea mwnnzg akakosea kuandika zile digits baada yakuandika two milions jamaa akakosea akaandika milion mia mbili na akaprint na risit na akampa jamaa nae akaondoka wote bila kujua.
Mziki ukaja wkt wakufunga hesabu tukashangaa mbona mauzo yapo juu kuliko kawaida huku na huku ndiyo kugundua error ilofanyika huwez amini ilipita wiki nzima na jamaa hakushtuka kabisa uzuri kwny risit kuna option yakuandika namba ya mteja ndiyo anapigiwa anaambiwa yan hata yeye hana hbr wala kushtuka ikabidi kampuni imuombe samahan tu aje na jamaa alikuja kurud badae sna nkasema kuna watu wana mbumba aisee milion mia mbili inatolewa na bdo mtu hashtuki.
Unamaanisha sisi wenye MADIVISHENI ZIRO tumelelewa na makapuku?Wee kumbe wa kishua...
Ndo mana ulikua una akili sana class
ππππ
Daddy najua wewe ni mtoto wa kishua, ndio maana hata AJIRA PORTAL wakizingua unaenda tu mamtoni kula raha. Usinisahau.Hy bill yake alilipia nini au ilikuwa n muamala wa nn?
Wakuu,
Disclaimerπ«’ Hapa hatuongelei pesa madafu
Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwaoπ€£π€£π€£π€£
Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani
Hata mimi ningeshtuka kwa kweli π
Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
Ulienda kwenye jumba la mshangazi ndo ukakutana na hayo?Friji limejaa ma yogurt, masamaki, manyama...
Watu wengi tuna circle za kuonewa huruma πMi sijawahi kwenda popote nikashangaa, ama kweli hii circle yangu inabidi niitathimini .
Kama ulaya na marekani kulikua mbali Sana in terms of infrastructure & technology.
Vitu Kama washing machine,bomba la mvua linalo toa maji moto na baridi bafuni, vitu Kama oven, fridge,Tv, jakuzi, pasi ya umeme yaan ilikua nadra Sana miaka ya 89's kumiliki ivyo vitu.
Wachache Sana ndio walikua na hiyo access
Ndo niko kwenye shabiby nimetoka kufanya usaili, aisee mambo n magumu mno πDaddy najua wewe ni mtoto wa kishua, ndio maana hata AJIRA PORTAL wakizingua unaenda tu mamtoni kula raha. Usinisahau.
Cc: USA baby Nyani Ngabu Poor Brain
Hahahaaaaa uuuuwi mbavu zangu leoNawaza tu jinsi paka alivyo na mazarau na nyodonyodo akiona mweusi. Na huyo mzungu mwehu sana anasema tunampa stressπ€£π€£π€£
πππππ mie naenda wiki ijayo....Ndo niko kwenye shabiby nimetoka kufanya usaili, aisee mambo n magumu mno π
Nitoe wapi? πππWewe
Una biashara gan sahivi
Achana na hicho kijiwe chenu, mnalambishana uongo sanaunashanga mil 5. baresa kila mwez pesa ya matumiz kila mtoto analamba m 500
Kaza ππππππ mie naenda wiki ijayo....
"SELECTED FOR ORAL INTERVIEW"
Tushikamane.
Ilikuwa items tofauti tofauti and sina kumbukumbu mana sikuwa mm nlokuwa namuhudumia.Hy bill yake alilipia nini au ilikuwa n muamala wa nn?