ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Unakutana na car park ina magari hadi unashika mdomo, yote 100m+ na yapo kama matano hivi, unangalia mazingira unasema kweli watu wanaishi vizuri, ukiingia ndani kuna sebule tatu-nne hivi, unaambiwa come this side tuongee, huko tuwaache wanaoangalia 📺, its a place for talks/serious convo.
Huwa nasema nikimiliki kitu ya vile nitashiba mda wote.
Huwa nasema nikimiliki kitu ya vile nitashiba mda wote.