PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Ana tako kubwa?Ngoja akilala nimpime mkuu. Mbishi na mtata mno akiwa macho suala la kumpima ni linaweza leta shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana tako kubwa?Ngoja akilala nimpime mkuu. Mbishi na mtata mno akiwa macho suala la kumpima ni linaweza leta shida.
Nikisema utanicheka.Ana tako kubwa?
Sema mkuu najaribu ku imagine mwanamke mrefu akiwa na tako kubwa atakuwaje niambie pleaseNikisema utanicheka.
DuuhHata hiyo ofisi nilokuwa nafanya kazi most of the customers ni watu wenye status ndiyo wateja wakubwa tena wengi ni kutoka nje ya nchi na kama ni wateja wa ndani ya nchi basi ni watu mashuhuri na wakishua ningeitaja jina hakuna ambae haijui humu ila naweka kwny mabano humo ndyo nilipata connection ya watu mashuhuri ndani na nje ya nchi mpaka nikaacha kazi.
Hapana mkuu, hoja ilikuwa nguo zinaanikwaje na makalio hayana kazi wakati wa kuanika nguo.Sema mkuu najaribu ku imagine mwanamke mrefu akiwa na tako kubwa atakuwaje niambie please
Basi mpime urefu uniambie nasubiri hapa 🙇🏿♂️🙇🏾♂️Hapana mkuu, hoja ilikuwa nguo zinaanikwaje na makalio hayana kazi wakati wa kuanika nguo.
Ni kweli mkuu soma hapaKuna mtu alisema eti Bakhressa anaingiza zaidi ya billioni 2 kwa siku moja.
Nilishindwa kumzuia maana sina uhakika wa hoja za msingi
Kwann unasema hivyo?Huu uzi bila huyu mwamba haujakamilika
Said lugumiNikikuta car park ina kiyyoyozi ndani
Kwa nini ikiwa mpaka ulaya kuna kamba za kuanikia nguo "niliona katika comedy"Mi nikikuta nyumbani kwako kuna kamba ya kuanikia nguo najua we ni njaa kali mwenzetu
"Hata wakikuwa" ulimaanisha nini mkuukifupi maisha kwenu yakiwa kwenye hali nzuri kuna uwezekana mkubwa sana watoto pia wakaishi maisha mazuri tu hata wakikuwa
Hakika!Huu uzi bila huyu mwamba haujakamilika
Utakuwa sio binadamu wewe, ila niliwahi kumuona jamaa anacheza mpira lkn hatoki jasho hata kidogo na ni Dar.Nawakilisha, nna siku 6 leo sijaoga na niko dar ...
Piga chini wote 🤣🤣Mi sijawahi kwenda popote nikashangaa, ama kweli hii circle yangu inabidi niitathimini .
Mbona vituo kibao vilivyo karibu na barabara kuu viko karibu na makazi ya watu, ni hatua chache tu na nyumba ya kuishi.Huyo alikudanganya mkuu, kwanza EWURA hawawezi kutoa kibali na pia OSHA hawawezi wakatoa kibali cha kuweka fuel station kwenye makazi ya mtu.
Huyo ana shida ya Maji machache mwilini, Dehydration ..Utakuwa sio binadamu wewe, ila niliwahi kumuona jamaa anacheza mpira lkn hatoki jasho hata kidogo na ni Dar.