JF sio sehemu ya kutafuta me / ke kila issue yako itaanikwa hukuTuelezee sisi tuliokutana na wenza wetu jf, mazingira yanaashiria kitu gani?
Naingiza baby pokea tamuuuuu yakooo hiyooooIngiza yoootreeee ๐
Alifanyiwa diversion, akapimwa HIV bila kujua, baada ya kuona yuko clean. Akalala siku hiyo.Ukalisasambua ukalila mpk mifupa ๐๐๐
Kumbe una daktare na husemiTulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
Kwa nini ianikwe mkuu? Yaani nioe mke anianike? Anaanzaje...JF sio sehemu ya kutafuta me / ke kila issue yako itaanikwa huku
Mkuu itakuwa siku shemeji alitoka na kanga moko kuchota maji ukaingia lineTulikutana nyumba za kupanga
Hzo hata ukioa hua zipo tuBado yale masuria ya dk 1 km jogoo ๐น๐น
Show show unakaza nati mpaka prize inakatika.Kwa nini ianikwe mkuu? Yaani nioe mke anianike? Anaanzaje...
Amka utajikojolea ๐น๐น๐นNaingiza baby pokea tamuuuuu yakooo hiyoooo
mwamba una mbinu za kivita.. saluteNlikutana nae kwenye Bus akawa anasumbua kinoma kila sehem anauliza hapa ni wapi mi nikaona ananizingua sasa ili nisimjibu nikaamua nijidai nimelala sasa akaanza kuniuliza maswali bila kujua mi nimefunga macho na nimejidai nimelala kaongea kama dakika 5 akageuka kuniangalia akanicheki kama sekunde 10 ananishangaa nimelala sangapi nikajikuta nimecheka ndo hapo tukaanza kucheka hadi ikawa hivyo
๐คฃ๐คฃhapana sema yale mazoea ya ujirani mwema hadi imekuwa kweli na hadi tukafunga ndoaMkuu itakuwa siku shemeji alitoka na kanga moko kuchota maji ukaingia line
4yrs na huna mpango wa kumuoa...ukilogwa usisumbue waganga ๐คฃMoja tulidate miaka 6, za wapendanao zikatimia......wa saiv tuna 4yrs
Safi sana mkuu ulifanya vizuri kujiongeza๐คฃ๐คฃhapana sema yale mazoea ya ujirani mwema hadi imekuwa kweli na hadi tukafunga ndoa
Kumbe ndio zenu kutupiga kipapai4yrs na huna mpango wa kumuoa...ukilogwa usisumbue waganga ๐คฃ
Na ulifanya kusudi sababu ushamuelewa ๐น๐น๐นAlifanyiwa diversion, akapimwa HIV bila kujua, baada ya kuona yuko clean. Akalala siku hiyo.
Haiwezekani kwa tabia hii ya huyo daktari kama waziri mwenye dhamana lazima niingilie Kati. Anampiga denda mgonjwa ... this is ridiculousNa ulifanya kusudi sababu ushamuelewa ๐น๐น๐น
Mimi bana aliniambia nyie madent hamjatulia njoo nikupime, na mimi najijua mtulivu nikampa mkono toa damu dr nipime.!!
Ila hapo kiroho kiko juu juu, nikamwambia naomba niende toilet mara moja akapiga simu maabara nikaletewa kopo likashushwa shuka la kijani nikojoe ๐๐๐
Ile siku mpk ujauzito nilipimwa dadeq.!!
Nikajipigisha simu ya uongo nikajifanya network haishiki ili nikimbie si akanipa simu yake.!! ๐น๐น
Nilitamani nimtukane alinikwaza sana mwenzie nilikuwa na beep
Majibu yalivyotoka niko fresh niliruka kwa furaha naye si akanihug akanila mate ๐คฆโโ๏ธ
Basi matibabu mengine yakaendelea mpk leo
We miaka minne yote unakuja kumwambia sikuhitaji...we kuwezaKumbe ndio zenu kutupiga kipapai
Kisha tusome koments sieee!