Ulikutana vipi na mwenza wako? Je, mazingira yanafungamana na tabia ya mtu?

Ulikutana vipi na mwenza wako? Je, mazingira yanafungamana na tabia ya mtu?

Hao ndo balaa Tena rafikizangu mmoja kaolewa na mwanajeshi mmoja anadate na mwanajeshi ni wanapokezana kulia weekend hii akija huyu weekend ijayo mwingine mm ndo mama mbembelezaji 🤣😃😃
Doh😁😁🙌🙌🙌
 
Yaan Hao ndo balaa
🤣🤣Mpenzwangu wa zamani alikuwa mwanajeshi aisee tulivoachana nikagoma kurudiana nae akaanza kunitisha akinikuta na mwanaume ananibutua mm na huyo bwana 🤣🤣🤣
Akanikuta somewhere nakula mbeleyangu Kuna mkaka amenikazia macho ugomvi ghafla nilikuwa sijamuona alivoingia 😃😃

Nikawa nikimuona nabadili njia akamfata ndugyang akamwambia. Mwambie ndugyako akiolewa nakuja kufanya Fujo akaniletea ujumbe na mwenyew live lazima anibutue siku ya ndoayako 🤣🤣🤣
Olewa na mwanajeshi 😁😁😁ili wapigane vizuri
 
Nilikutana naye ofisini kwake.. Yeye ni designer na nilimpeleka Bi mkubwa kwenda kupima nguo..
 
Back
Top Bottom