vn_warehouse
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 648
- 854
Kwahiyo mpaka leo we ni mgonjwa wakeTulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake 🥰🥰🥰🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mpaka leo we ni mgonjwa wakeTulikutana hospital nilikuwa naumwa halafu yeye ni dr basi akanibembeleza mgonjwa wake 🥰🥰🥰🥰
Wifi kwa dr nimefika nisiwe muongo 😹😹😹
😹😹😹 mpk keshoKwahiyo mpaka leo we ni mgonjwa wake
Wewe nakupa siku 2 utasema uko single umeachiwa watoto watatu 😂😂Wifi kwa dr nimefika nisiwe muongo 😹😹😹
Hamna Maisha mengine acha kujijaza upepo kichwani 😁uaminifu wa khonyoWanaume mtafika mbinguni kwa tabu sana
Kuturusha roho tu wake za madaktari tushindwe lala waume wako shiftNikiolewa na daktari mniite mbwa🤣🤣🤣🤣nimewaza tu yaan
Watoto wa kaskazini hawalogi wewe, hayo mambo utakutana nayo maeneo mengine sio kule4yrs na huna mpango wa kumuoa...ukilogwa usisumbue waganga 🤣
😂😂😂😂Mnapataje usingizi mm huu wivu kilo 70 nisingelala 😀😀Kuturusha roho tu wake za madaktari tushindwe lala waume wako shift
Vp kuolewa na mwanajeshiNikiolewa na daktari mniite mbwa🤣🤣🤣🤣nimewaza tu yaan
Doh😁😁🙌🙌🙌Hao ndo balaa Tena rafikizangu mmoja kaolewa na mwanajeshi mmoja anadate na mwanajeshi ni wanapokezana kulia weekend hii akija huyu weekend ijayo mwingine mm ndo mama mbembelezaji 🤣😃😃
Npo Kenya NaaandamanaUko wapi......
Ewe Farao achia mwana Israel aende kanani.Moja tulidate miaka 6, za wapendanao zikatimia......wa saiv tuna 4yrs
Olewa na mwanajeshi 😁😁😁ili wapigane vizuriYaan Hao ndo balaa
🤣🤣Mpenzwangu wa zamani alikuwa mwanajeshi aisee tulivoachana nikagoma kurudiana nae akaanza kunitisha akinikuta na mwanaume ananibutua mm na huyo bwana 🤣🤣🤣
Akanikuta somewhere nakula mbeleyangu Kuna mkaka amenikazia macho ugomvi ghafla nilikuwa sijamuona alivoingia 😃😃
Nikawa nikimuona nabadili njia akamfata ndugyang akamwambia. Mwambie ndugyako akiolewa nakuja kufanya Fujo akaniletea ujumbe na mwenyew live lazima anibutue siku ya ndoayako 🤣🤣🤣
Nan alikwambia ndoa ni Caanan?Ewe Farao achia mwana Israel aende kanani.
😂😂😂Thubutu rafikizangu watamlilia nani maanawote tutakuwa tunalia🤣🤣🤣Olewa na mwanajeshi 😁😁😁ili wapigane vizuri
Unafkir maisha yakianza kukupeleka mpera mpera unapigwa mimba back to back hao marafiki utawakumbuka?😂😂😂Thubutu rafikizangu watamlilia nani maanawote tutakuwa tunalia🤣🤣🤣
Hizo mimba loohUnafkir maisha yakianza kukupeleka mpera mpera unapigwa mimba back to back hao marafiki utawakumbuka?
Maisha bado hhayajawanyooshaHizo mimba looh
si na mm nitaungana nao kwenye kilio huyu
Tutafungua band wajeda vilio live band 🤣🤣🤣
Umetisha mwamba Ukaona pisi huwezi kuiacha kizembe, naimani ukajifanya na wewe unataka kushona nguoNilikutana naye ofisini kwake.. Yeye ni designer na nilimpeleka Bi mkubwa kwenda kupima nguo..