Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
- Thread starter
- #41
Ulikuwa unauzi huu mtindo😂😂😂na muda wote unakuwa huna usingiziHalafu kulala mchana Kwa lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa unauzi huu mtindo😂😂😂na muda wote unakuwa huna usingiziHalafu kulala mchana Kwa lazima
Huo ulikuwa ukorofi😂😂😂Kombolela nliwahi enda kujificha ofis ya mwalimu mkuu [emoji23][emoji23][emoji106] walitafta sana wale watu
Siku nyingine nkaenda chumbani kwa baba nkalala
Ananiamsha asubuhi niende shule [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MnoWazazi bongo wanaua sana vipaji vya watoto.
Vipi sasa hivi, huwezi kurudia ukafanya mambo?Miye miaka pale Tandale lingo la Kuni nilikuwa napenda sana muziki wa kughani,na lilikuwepo kundi lilikuwa linaitwa Niggaz,Kuna siku Mjomba yangu alinikuta naangalia video shooting ya nyimbo ya hao jamaa aisee
Alinikimbiza siyo kitoto na bakora juu
Pole sana....ukakimbia mazima kwenye sokaMpira nlkua nacheza sana
Nadhani mpaka leo mtu anaweza hisi unawaza kitu serious kumbe unawaza mpira
Ila ndoto za mpira zliisha nlpovunjika nlmpiga chenga mbaba mmoja akanizoa nikadondoka a
Noma sanaMortal kombat for life,nilikuwa nikimkamatia Ryden hanichomoi mtu kizembe
Vipi sasa hivi bado una shabaha au ishakuwa tia maji tia maji?Kuwinda Njiwa porini hahah ile shabaha ningekuwa Dunia ya kwanza huko aisee ningekuwa kwenye kitengo muhimu haha
Hahahaha umri nao ushagoea mikono inategemea saivi hahahaVipi sasa hivi bado una shabaha au ishakuwa tia maji tia maji?
🤣🤣🤣 U can't be seriously aiseeMichezo ya baba na mama,Mimi na rikiboy hao mitaa ya Tandale DSM miaka Ile ya late 1990s kwenda the early 2000s
Mimi na rikiboy tulikuwa mababa huku To yeye na Lovie Lady wakiwa wamama
"Usiku" tulikula sana show,ya kinguonguo na ya kinyama nyama
🤣🤣🤣 Haya bhanaMaisha hayataki userious
By Mabantu
Ila utoto wa zamani tulifaidi sana mambo yalikuwa reality kabisa sio kama sasa kabisa...Wakuu,
Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea, kumbe mtu kazama kwenye kombolela huko?
Katika michezo yote niliyoweza kucheza rede nilikuwa fundi, yaani mpaka watu walikuwa hawataki nicheze maani nikiingia ni kufunga tu, na tukiwa wengi ni mwendo wa kuokoa wenzangu tu. Pia niikua nilikuwa fundi wa kucheza goroli, yaani nilikuwa na makopo yaliyojaa goroli zilizopuna watoto wengine😂😂😂.
Wewe ulikuwa bingwa wa kucheza mchezo gani utotoni?
View attachment 2647601View attachment 2647603
View attachment 2647604View attachment 2647598
KombolelaWakuu,
Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea, kumbe mtu kazama kwenye kombolela huko?
Katika michezo yote niliyoweza kucheza rede nilikuwa fundi, yaani mpaka watu walikuwa hawataki nicheze maani nikiingia ni kufunga tu, na tukiwa wengi ni mwendo wa kuokoa wenzangu tu. Pia niikua nilikuwa fundi wa kucheza goroli, yaani nilikuwa na makopo yaliyojaa goroli zilizopuna watoto wengine😂😂😂.
Wewe ulikuwa bingwa wa kucheza mchezo gani utotoni?
View attachment 2647601View attachment 2647603
View attachment 2647604View attachment 2647598
MwiziWakuu,
Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea, kumbe mtu kazama kwenye kombolela huko?
Katika michezo yote niliyoweza kucheza rede nilikuwa fundi, yaani mpaka watu walikuwa hawataki nicheze maani nikiingia ni kufunga tu, na tukiwa wengi ni mwendo wa kuokoa wenzangu tu. Pia niikua nilikuwa fundi wa kucheza goroli, yaani nilikuwa na makopo yaliyojaa goroli zilizopuna watoto wengine😂😂😂.
Wewe ulikuwa bingwa wa kucheza mchezo gani utotoni?
View attachment 2647601View attachment 2647603
View attachment 2647604View attachment 2647598
Pole doktaSarakasi. Mama yangu alilia mno nilipoteguka kiuno kwa kuanguka vibaya.
Nikaacha mpaka na leo. Maji hufata mkondo, dogo naye kashaanza kuruka. Nikimuangalia nasisimka kwa kuogopa.
KombolelaWakuu,
Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea, kumbe mtu kazama kwenye kombolela huko?
Katika michezo yote niliyoweza kucheza rede nilikuwa fundi, yaani mpaka watu walikuwa hawataki nicheze maani nikiingia ni kufunga tu, na tukiwa wengi ni mwendo wa kuokoa wenzangu tu. Pia niikua nilikuwa fundi wa kucheza goroli, yaani nilikuwa na makopo yaliyojaa goroli zilizopuna watoto wengine😂😂😂.
Wewe ulikuwa bingwa wa kucheza mchezo gani utotoni?
View attachment 2647601View attachment 2647603
View attachment 2647604View attachment 2647598