Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Daaah! Hii ni violence.Pole dokta
Muhimu umepata watoto hata kama uliteguka kiuno😂🤸
Madam, siwezi. Nimesaidiwa. Uje ujionee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Hii ni violence.Pole dokta
Muhimu umepata watoto hata kama uliteguka kiuno😂🤸
Msalimie junior..! 🤸😂Daaah! Hii ni violence.
Madam, siwezi. Nimesaidiwa. Uje ujionee.
Nimeimagine mauno.... dakika 0 mnaraNilikua dancer wa zile nyimbo za utamaduni(vingoma), ile unajifunga kanga ama kitenge kiunoni afu unakata mauno😀😀🏃♀️
Hebu nitumie hilo game la need for speed 2Nilikuwa kichaa wa games
Need for speed 2
Mortal kombat 4
Gta
Thief demo
Delta force
Moto racer
Dave, Mario, Angelo
Sina hamu tena na magem sikuhizi,
Hahaha! Uje aunt yake umsalimie. Akufahamu 🤣Msalimie junior..! 🤸😂
Naijua hiooooooo...!🏃Hahaha! Uje aunt yake umsalimie. Akufahamu 🤣
Unajua nini? Acha hizo auntie J.Naijua hiooooooo...!🏃
mwashambwa akikudaka utachambwa hadi ububujikwe machozi kwafurahaNaijua hiooooooo...!🏃
Sikamatiki ng'oooooUnajua nini? Acha hizo auntie J.
Kiuno cha mzee hakina balance.
Basi mimi nije kumsalimia mdogo wake J.Sikamatiki ng'ooooo
usimkubalie Labda Mimi nanduguyangu mwashambwa tuuSikamatiki ng'ooooo
Njoo mkuu! Ulizia mtaa wa ephen nyumba namba 7Basi mimi nije kumsalimia mdogo wake J.
Wewe ni cha matusi, unaniudhi!😂🏃usimkubalie Labda Mimi nanduguyangu mwashambwa tuu
nifollow bas lafikiyangWewe ni cha matusi, unaniudhi!😂🏃
nikekutusi lini mkuu?Wewe ni cha matusi, unaniudhi!😂🏃
Tayarinifollow bas lafikiyang
Nilikuona umemtukana mtu matusi makubwanikekutusi lini mkuu?
Mwanaume ameumbwa kuwa mtawala meaning tangia mdogo anataka kuwa na milki/ngome yake. Anapotokea wa kutokea huwa inampandisha hasira na uchungu. Na ndo maana hata mwanamke akicheat ni ngumu kusamehe kwa sabbu mnaona kama ngome yenu imeingiliwa. Na sifa ya mtawala ni kuwa the overall overseer wa ongoings za ngome yake. Ndo maana hamuoni shida kuhonga majumba na magari...sasa huyu mwanadaslam alikuja kuingilia ngome yako..bibie akakufriend zone...ni hatari 😅😅😅😅😅Mchezo wa kibaba mama,mtaani kwetu wadogo kipindi hicho Kuna ka manzi mama yake alikuwa jaji wa wilaya,kwao matawi kalikuwa cheupeee,ila nlikuwa napenda kukaa nacho karibu,watu wakawa wanatuita wachumba wachumba,Mimi hapo nina miaka 6 sijui lolote kuhusu madem.Basi kila tukicheza huu mchezo ananichagua Mimi kuwa baba,basi nakumbuka nlinenepa Sana Kwa muda mfupi,ila Hali ilibadilika na nkauchukia huu mchezo baada ya dogo mmoja mdasalama kuhamia mtaani,manzi akamchagua Jamaa awe baba mi nkaambiwa niwe mjomba,kwakweli sijui hata hasira zilitoka wapi maana nilizichapa Sana na mdasalama,na mchezo huo mtaani pale uliisha siku Hiyo maana wazazi walipata taarifa,kikafuatia kipigo Cha maana kwa tulioshiriki.