mtafutaji2016
Senior Member
- Jun 19, 2016
- 105
- 46
EndeleaNme bahatika kusoma nikiwa bado mdogo pia nliruka darasa la sita primary na high school pia nlisoma mwaka mmoja tu kwa walio soma Uganda wanafamu hio kitu, sabbu nlisoma nje ikaniwia vigumu ku apply mkopo nika join UCC nikachukua diploma ya IT basi ile nme maliza tu nikapigiwa simu na site manager mmoja wa kampun flan mgodini uko kanda ya ziwa chanzo cha kufahamiana ni nlifanya field kwao wkt wa masomo yangu ..,.. naendlea.....
Bullar mzingiaji mkuu. [emoji23][emoji23] mwaga stori hiyo sio kuandika vifunguNme bahatika kusoma nikiwa bado mdogo pia nliruka darasa la sita primary na high school pia nlisoma mwaka mmoja tu kwa walio soma Uganda wanafamu hio kitu, sabbu nlisoma nje ikaniwia vigumu ku apply mkopo nika join UCC nikachukua diploma ya IT basi ile nme maliza tu nikapigiwa simu na site manager mmoja wa kampun flan mgodini uko kanda ya ziwa chanzo cha kufahamiana ni nlifanya field kwao wkt wa masomo yangu ..,.. naendlea.....
ttzo langu mvivu sana kuandika pia nme tingwa na kazi mbaya zaidi kuhadithia kwa maandishi hua napuyanga sana inanichukua nusu saa kundiks paragraph tatu typing erros kibao na tense za ajabu ajabuBullar mzingiaji mkuu. [emoji23][emoji23] mwaga stori hiyo sio kuandika vifungu
Uongo wa kiwango cha lami yaani umkopeshe mwalimu wa kibongo halafu umdai akulipeUlikuwa na miaka mingapi pale ulipoweza kutengeneza million yako ya kwanza.??
Binafsi.
I was 22 nilipotengeneza 1m nilikuwa school chuo mwaka wa pili hapo nilikuwa karibu sana na walimu wangu ,niliona fursa baada ya kuona wanahitaji sana pesa ya mkopo.kwa kupitia Shangazi yangu kivuli niliweza kuwapatia mkopo kwa 30% also mtaji niliutoa through pesa ya ada.
Funguka.
Uongo wa kiwango cha lami yaani umkopeshe mwalimu wa kibongo halafu umdai akulipe
Kwangu ndipo ilipo....
Uongo wa kiwango cha lami yaani umkopeshe mwalimu wa kibongo halafu umdai akulipe
ππππππnilikua na miaka 44 mwaka 95
π πMwaka 2015 ila umri nimesahau lakini najuta kuwapa Taifa Stars mil 50 zangu asee.
kama nakuona ulivoiteketeza 20M yoteπnakumbuka 2010 ndio nme toka tu chuo nikalamba ajira nikapiga deal la 20M nikiwa na umri mdogo early 20's kilichofuatia ni history
HahahaIla kumshikia mtu millioni moja yake tayari, mi nsha safisha nyota. [emoji18]
haa ha nini kilitokea mkuu??nakumbuka 2010 ndio nme toka tu chuo nikalamba ajira nikapiga deal la 20M nikiwa na umri mdogo early 20's kilichofuatia ni history