Ulikuwa na miaka mingapi pale ulipoweza kutengeneza million yako ya kwanza?

Hakuna ATM inauotoa zaidi ya 1M hii chai haina sukari
 
Unamaanisha 3000k per day??
 
Hakuna au hujaiona? Unaweza kutoka hata 10m KWA SIKU(unatoa kwa awamu). Unaongea na bank yako wanakuongezea limit
kumbe mpk ufanye process ya kuwasiliana na Bank(kwa maana bila mawasiliano) HAKUNA ATM INAYOTOA ZAIDI YA M1.halaf dogo kashasema alikuwa anamuibia baba yke that means kadi si yake,labda aseme alikuwa anaiba visenti laki mbili tatu kila anapotumwa ATM mpk alivyokuja kujumlisha vikajaa na hpo sidhan km alikuwa anatumwa na kila siku.
 
Inawezekana Baba yake alishaongeza kiwango kulingana na hadhi yake. Standard kibongo ni 300,000/- Ila wengi wanaongeza kiwango. Ila inabidi utoe Kwa awamu sio mkupuo.
 
Ninavyo faham ukiwa na kadi ya gold unaweza toa mpaka milion tatu ATM kwa siku moja na ukiwa na kadi ya platinum unaweza toa zaidi ya milioni tatu.

Inategemea na kadi alio kuwa anatumia na kiwango cha pesa alicho nacho kwenye bank a/c yake ili kupewa hizo kadi nilizo ainisha hapo mwanzo. Na makato yake ni tofauti na kadi za kawaida.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2]Mbona vilinishinda hivyoo
 
ttzo langu mvivu sana kuandika pia nme tingwa na kazi mbaya zaidi kuhadithia kwa maandishi hua napuyanga sana inanichukua nusu saa kundiks paragraph tatu typing erros kibao na tense za ajabu ajabu
Afu we ni mtaalam wa IT!
 
Nakumbuka, ilikuwa nina 24 nimemaliza chuo.. nakaotea project moja, safari ya kwanza tu.. nikapiga 10M... Mimi na Bosi wangu.. yeye akajichukulia 50M

NIKAKIMBILIA KUNUNUA NISSAN PRIMERA, nikaifunga mziki mkubwa... Nlikuwa fala kweli, badala ningenunua kiwanja.....
 
Dah kwel ulikua fala mkuu

Vip saiz ufala ushaisha kichwan?
Toa mrejesho ilikuaj baada ya kufunga mziki mkubwa
 
2011 nilipomaliza chuo kufika home tu nikakutana na mchongo kwenda morogoro ni project fulani chini ya tamisemi,malipo kwa siku ilikua 450,000/- tulilipwa kila wiki, project ilikua ya miezi miwili.
 
Mkuu nipe moja mbili namna ya kuzitengeneza hizi pesa
 
jamaa umegoma kujibu PM daah
 
kama za magendo sawa ila halali ni pale nilipowekewa 1.2 ya field chuo

za dili ni nyingi mno, kuna kipindi nikiwa nimemaliza cha 6 nkapata ukarani wa tumbaku mh. 1 (sasa ivi mbunge na waziri ) akanipa mchongo wa m12 nikaishia pewa m 6 nyingine akanizima.

dili za magendo nyingi ila halali ni mikopo tu cha ajabu sina cha maana zaidi ya kiwanja na chumba na sebule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…