The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Bila shaka hata hii comment umeiandikia ndotoni.Hakuna kitu kilikua kinanukwaza kama nikiota nakojoa, then nikiamka asubuhi nakuta nimelimwaga kweli....π€£
Sasa mawazo yalikua yananipata nikitoka nje nitaimbiwa ile kikojoozi...eehhh....
Ama hapa mnaseme ndoto zipi kwani mkuu...π€π
Nilikuwa natamani kuwa gynaecologist .Alhamisi inaendaje wakuu?
Tukiwa watoto kuna hili swali huwa tunaulizwa shuleni au hata nyumbani tu, "Fulani ukiwa mkubwa unataka kuwa nani?" Wengine huwa na majibu ya kazi nzuri nzuri na wengine majibu huwaacha hoi wanaosikiliza majibu yao.
Mimi nilikuwa na ndoto za kuwa Daktari, lakini baada ya hesabu na masomo mengine ya sayansi kunipiga roba ya mbao ya hatari nikaachana na ndoto hiyo, sasa nafanya kitu tofauti kabisa na ndoto niliyokuwa nayo.
Wewe ulikuwa na ndoto ya kuwa nani ukiwa mkubwa? Umeiishi ndoto yako au mambo yalikuwa meusi ukafanya mambo mengine?
Siku ukiingia chooni kwenye ndoto, usije ukathubutu kujisaidia nakuapia...πBila shaka hata hii comment umeiandikia ndotoni.
π
Amekwambia uhandishi sio uhandisi (engineer).Bado unautamani Uhandisi, au imebaki kumbukumbu tu?
Maana yake nini?Kubeba boksi!
Makalai means mgodini?? π€π€£Nilitamani kuwa Lawyer, Sababu Babu alikua ananipa vitabu vyake na kesi nyingi nyingi nilizipenda sana kusoma, akawa ananiambia nimsindikize hadi mahakamani π€£ π€£ Mwisho wa siku nimeangukia kwenye makalaiπ€£π€£
Kwangu, kubeba boksi ni tamathali ya usemi inayowakilisha kazi yoyote ile aifanyayo mtu/ Mtanzania aliye ughaibuni.Mimi bado umeniacha Mkuu hapo kwenye boksi, naona ni zaidi ya maboksi haya ninayojua mimi π π π
T-shirt, Kofia na EarphoneKwangu, kubeba boksi ni tamathali ya usemi inayowakilisha kazi yoyote ile aifanyayo mtu/ Mtanzania aliye ughaibuni.
kwangu, kubeba boksi hakumaanishi literally kubeba boksi kwenye ghala au bohari.
Mfano, mimi hapo kwenye picha nipo kwenye boksi [nabeba boksi] lakini hakuna maboksi [emoji6].
View attachment 2927450
Earphones like Beats Fit Pro? πT-shirt, Kofia na Earphone
bei gani ndugu Ngabu?
Tupe drip check za bei bila kusahau
Computer hiyo
Hilo muhimu sana mzee huku tulikojipata ndio kwa muhimu.Physics ikakufanya vibayaππ... sio mbaya tushikilie kwengine tulipojipata
[emoji851] Haukutaka kuwa JA RULE wa BongoTzNilikuwa na ndoto ya kuwa Lecturer ila sasa ni afisa masoko[emoji23]
Hana uwezo huo wa kuandika story of change. Yeye ajuacho ni ubuyu tu. IQ yake ni sawa na ya MC PilipiliAnajinoa hapa ila hajawa serious tu, kuna shindano la Stories of Change anaweza kushiriki pia akatoa mawe hawezi jua nani anasoma akatoboa au akaibuka moja ya mshindi ndio akachomokea hapo, kuna wakati pia Mkuu Maxence Melo aliwahi kusema kwenye interview kama mara mbili hivi kama sijakosea (kwa nyakati tofauti) kuwa JF inawalipa watu wanaoandika maudhui/content zenye tija humu, achangamkie fursa... anaweza kutoboa kupitia humu humu JF
P*rnstar inakufaa usilaze damunimetamani vitu vingi sana, sijatulia
,
doctor, surgeon, p*rnstar, asteroid miner, comic book writer/artist, entrepreneur na content creator(hii mpaka saivi inakuja kuja hiviπ)
Lecture si mwalimu tuNilikuwa na ndoto ya kuwa Lecturer ila sasa ni afisa masokoπ
Ukiwa nyuki tutakupiga mawe hadi urudi kwenye mstari π ππππππ kikubwa lengo langu litimie
Umekuwa mpiganaji kwa nyia nyingine, Ualimu sio poa mzeeA soldier nimekuwa mwalimu π
Inaweza kutimia, nani anajua kesho italeta nini!Nilikuwa natamani sana kuwa usalama, ila ndo hivyo tena nchi yetu mpaka uwe UVCCM