Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Sawasawa ๐๐Asante sana mkuu kwa mchango wako, nina imani kabisa mwenye Nia ya kuvuna milioni ya kwanza mwaka huu, anaweza kuipata kwa njia ya ufagaji kuku ๐๐,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa ๐๐Asante sana mkuu kwa mchango wako, nina imani kabisa mwenye Nia ya kuvuna milioni ya kwanza mwaka huu, anaweza kuipata kwa njia ya ufagaji kuku ๐๐,
Siri ya kambiNimeelewa mkuu, Unaweza tupa mbinu ulifanyaje fanyaje mpaka ukavuna milioni yako ya kwanza,
Siku moja nikitengeneza hiyo milioni nitafurahi sanaโข Habari wana JamiiForums na wafanyabiashara wenzangu, nataka nitengeneze milioni yangu ya kwanza mapema mwaka huu. Hata hivyo, Maana nimekuwa kila nikitafuta hela nashindwa kufikisha million , nataka kujua ni umri gani nyie mlitengeneza milioni ya kwanza na jinsi mlivyofanya au uwekezaji mliofanya mpaka mkapata hiyo million.
โข Ndiyo! uchumi si wa kutabasamu kwa sasa, Lakini hii inaweza tumika kama motisha kwa ndugu, jamaa na marafiki, ambao bado wapo kwenye ajira ndogo ndogo na Wanataka kujiajiri au wapo kwenye hatua ya kudunduliza mitaji.
โข Tuambie ni lini ulitengeneza milioni yako ya kwanza na kwa njia gani?
View attachment 2859386
โข Safi sana mkuu, bado unaendelea na kilimo cha ufuta?nikiwa na umri wa miaka 19,nilikuwa mkulima wa ufuta huko kijijini baada ya mavuno niliuza na kupata 1.2 milioni kwa mara ya kwanza.
Kitambo sana 1989 huko.....๐คฃ๐คฃMkuu, umesha vuna milioni ๐?
Yes yes.Nyota yako ilikuwa zuri sana mkuu, Hiyo 10M, uliifanyia biashara?
Ukafanyia nnChuo mwaka wa 1, nilifanya kazi ya data collection 2014.
Chuo mwaka wa pili nilipewa 10M na โmtuโ.
Ipo benki nasubiri ifike 2m ili nifanye jambo languHongera sana mkuu, hiyo million yako ya kwanza, umeiweka Bank,?, kwenye kibubu au ipo kwenye mzunguko,. Tuambie ratiba yako niipi kwenye hiyo million.
Hata hukukumbuka kumvua mtu IST? ๐คฃilipotea kama mshale
Shukran nishapoa since last year mkuuPole sana mkuu, Ngoja tuendelee kusoma comments, tunaweza pata njia ya kutengeneza million ya kwanza mwaka 2024,