Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

Huo ni mtazamo wako mkuu hujui dream yangu ni nn stay silence na stress zako za maisha fala wewe
 
Huo ni mtazamo wako mkuu hujui dream yangu ni nn stay silence na stress zako za maisha fala wewe
Hahahaaaa

Nilijua utapaniki tu sababu hujanielewa....

Kwanza sijui nyumbani yako ni ya aina gani,huenda ni ghorofa...mimi nimetoa observations tu wala sijakuzungumzia wewe generally

Stress kila mwanadamu anazo,nothing new unachosema here!
 
Hahahaaaa

Nilijua utapaniki tu sababu hujanielewa....

Kwanza sijui nyumbani yako ni ya aina gani,huenda ni ghorofa...mimi nimetoa observations tu wala sijakuzungumzia wewe generally

Stress kila mwanadamu anazo,nothing new unachosema here!
Stress haziko sawa bro... Tunazidiana na ambition vilevile xo kama muungwana ulitakiwa kutoa ushauri tu kuwa usiridhikee kaza Buti but you make predictions za maisha ya mtu generally why bro
 
Stress haziko sawa bro... Tunazidiana na ambition vilevile xo kama muungwana ulitakiwa kutoa ushauri tu kuwa usiridhikee kaza Buti but you make predictions za maisha ya mtu generally why bro
Hahaaaa

Ukicheck mzee my post was not shot at you....

Pale nilitoa takwimu tu generally tulizonazo kwenye jamii,nothing malicious

Wala haikua wewe,coz infact sikujua wala nyumba yako ni ya aina gani,nilisema kama ni ya chini,ila infact sijui ni ipi

Nothing biggie mzee
 
At 28 nilijenga.. but kutokana na shughuli zangu sijahamia.. nafikiri kupangisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…