Ulikodi fremu mkuu?Niliipata nikiwa na 19 nakumbuka iliishia ubungo Riverside
Boom 😂Mimi miaka 20
Miaka 51 baada kupokea mahari ya bint yanguKwema wakuu!
Uliweza kupata milioni moja (Tsh 1,000,000) yako ya kwanza ukiwa na umri gani? Ulifanya kazi gani,uliuza nini ukaipata? Unaweza pia kushare uliitumiaje?
Hapana mkuu nishaacha nafanya mishe zingneNi noma mkuu, vipi bado unapiga mishe za dagaa na samaki
No hili jina liko hum Jf kabla ya huyo mqdirisha wa instagramanhaa sawa kaka we ndio madirisha anaemuingeleaga Txdullah 😀
Ndyo kaka😂Ulikodi fremu mkuu?
Hapo njema sana mkuu. Unajijali na unawajali watu wako 🙂Mwaka 2018
Umri 25yrs
Nilibet mkeka wa timu 48 kwa buku nikala 1,468,487/=
Matumizi:mama wa mtoto wangu 300000/=
Babu yangu upande wa baba alikukuwa kavunjika bega hivyo tukaambiwa wajukuu tuchangie matibabu ilitakiwa 100000/= nikalibeba hilo kwa kutoa kiasi chote.
Iliyobaki nikapendelea mimi binafsi