Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani?

Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani?

Mwaka 2018
Umri 25yrs
Nilibet mkeka wa timu 48 kwa buku nikala 1,468,487/=
Matumizi:mama wa mtoto wangu 300000/=
Babu yangu upande wa baba alikukuwa kavunjika bega hivyo tukaambiwa wajukuu tuchangie matibabu ilitakiwa 100000/= nikalibeba hilo kwa kutoa kiasi chote.
Iliyobaki nikapendelea mimi binafsi
 
Mwaka 2018
Umri 25yrs
Nilibet mkeka wa timu 48 kwa buku nikala 1,468,487/=
Matumizi:mama wa mtoto wangu 300000/=
Babu yangu upande wa baba alikukuwa kavunjika bega hivyo tukaambiwa wajukuu tuchangie matibabu ilitakiwa 100000/= nikalibeba hilo kwa kutoa kiasi chote.
Iliyobaki nikapendelea mimi binafsi
Hapo njema sana mkuu. Unajijali na unawajali watu wako 🙂
 
Back
Top Bottom