Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani?

Hongera mkuu
 
Miaka 25 nilikua nauza nafaka zote kuweka store, cjawah itumia npo naipgania ifke 10mil angalau ntajiona mtu.
  • kiukwel ukiwa na lak kuigusa mil ni kipengere sana ukiisogelea tu unarud nyuma hatua nying.
  • ila ukifanikiwa kufka milion na uchafu hapo kidogo kuipata ya pili sio kaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…