Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?

Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
Hii siku mimi na majirani zangu hatukupata usingizi.
 
Nilikua nishaingia kitandani nasikiliza radio kwa mbali ghafla ikakata kwa muda mfupi ikarudi na nyimbo za kwaya mfululizo moyoni nikawaza kuna kitu hakipo sawa sijakaa vizuri nasikia tangazo makamu anasema chuma kimegomea sembe.

Nikainuka kitandani nikapiga simu mbili tatu nikatoka bar ya jirani nikakuta jamaa wanapiga shangwe tukapopoka hadi mida mibaya, likaja difenda wakadai tuzime mziki mziki ukazimwa tukaendelea kula vyetu
 
Nilikua nishaingia kitandani nasikiliza radio kwa mbali ghafla ikakata kwa muda mfupi ikarudi na nyimbo za kwaya mfululizo moyoni nikawaza kuna kitu hakipo sawa sijakaa vizuri nasikia tangazo makamu anasema chuma kimegomea sembe... nikainuka kitandani nikapiga simu mbili tatu nikatoka bar ya jirani nikakuta jamaa wanapiga shangwe tukapopoka hadi mida mibaya, likaja difenda wakadai tuzime mziki mziki ukazimwa tukaendelea kula vyetu
Ilikuwa siku ya furaha sn zaidi ya X-mas
 
Taarifa hio ndio ilikua kama umepokea "BARUA YA KUSIMAMISHWA KAZI".[emoji23][emoji23][emoji23]

Maana zile Elf 3 za bando kutoka ofisi maalum lumumba mlizokua mnapewa kila week, ili mje kuimba mapambio JF na Twitter, zilisitishwa rasmi.

Wenzako kina ISIS ndio wakapotea mazima JF. Huyu mdudu sitokaa kumsahau maisha yangu yote, alikua anakera hakuna mfano. Ndio user aliekua anaongoza kunitukana JF haijawahi kutokea.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daaah
 
Kwa shangwe hadi nikaanza kuwapigia watu wanaomkubali usiku ule,wengi walihuzunika ila mimi shangwe kwa sana....

Ila nikajagundua nilikosea ila ndiyo hivyo hisia hazifichiki....R.I.P soldier ulitenda kwa namna yako..
Usiitafsiri 'like' yangu kwa content nzima ya comment yako.

Like yangu inahusiana na AYA pili na kuendelea. Aya ya kwanza umevuruga mambo.
 
Back
Top Bottom