Lions Share
Member
- Jul 14, 2012
- 92
- 208
Sema ulikosa usingizi sio WatanzaniaDunia ilisimama
watanzania walikosa usingizi
iliuma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema ulikosa usingizi sio WatanzaniaDunia ilisimama
watanzania walikosa usingizi
iliuma sana
Ujinga hauishimiaka miwili sasa bado kujadili mtu hamna mambo mengine ya kufanya?Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
Hahahha[emoji24]Nakumbuka nilikuwa ofisini usiku ule nikisaini nyaraka mbali mbali , nilistuka sana , wasaidizi wangu wanadai nilizimia kwa muda wa nusu saa
Nilikuwa nimelala, ghafla nastuka usiku nakuta sms ya mtu ananiuliza "ETI JIWE KAFA" fasta nikakimbilia jf nakuta Uzi uko page ya 200+. Kimoyomoyo nikajisemea "MWAMBA KADED"Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
Acha uongo mzee mgaya, kama sio uadui mbona Lisu.......sasiSiasa siyo Uadui
Sema kwa furaha..kila mtu anajua yule bwana alikuwa muovu na aliua watu wengi,kuwafunga,kuwafilisi,kuwasababishia depression, stress (kama waliofukuzwa kwa vyeti feki) nkMy apology kwa wale watakaokereka lakini eneo nilipokuwepo watu walikesha wakinywa kwa masikitiko mengi
Aiseeee !!! nilisikia hata Mbeya kuna waliokamatwa kwa kuchinja MbuziMy apology kwa wale watakaokereka lakini eneo nilipokuwepo watu walikesha wakinywa kwa masikitiko mengi
Narudia tena WATANZANIA mimi taarifa nilipata asubuhiSema ulikosa usingizi sio Watanzania
Vp hukuyaponza mandari kweli??Sikuwa na hela ikabidi nikope bia za kutosha kusherehekea
Kwanza nilijua ashafariki tokea tarehe 09 march baada ya Corona kumfyeka fyeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.