Hii siku mimi na majirani zangu hatukupata usingizi.Wakati tukiwa kwenye kipindi cha Kumbu kumbu cha musiba wa hayati Dr John Pombe Magufuli Rais wa JMT awamu ya tano tuambizane wewe ndugu yangu huko uliko taarifa za musiba ulizipataje na ulipokea vipi msiba mzito wa kuondokewa na rais wa Tanzania?
Ilikuwa ni habari ya kusikitisha kwa Watanzania kwa mara ya kwanza kumpoteza Rais Kipenzi akiwa madarakani na pengine Afrika mashariki nzima.
Ilikuwa siku ya furaha sn zaidi ya X-masNilikua nishaingia kitandani nasikiliza radio kwa mbali ghafla ikakata kwa muda mfupi ikarudi na nyimbo za kwaya mfululizo moyoni nikawaza kuna kitu hakipo sawa sijakaa vizuri nasikia tangazo makamu anasema chuma kimegomea sembe... nikainuka kitandani nikapiga simu mbili tatu nikatoka bar ya jirani nikakuta jamaa wanapiga shangwe tukapopoka hadi mida mibaya, likaja difenda wakadai tuzime mziki mziki ukazimwa tukaendelea kula vyetu
Taarifa hio ndio ilikua kama umepokea "BARUA YA KUSIMAMISHWA KAZI".[emoji23][emoji23][emoji23]
Maana zile Elf 3 za bando kutoka ofisi maalum lumumba mlizokua mnapewa kila week, ili mje kuimba mapambio JF na Twitter, zilisitishwa rasmi.
Wenzako kina ISIS ndio wakapotea mazima JF. Huyu mdudu sitokaa kumsahau maisha yangu yote, alikua anakera hakuna mfano. Ndio user aliekua anaongoza kunitukana JF haijawahi kutokea.
Mi nilifurahi kupita kiasiMy apology kwa wale watakaokereka lakini eneo nilipokuwepo watu walikesha wakinywa kwa masikitiko mengi
KabisaTulishukuru sana. Maana jitu katili kama lile sijui lilitokea wapi.
Nakumbuka nilikuwa ofisini usiku ule nikisaini nyaraka mbali mbali , nilistuka sana , wasaidizi wangu wanadai nilizimia kwa muda wa nusu saa
Ilikuwa siku mbaya sana kwa Wapenda TanzaniaHii siku mimi na majirani zangu hatukupata usingizi.
Wewe hukuzisikia habari?Sikupokea walipokea majirani
Duu nyie hamfaiBaa iliuza bia mpaka mzigo ukaisha
Usiitafsiri 'like' yangu kwa content nzima ya comment yako.Kwa shangwe hadi nikaanza kuwapigia watu wanaomkubali usiku ule,wengi walihuzunika ila mimi shangwe kwa sana....
Ila nikajagundua nilikosea ila ndiyo hivyo hisia hazifichiki....R.I.P soldier ulitenda kwa namna yako..
Si ulikuwa unakuka Kwa mgongo wakeKwa masikitiko makubwa Sana!