Wazee wa kilinge wanapendelea bia ganiThat day nilikuwa kilingeni siku nzima na sikutoka.. I saw it coming kwakuwa tayari ilishatokea about a week ago... Nilikuwa nasubiri tu confirmation nifunge Kilinge nikapate munde
Sent using Jamii Forums mobile app
Wape pole na wengine waliopata maumivu hapa Duniani kwa matendo yake wakati wa uhai wake. Usiwasahau na wao pia ni binadamu.Ilikuwa usiku, nikasikia Tanzia. Kifupi kwanza si kulala hadi asubuhi, na hamna msiba niliowahi kutoa machozi kama wa hayati Magufuli. Mimi ni mmoja wa watanzania tulioumia sana na kufariki kwake. R. I. P Magufuli
Wewe ni mwenzake Chalamila
[emoji23][emoji23][emoji23]Daah kabla ya Tarehe 17 tarehe 9 majaliwa anaenda njombe tarehe 12samia ana ziara Tanga siku tatu kabla ya hizo tarehe malaika alikua akizungumza na mimi katika roho...
Nakubuka vizuri sana wakati mama samia anatangaza huyu mkuu wa wasiojulikana kafa, nilikuwa canton ya ZUG, huko swiss, nilikuwa niko macho, nafanya nakagua tax records za kamupuni yangu, maana imesajiliwa hapo zug, mara simu ikaita, ni mtu rafiki toka bay area, huko california, kaniuliza una taarifa, kauliza taarifa gani, hujasikia kaniuliza, kasema la niambie, kaniambia aliyekuwa anaua, anateka, anabadikia watu kesi za uhujumu uchumi ako na shetani sasa hivi, mara simu zinaaza kuingia kunipa taarifa,niliacha ile kazi, kaaza kujulisa watu, kila pahali, kila mtu nikimupigia wengi taarifa wanazo, ni shagwe na nderemo, furaha kweli, never ever again in tanzania, watu wanasema kwa twitter, sikulala ile usiku nilikesa nasherekea ushindi mkuu, mungu ni mkuu kuliko kijani, amina, jina lake liko juu ya majina yote
Wewe ni katiliAlifariki Baba, alifariki Mama nilihuzunika sana tu bila kutoa chozi.
Ila kwa JPM chozi lilinitoka kwa huzuni kubwa huku mapigo ya moyo yakiwa juu sana.
Hadi leo bado ninahuzuni.
Mpaka umri wa kuoa hujawahi kufiwa hata na ndugu ukaonja machungu ya msiba. Kwa nara ya kwanza ukayaonja kwenye kifo cha JPM jokate mwenyewe alikuwa anasmile tuMimi nikiri sikuwa sawa tangu tetesi za kuumwa kwake nlikuwa naomba Sana kimoyo moyo isiwe kweli yaani.badi bhana siku yenyewe nilikuwa nimetoka kazini ile nalumzika kidogo baada ya kuoga kabla ya Kula nikapitia pitia jf Kwanza ili nilale, ile naenda bafuni kirudi wife ananiambia angalia itv huku analia aisee...kwa mara ya Kwanza nikaonja uchungu wa msiba tangu nizaliwe inauma Kama nini.nilikaa Kama siku mbili sielewi elewi mpaka sasa bado kwa mbali sielewi Mimi.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Aseee[emoji848][emoji848]Mimi nilikuwa porini nalina asali na kutafuta dawa za mitishamba.
Usiku tumelala huko huko porini kuna dogo mwenzetu mmoja alikuwa na radio usiku tumelala akafungua kiredio chake akapata taarifa ya huo msiba akaniamsha kunijulisha sikushituka chochote nikarudi kulala kutokana na uchovu wa kutembea toka asubuhi porini.
Kesho yake nimetafuta network nikampigia jamaa mmoja kuconfirm kama ni kweli akasema ni kweli basi kilichoendelea sijui maana sikufuatilia tena habari hizo toka Samia aapishwe.
Mkuu si u download twitter? Kule raia wako fastaNilikuwa kitandani, nilikuwa online. Ghafla sms ya WhatsApp ikaingia kwenye group jamaa akisema akina nani wameangalia TBC sasahivi(muda huo siku hiyo), mwingine akarukia "na mimi nimesikia Magu kafa". Hadi hapo nikashtuka sana ila moyoni niliomba iwe kweli(huu ndio ukweli siwezi kuwa mnafiki hapa).
Nikaanza kutafuta ukweli wa hiyo habari kwenye vyanzo vyangu vya kuaminiki kwa kuanza na JF, ghafla jamaa kwenye group la familia akapost akisema "Chuma kimekata moto" nikamuiliza ni kweli, akasema ndio. Hadi hapo nikashusha pumzi, nikaja JF nikakuta bado Uzi haujapandishwa, nikakimbilia Channel ya Telegram ya JF, kule napo nikakuta patupu. Baada ya dk kama 5 ndio uzi ukapandishwa hapa JF. The rest ikawa historia.
Now tunataka kujenga sanamu yake kwa zaidi ya Milioni 400
🙂
Khaaaaaa[emoji134]Nilikuwa nyumbani.Ilikuwa ndiyo siku pekee katika maisha yangu ambayo niliwahi kuwa na furahaa kupitiliza.
Nakumbuka kwa mara ya kwanza katika maisha yangu siku hiyo nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru Mungu kwa kuniondolea uchafu katika Taifa langu.
[emoji16][emoji16][emoji16] ukajua wanakulilia wewe[emoji1787]Hiyo siku nilikuwa nimepiga k-vant kubwa nikasema nipumzike nje kidogo ili nisiwasumbue wa ndani, bahati mbaya usingizi ukanipitia.
Nakuja kushituka nakuta wapangaji wapo nje wanalia. Nikajua labda nilizima, walivyoona siamki wakajua nimevuta.
Nikaamua kuamka ili kuonesha mi ni mzima, nikaona hata hawana mpango na mimi. Ndio kuna jamaa akatamka kabisa kuwa Magufuli kafariki.
Honestly nilifurahi.Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"
Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.
msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.
Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
[emoji23][emoji23]Mimi nilikunywa Whisky mapema nikalala.
Sa saba nasikia sauti dirishani kwangu, mshana, mshana amka tukanywe bia jamaa katili kafariki.
Dah..........
Kama binadamu ulishtuka kwa furaha?[emoji16][emoji1787]....nyinyi watu hamko seriousNilikuwa naandaa document flani ya jamaa, akanipigia simu, nikajua anataka nimtumie, ndiposa ananipa ripoti, kama binadamu nilistuka kwa furaha.
Busara yako ndio hiyo ya kumlilia Shetani Magufuli. Poor you.Sishangai kuwepo na binadamu wa aina yako wanaomini matusi ndio last option ya kutetea wanachokiamini dunia isingekua na watu kama nyinyi wenye hekima na busara wangeishi ulimwengu upi? Elimika sikufundishi