Nakubuka vizuri sana wakati mama samia anatangaza huyu mkuu wa wasiojulikana kafa, nilikuwa canton ya ZUG, huko swiss, nilikuwa niko macho, nafanya nakagua tax records za kamupuni yangu, maana imesajiliwa hapo zug, mara simu ikaita, ni mtu rafiki toka bay area, huko california, kaniuliza una taarifa, kauliza taarifa gani, hujasikia kaniuliza, kasema la niambie, kaniambia aliyekuwa anaua, anateka, anabadikia watu kesi za uhujumu uchumi ako na shetani sasa hivi, mara simu zinaaza kuingia kunipa taarifa,niliacha ile kazi, kaaza kujulisa watu, kila pahali, kila mtu nikimupigia wengi taarifa wanazo, ni shagwe na nderemo, furaha kweli, never ever again in tanzania, watu wanasema kwa twitter, sikulala ile usiku nilikesa nasherekea ushindi mkuu, mungu ni mkuu kuliko kijani, amina, jina lake liko juu ya majina yote