MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Dah engineer kwasasa hao watendaji ukiwaona huku vijijini huwezi kutamani Tena .Nilitamani kuwa Afisa mtendaji wa kijiji,kipindi hicho wanaitwa makatibu wa vijiji.
Kilichofanya nimpende ni kwamba yeye ndiye aliyekuwa na baiskeli kijiji kizima inayoitwa Hamilton.
Huku akimiliki redio ya Santuri akiwa ndiye mwenye maisha mazuri kijiji kizima.
Hakika alikiwa Role model wangu eti😂😂
Wamejichokea Sana ,nahisi wale Kama hawalipwi laki moja Basi elfu hamsini maana hata kulipa pango ni kwa mbinde .
Alafu kwanini wengi wanakuwa ni wazee ? Kibaya ni kuwa Wana maisha magumu ila wanapewa majukumu makubwa na mamlaka makubwa imagine mtendaji ndiye mwakilishi wa mkurugenzi kwenye kata au Kijiji na ndiye yeye mwenye uwezo wa kusema polisi waje kukubeba au akulinde alafu mfukoni Yuko apeche alolo .