Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... huko juu mi nalifika lini? ... nahangaika na wamama wa mtaani kwangu Joe!sirmeea?
😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... huko juu mi nalifika lini? ... nahangaika na wamama wa mtaani kwangu Joe!sirmeea?
Sikuwahi kuhisi kubadilika pale ntakapokua mkubwa, nliamin hata ukubwani ntabaki kua mimiWakuu,
Leo ni Siku ya Watoto Duniani! Ulipokuwa mtoto, ulitamani kuwa nani?
Je, umefikia ndoto zako, au bado unazifanyia kazi?
Kumbuka, ndoto za watoto ni halali na zinaweza kutimia! Tuendelee kujenga mazingira yanayowawezesha watoto wetu kufanikisha ndoto zao
nakubali nakubali.... huko juu mi nalifika lini? ... nahangaika na wamama wa mtaani kwangu Joe!
😅
yaani ile exchange ya unampa mtu bidhaa anakupa hela nilikua naipenda sana😀.. 🙄🙄🙄Mimi nilikua natamani nije kuwa mwalimu, ili nichape sana watoto, hii ilikuja baada ya kuona walimu wanafaidi kutupiga 😀.
Baadaye nikaswitch nikatamani niwe muuza duka yaani ile exchange ya unampa mtu bidhaa anakupa hela nilikua naipenda sana😀
Unaweza kuwa rubani wa maisha yako 😄Nilipenda sana kuwa rubani ila maisha yakacheka sana yakaniambia we hujajua kua kwanza uyaone.
Si ataanza kurusha maisha yake itakuaje sasa😀😀Unaweza kuwa rubani wa maisha yako 😄
Hujachelewa mkuu, unaweza kuwa, anza kusoma CPANilikuwa najiendea endea tu.Baada ya kumaliza chuo na kuanza kazi..Nimekuja kugundua nilitakiwa niwe Muhasibu na kitu nimetokea kukipendaaa mnooo.
Kile sikitak kitaniua kabla ya mudaMkuu hata kindege cha aviator haukirushi Mkuu? 😂😂 mbona Odds ni za uhakika sana