Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Ulipokuwa mtoto ulitamani ukiwa Mkubwa uwe nani?

Wakuu,

Leo ni Siku ya Watoto Duniani! Ulipokuwa mtoto, ulitamani kuwa nani?

Je, umefikia ndoto zako, au bado unazifanyia kazi?

Kumbuka, ndoto za watoto ni halali na zinaweza kutimia! Tuendelee kujenga mazingira yanayowawezesha watoto wetu kufanikisha ndoto zao
Nakumbuka wakati nipo darasa la 2 au 3 nilikua nilienda bank na mzee, nilikua nataman Sana na mimi kuwa banker nashukuru Mungu nilitimiza ndoto zangu kwa miaka kumi
 
Calculate the volume of sphere...

Unachukua jagi unaweka maji mwaaaah... unamimina unapima unapata.

Mambo madogo hayo mdogo wangu unafeli wapi
Mmmh sio hayo...
Ni mambo mazito ya projectile motion...
Mi naweza sema physics ilinibikiri waliona ningekua dactar ningesumbua sana aiseee

Ila kwa sasa sehemu nilipo nainjoiii sana tuuu mambo yanaendelea 😂😂😂😂😂😂😂
 
Astronaut..Mtaalamu wa mambo ya anga huko juu..Nakumbuka hadi baba nlikuwa namuuliza maswali mengi sana kuhusu nyota na anga kwa ujumla.
Nikaingia shule mahesabu yakawa mengi sana.
Kiko wapi sasa 🤣🤣🤣.
Lakini nilipo sio pabaya nashukuru Mungu kuna vitu vinatokea sio kwa bahati mbaya unaona kabisa ni mpango wa Mungu.
Interesting 😍
 
Mmmh sio hayo...
Ni mambo mazito ya projectile motion...
Mi naweza sema physics ilinibikiri waliona ningekua dactar ningesumbua sana aiseee

Ila kwa sasa sehemu nilipo nainjoiii sana tuuu mambo yanaendelea 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂

Mwenzako physics nilipata F ila nashukuru Mungu nimekuwa diwani...

Japo hukunipigia kuraaa... roho mbaya tu my
 
Back
Top Bottom