Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ile part two yake[emoji23][emoji23] kumbe uliponzwa na Mama J, pole doctor sababu ulishare humu connection ama?[emoji848]
Hata Mimi wakati niko choka mbaya nilikuwa nashangaa na kuwaza Kama wewe,lkn Sasa kuhonga naona kawaida tuHivi mpaka mtu unafikia kumnunulia mwanamke gari, nyumba nk anakua amekupa nini hasa chenye thamani kiasi hicho? Aisee mimi bado sijakutana na mwanamke wa kumhonga hata simu tu..[emoji23][emoji23]
Kwa papuchi hii hii au kuna kingine mkuu..?😆😆Hata Mimi wakati niko choka mbaya nilikuwa nashangaa na kuwaza Kama wewe,lkn Sasa kuhonga naona kawaida tu
Kwani una part 2 yake Doctor? Nitumie na mimi basi😂😂
Lazima achukie yaani t-shirt ya buku tatu Harafu pullover ya buku 12.Kuna pullover aliacha geto, na yeye alichukua tshirt yangu, kuna siku navaaga lle pullover yake alafu napita kwao akiniona ananuna sana,mara ingine anakimbilia ndani mwao , hata yeye nakutaga kavaa tshirt yangu ila sichukii ...[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
umerudi kwa Fujo DJHaaa ili baadaye kiwe kigezo cha kuwasiliana naye ukianza kumdai
naona ile 'aidii ya bakap' inawekwa pembeni siyoNimerudi ni mwendo wa bandika bandua had modi waone wivu.
Hakuna kitu kinaumiza kama mkiachana harafu mwenzio alete madoido.
Je, wewe ilikuwaje mlivyo achana.
Rejea STAN BAKORA alicho sema yeye.
Nikweli nilimfumania na mwingineHahah hii ni hatari