Mimi sijaanzisha hii hoja. Nimeijibu tu. Suala la kuchoka halipo. Kwa sababu hata situmii energy kubwa, na flow tu. Labda wewe ndiye nikushangae, kwa nini unategemea nichoke kirahisi hivyo?Huchoki tu? Huna hoja nyingine tofauti na hiyo? Tangu umeanza kuandika hayo ya kumkataa Mungu umefaidika na nini?
Mchungaji anakula madhabahuni sio kosa ndo ujira waowanawachangia wachungaji wao wajenge majumba ya kifahari na magari alafu wao wanaambiwa watasaidiwa na MUNGU
We jamaa ni muongo kwamba zaman ulikua peke yakoMimi sijaanzisha hii hoja. Nimeijibu tu. Suala la kuchoka halipo. Kwa sababu hata situmii energy kubwa, na flow tu. Labda wewe ndiye nikushangae, kwa nini unategemea nichoke kirahisi hivyo?
Pia, si lazima kusoma ninachoandika. Unaweza kuniweka kwenye ignore list usione ninachoandika.
Jibu hoja zangu. Kuniuliza "Huchoki tu" ni aina moja ya kusema hupendi hoja zangu, huwezi kuzijibu, na unataka kuninyamazisha kwa nguvu.
Tangu nimeanza kuandika haya ya kumkataa Mungu nimefaidika kuelimisha watu wengi zaidi kwamba hizi habari za kuwepo Mungu ni za uongo tu.
Zamani nilikuwa kama peke yangu naandika hivi, nilionekana mtu wa ajabu sana.
Siku hizi watu wengi wamekuja kueleea, na wengine walioeleea lakini walikuwa kimya, wamepata nguvu ya kusema wanavyofikiri, suala hiki limeonekana si la ajabu sana.
Wengine wamekuja kunishukuru kwa kuwafungua macho.
Mpaka wengine wanaoshikikia imani zao za Mungu wanasema wazi kwamba, wanashikilia imani hizo kwa utamaduni tu, lakini, kimantiki, wanaona mantiki katika hoja zangu.
Hapa JF tuna kaulimbiu kwamba tunathubutu kuongea mambo kwa uwazi.
Natekeleza kaulimbiu hiyo.
Na wewe huwezi kuninyamazisha kwa viswali vyako passive aggressive vya "huchoki tu".
Jibu hoja, ama sivyo, kaa kimya.
Unaongelea Wakristo, walokole. Tayari ushazungumzia kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu.Uzi huu hauzungumzii kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu
Mnaumia nini kwani watu wakiwa bize na Mungu?
Naongelea katika muktadha wa JF. Tena nineweka neno kama.We jamaa ni muongo kwamba zaman ulikua peke yako
Kwa hiyo we ndo wakwanza kumpinga Mungu hizi cheap popularity hazitakusaidia kitu
Nikusaidie waafrika wengi walikua hawaamini huyu Mungu wa wakristo na waislamu sasa unavyosema wewe ni kwanza huy ni uongo mtakatifu
Siwez kukuthibitishia kwani ni lazimaJua kusoma kwa ufahamu.
Hujathibitisha Mungu yupo bado.
Walokole wengi ni masikini halafu ni waoga sana wa kuzikabili changamoto.Mimi nasema walokole wengi ni walokole kwasababu ni maskini. Ulokole ndo unakua njia ya kukabiliana na changamoto za maisha....
Hio ndo point yanguπππ
Kitu kidogo tu namkabidhi BWANA sasa hapa duniani bila changamoto hakuna Maendeleo wala Ubunifu.
Kuna ambao kanisani ndo ofisini kwao mbona unakariri maishaWewe mtu unashinda kansani kila siku hufanyi kazi unategemea hela unazioataje, huko kansani basi kusiwe na sadaka ila sadaka kama zote hela unapataje utajiri.
Si lazima kama huna nia ya kutenganisha ukweli na uongo.Siwez kukuthibitishia kwani ni lazima
Sawa ni uongo na Mungu hayupo umeshafurahiSi lazima kama huna nia ya kutenganisha ukweli na uongo.
Ukiwa na nia ya kutenganisha ukweli na uongo, uthibitisho ni lazima.
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo kama hayupo.
Na wewe huwezi kuthibitisha Mungu yupo.
Kwa sababu hayupo.
Umeona wapi tumeumia, au unahisihisi tu kama unavyohisi Mungu yupo.Uzi huu hauzungumzii kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu
Mnaumia nini kwani watu wakiwa bize na Mungu?
Rejea Katiba kirangaKuamini una uhuru wa kuamini unachotaka.
Unaruhusiwa kuamini kwamba ukipanda juu ghorofa ya kumi, ukajirusha, hutaumia na utapaa na kuruka kama ndege.
Lakini, ukiamini hilo, hiyo imani yako haifanyi hicho unachoamini kiwe kweli.
Kwa hivyo, imani tu haina maana, kwa sababu unaweza kuamini hata uongo.
Jambo muhimu ni hili.
Unajuaje unachoamini ni ukweli na si uongo?
Hapa mimi nipo interested na ukweli, si imani tu.
Kama uko interested na imani tu, imani ni jambo la binafsi, wala huhitaji kujadiliana na mtu hapa JF kuhusu imani yako.
Ni imani yako, ni haki yako ya kikatiba, ni haki yako ya kibinadamu, hata mimi nisiyeamini nitatetea wewe kuwa na haki yako ya kuamini unavyotaka, unajadiliana na mtu kuhusu imani yako ili iweje?
Ila, ukiwa unatafuta ukweli, hapo tunaweza kujadiliana ili kuhakiki ukweli uko wapi.
Hao bado ni maskini huwezi kuwaita ni bahili kwa sababu hata wanachokipata wao wenyewe hakiwatoshi so hao wanabaki kuwa maskini.Kuna watu ni wabahili sana ila wana-hali ngumu sana za uchumi