Ulishawahi jiuliza ni kwanini wakristo waliokoka wengi wana hali ngumu za kiuchumi japokua biblia imewahidi baraka nyingi sana

Ulishawahi jiuliza ni kwanini wakristo waliokoka wengi wana hali ngumu za kiuchumi japokua biblia imewahidi baraka nyingi sana

Waamini Mungu sio matapeli au wahujumu uchumi wanaokwapua mali zisizo zao. Hata akiwa muajiriwa atafanya kazi kwa weledi, nia moja na uaminifu na rushwa kwao ni mwiko.
Waamini Mungu ni watu walio tulia na wenye amani maishani hata kama kipato chao halali ni kidogo bado wanatunza familia zao ipasavyo.
 
Jibu ni Ndiyo, nimejiuliza

Na jibu lake ni kwamba hao wanaodai wameokoka no maskini kwasababu wanategemea kisichokuwepo.

Habari ya miungu ni hadithi zisizo na uhalisia totally.

Hakuna Mungu anayeendesha maisha katika ulimwengu huu.
Sawa hakuna ukilala usisahau kunywa maji na ukiamka asubuhi usisahau kupiga mswaki
 
Yesu mwenyewe alishawaona hawa wapuuzi ni vimeo. Akaenda mtaani kusaka wanafunzi wake. Petro alikuwa mvuvi akachukuliwa. Yaani wale wanafunzi 12 wote walikuwa na kazi zao na hawakuwa walokole ushuzi. Kimsingi Mungu mwenyewe hawajawahi kuwapa kazi zake watu wajinga wajinga na wavivu. Karibu manabii wote hawakuwa watu wa kushinda makanisani bali walikuwa wachapa kazi na walio bize na shughuli zao. Hawa walokole wa sasa wanadanganya eti "Pokea muujiza wa gari" na kwa ujinga wa hali ya juu wanasema NAPOKEA. Watazidi kuwa maskini huku viongozi wao wakizidi kuneemeka
 
Kama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri

Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate

Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana

Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea

Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni

Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto

Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu

Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Na changamoto unayoiweza kuihimili hio sio changamoto

Kwako ni changamoto mpaka pale wewe binafsi imekushinda hio ndo changamoto ninayoongolea
Bibilia inahimiza tuwe masikini
 
Bibilia inahimiza tuwe masikini
Mathayo 19:23-24 BHN

Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kweli nawaambieni itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa mbinguni. Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”

Kama wewe ni msafiri wa kwenda mbinguni basi achana na ya dunia
 
1 Timotheo 6:10 BHN

Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi.
 
1 Timotheo 6:10 BHN

Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi.
Unaweza ukawa maskin na ukawa unapenda hela
 
Ebr 13:5 SUV

Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kabisa, wala sitakuacha kabisa.
 
2 Timotheo 3:2 BHN

Watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu
 
Yapo mafungu mengi sana kwa haya machache pata muda wa kutafakari, mwenzio nishaschana na masuala ya dini namwabudu Mungu wangu nijuavyo mimi
 
Somo murua kwa kwa jamii ya waliookoka. Ukilujua haitakupa shida kufikiri ni namna gani ufanikiwe, utajiri na heshima huku ukifurahia maisha ya wokovu duniani. Taratibu jamii hii imeanza kuelewa mafunuo ya kufanikiwa huku ukiwa umeokoka tofauti na miaka ya zamani ambako jamii isiyoishi maisha ya wokovu waliona kuokoka ni kujitenga na mafanikio ya haraka haraka yaliyo tangible
 
Mfano nachoamini ni uongo wewe kwanini unateseka
Yaani kwanini unaumia au kukereka kwa maisha ya mtu aliyechagua na hayana kero yeyote kwako

Mimi kuamini kuna Mungu hakukupunguzii au kukuongezea chochote kwenye maisha yako

Siwezi poteza mda kubishana na mtu masuala ya Mungu kuwepo au kutokuwepo sina huo mda wa kupoteza
Unaamini kitu ambacho unashindwa kukitetea, kwa kushambulia watu wanaukuuliza uthibitisho wa imani yako
Haujakatazwa wala kulazishwa kutoamini unachoamini na sheria zote duniani zinakutetea na chaguo lolote la imani yako.
Lakini kama unashindwa au haupendi kuulizwa kuthibitisha imani yako au maelezo uliyoyaleta hapa , hapo ndipo inakuwa tatizo unapoleta haya maelezo ya imani yako kwenye mitandao ya jamii bila kuwa uthibitisho uhakika wa haya maelezo au imani yako.
Kwa hiyo hii posti yako haina ukweli wowote bali ni imani zako potofu ulizoshindwa kuzithibitisha....
 
Kama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri

Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate

Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana

Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea

Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni

Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto

Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu

Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Na changamoto unayoiweza kuihimili hio sio changamoto

Kwako ni changamoto mpaka pale wewe binafsi imekushinda hio ndo changamoto ninayoongolea
Hii ni vice versa, badala ya Wakristu ungeweka Waislam.
 
Kama kinavyosema kichwa cha habari hili ni swali ambalo watu wengi wamekua wakijiuliza kwanini walokole wengi sio wote hali zao za kipato sio nzuri japokua kwenye biblia wameahidiwa baraka nyingi sana na Mungu na huku watu wanaoishi maisha yasiyompendeza Mungu wanamaisha mazuri na familia zao zinaishi vizuri

Unatakiwa uwe jasiri ili urithi ahadi za Mungu
Walokole wengi sana wanataka Mungu awaletee baraka mezani kwenye sahani huku kiuhalisia unatakiwa upiganie kisawa-sawa, baraka yeyote ile Mungu anayotaka kukupa inakipimo cha ujasiri ndani yake hutaipata kirahis rahisi lazima uwe jasiri ili uipate

Mungu hajibu maombi kama unavyotaka wewe
Wengi tunamuomba Mungu mahitaji mengi ukweli ni kwamba alishajibu kitambo ila sisi tunafeli sababu tunataka atujibu tunavyotaka ndo hapo tunafeli mfano unamuomba Mungu kuhusu ajira baada ya mda inatokea kazi ila mshahara ni laki 2 wengi wetu tunakataa ila Mungu anakua ameshakujibu tayari we unaona laki 2 ila Mungu anaona mamilioni na kutokujua hili wengi wetu tunafeli sana

Mungu anataka ufanikiwe kati-kati ya vurugu, kupingwa na kuchukiwa
Wengi wetu tunataka kufanikiwa kwenye comfort zote hiyo ndo changamoto kubwa inayotusumbua
Jambo la wewe kujua baraka ya Mungu kuja inaambatana na vurugu nyingi na magumu mfano Mungu anaweza kupa uongozi kwenye ngazi yeyote ile ila kuwa na uhakika utaibuka upinzani mkali ambao hukuutegemea kosa la wengi wetu tuna-quit ndo tunapokosea

Baraka yeyote ya ki-Mungu lazima iambatane na uchungu mkali sana mwanzoni
Mungu alimwambia eva utazaa kwa uchungu na akamwambia adamu utakula kwa uchungu; ukiangalia keyword hapo ni uchungu
Baraka yeyote kwa asilimia 99 lazima itaambatana kwa uchungu mwanzoni ndo uipate ni baraka chache sana zinaambatana na furaha mwanzoni

Unapokutana na changamoto yeyote usikimbilie kuitoa bali muombe Mungu iwe irrelevant (tafuta namna ya kuishi nayo) na baada ya hapa muombe tena Mungu akuonyeshe utajiri, heshima na utukufu wa Mungu uliopo ndani ya hiyo changamoto

Kosa kubwa sana wanalofanya watu ni kutumia nguvu kubwa kuondoa changamoto zinazowakabili jambo la wewe kufahamu changamoto yeyote ndani yake kuna utajiri, heshima na tukufu wa Mungu
Sasa unapokimbilia kuiondoa changamoto inayokukubali unapoteza hivyo vitu vitatu utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu

Ndo maana unaweza omba Mungu hitaji flani akakuletea changamoto au tatizo kumbe pasipokujua ndani ya hilo tatizo au changamoto kuna utajiri, heshima, na utukufu kwa Mungu
Na changamoto unayoiweza kuihimili hio sio changamoto

Kwako ni changamoto mpaka pale wewe binafsi imekushinda hio ndo changamoto ninayoongolea
Si kweli, sote tunajuwa duniani kote watu watu wasiosoma na walio na maisha duni ni Waislam. Kutokana na chuki za kutokuwa na maisha mazuri wanajilipua na kwenda motoni kupewa mabikra 72 walioahidiwa na shetani (Allah).
 
Utajiri maana yake nini??
Bongo matajiri ni wachache, na wenye pesa ni wezi kupitia chamani.

Makonda ni billionaire sababu yuko kundini, lakini angesema atafute angekuwa bado mlalahoi, hata elimu ilimshinda lkn saiv ni msomi kwa support za kundi rangi ya forest.

Utajiri upo wazi kwa kila mtu, na njia ni mbili halali na haramu.
Unachagua na malipo ni hapa hapa duniani
Malipo yanaanzia hapa duniani na yanaendelea hata baada ya mfumo wa kidunia kuisha!
 
Unaamini kitu ambacho unashindwa kukitetea, kwa kushambulia watu wanaukuuliza uthibitisho wa imani yako
Haujakatazwa wala kulazishwa kutoamini unachoamini na sheria zote duniani zinakutetea na chaguo lolote la imani yako.
Lakini kama unashindwa au haupendi kuulizwa kuthibitisha imani yako au maelezo uliyoyaleta hapa , hapo ndipo inakuwa tatizo unapoleta haya maelezo ya imani yako kwenye mitandao ya jamii bila kuwa uthibitisho uhakika wa haya maelezo au imani yako.
Kwa hiyo hii posti yako haina ukweli wowote bali ni imani zako potofu ulizoshindwa kuzithibitisha....
Bahati mbaya yako wewe na wenzako wasioamini katika Mungu na uwepo wake ni kwamba huo uthibitisho mnaoutaka una kanuni yake ambayo ninyi wote hamuitaki(hampo tayari kuifuata).

Huwezi ukasema unataka kupata eneo la duara halafu kanuni ya kulipata hilo eneo la duara huitaki(unaipinga). Hapo mtakesha![emoji3]
 
Si kweli, sote tunajuwa duniani kote watu watu wasiosoma na walio na maisha duni ni Waislam. Kutokana na chuki za kutokuwa na maisha mazuri wanajilipua na kwenda motoni kupewa mabikra 72 walioahidiwa na shetani (Allah).
Mkuu mi sio mwislam ila mwislam halisi kabisa huws wa wameridhika sana,unaweza kumwona ana maisha duni hila watu hawa hawana tamaa. Pili matajiri wakubwa kabisa hapa tz ni waislam, matajiri wakubws kabisaa duniani ni waislam. Sababu esnafanya kazi kwa bidii na wanadali sana kuliko wakristo
 
Sawa hakuna ukilala usisahau kunywa maji na ukiamka asubuhi usisahau kupiga mswaki
Usahaulifu nao ni udhihirisho kuwa hakuna Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.

Ikitokea nmesahau kupiga mswaki maanayake mdomo utanuka na meno kushambuliwa na bacteria.

Kama unakubali kwamba hakuna Mungu Swali langu ni kwamba, kwanini mnahadaa watu kuwa kuna Mungu?
 
Back
Top Bottom