Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Ahsanta! Nitafute haraka kabla 10 la kwanza halijaisha.Waarabu pekee ndio waliotokana na uislam kupitia Mtume wetu Muhammad (SAW),wengine wote tumezaliwa ktk jamii za waliosilimishwa.
Hata hivyo hoja hapa ni Wamasai Waislam regardless mambo ya kusilimishwa.