Unadhani watu wanapiga ili waue? Kifo huwa ni matokeo tu na ni nadra ili ikitokea inabadili maisha yako moja kwa moja. Utatamani urudishe tukio nyuma.ukipgwa kofi la sikioni lazima ukate network ila ukiwa na precision ya kulenga shavu uwez kuua
Kwahyo ulimuacha mkeo kwasababu hiyo tu?Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu.
Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake walijikusanya wakachanga milioni 3. Zile mbili zilizopungua mke wangu alikuja kuniomba nitoe hizo hela ili kukamilisha malipo ya dhamana.
Sikuwa na hiyo hela, nilimwambia wazi kuwa sina hela. Kilichotokea sasa baada ya kumwambia hivyo alinifokea kwa ukali akinituhumu kuwa nina roho mbaya na sipendi kusaidia ndugu zake Ila naweza kuhonga malaya tu huko mitaani.
Sikufurahishwa na hayo aliyoniambia so nilimfata na kumcharaza kwa vibao vitatu vya shavu ili kumshikisha adabu. Alipiga yowe la uchungu na kutoka baru akatokomea sijui wapi huko.
Baada ya kama lisaa limoja hivi nilipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni polisi akinitaka nifike kituoni, nilishangaa Ila niliitikia wito.
Nilipofika kituoni mshangao wangu ukawa mkubwa zaidi baada ya kumkuta mke wangu yupo hapo na alifika hapo kuripoti kuwa nimemshambulia kwa kukusudia. Nilishindwa kujitetea maana ni kweli nilimpa Kichapo.
Afande aliyeshughurikia hayo malalamiko ya mke wangu alisema hawezi kulimaliza hilo suala muda huo maana ilikuwa ni saa mbili usiku, atalishughurikia kesho yake asubuhi. Afande alimtaka mke wangu arudi nyumbani Ila mimi sikuruhusiwa kurudi nyumbani bali nilitakiwa kulala hapo kituoni.
Muda mfupi baada ya mke wangu kuondoka niliamriwa na afande wa zamu kuvua viatu na mkanda wa suruali kisha nikasukumwa kwenye kachumba kasiko na dirisha wala taa nikawa nimelala polisi kwa mara ya kwanza.
Nililala kwa usiku mmoja tu, asubuhi tuliyamaliza mambo ya kipolisi kishikaji nikaachiwa huru asubuhi hiyo.
Nikiwa na hasira kali sikurudi home niliamua tu kuachana na huyo mwanamke wa kinyiramba.
Tuliowahi kulazwa polisi na wake zetu tujuane hapa.
Male feminist katika ubora wako.Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Wakati anatongozwa hakujibu ovyo. Majibu ya ovyo yanaashiria ameanza kukengeuka. Makofi ya hapa na pale yanasaidia kuwarudisha kwenye mstari.Kama uliweza kumtongoza kwa lugha nzuri yenye ushawishi hadi akaja kuishi na wewe,unashindwaje kumpa na kumzoesha lugha za mvuto na ushawishi ili aendelee kukusikiliza bila majibizano na vurugu?Kipigo ni ushahidi kwamba huna uwezo wa kujieleza ukaeleweka.Rejea kwa mleta uzi alivyotupwa selo kwa kushindwa kujieleza kwa askari kwa umakini,kutulia na kushawishi askari.
Mimi sitetei wanawake wajinga,wajeuri na waso adabu majumbani mwao.Ninajaribu kutoa ushauri kwa wanaopenda kuitafuta amani kwa kupiga wenza wao.Si njia nzuri kabisa ya kutatua mambo.Kipigo kina hasara nyingi sana kuliko suluhu ya maneno.Male feminist katika ubora wako.
Wakati anatongozwa hakujibu ovyo. Majibu ya ovyo yanaashiria ameanza kukengeuka. Makofi ya hapa na pale yanasaidia kuwarudisha kwenye mstari.
Kwenye ndoa hakuna demokrasia 'kila wakati'.
Malizia stori mkuuMimi kuna mmoja aliwahi nipeleke, nikaitwa dawati la jinsia, nikaenda.
Wakaanza ngonjera na vitisho kuwa nimempiga. Nikawaambia aeleze vizuri kosa ni lipi, aksema hakuwapikia watoto alikuwa anajisikia vibaya. Akaulizwa kama alitoa taarifa kwangu, akakataa.
Kimwanamke kimoja kikaanza, hata kama hakupikia watoto, huna haki ya kumpiga. Nikamuuliza unao ushahidi kama nimempiga, akasema mimi nimepokea malalamiko, nina uwezo wa kukuweka lockup. Nikamwambia, majadilianao yameishia hapa, nipelekeni mahakamani.
Basi wakachachamaa kuwa nina kiburi, watamsaidia mke wangu na watanipa fundisho, nikasema nasubiri. Kimbembe ikawa mke wangu hataki niwekwe lockup. Maana anajua jinsi nilivyokuwa na react sikuwa natania, ndoa ingeisha. Wakamwambia aandike maelezo, mimi nawekwa lockup then mahakamani. Wife akawajibu sina ushahidi mahakamani, na sitaki awekwe lockup maana hana kosa. π
Kilichoendelea ni yeye kukoswa kofi na kidada kimoja, eti unatusumbua. Kidogo akaja OCD akasikiliza marumbano, akawambia msizunje ndoa za watu, huyu dada anampenda mmewe, waacheni huru.
Kurudi home hana hata nauli, anatembea kwa miguu. Nikampa nauli ya daladala, nikapanda boda boda nikaondoka. Home nikawachukua watoto nikaondoka nao kwenda matembezi bila kumpa taarifa. Jioni hatukurudi, ππ ngoja niishie hapa story ndefu na inachekesha mwishoni.
DuuhMimi kuna mmoja aliwahi nipeleke, nikaitwa dawati la jinsia, nikaenda.
Wakaanza ngonjera na vitisho kuwa nimempiga. Nikawaambia aeleze vizuri kosa ni lipi, aksema hakuwapikia watoto alikuwa anajisikia vibaya. Akaulizwa kama alitoa taarifa kwangu, akakataa.
Kimwanamke kimoja kikaanza, hata kama hakupikia watoto, huna haki ya kumpiga. Nikamuuliza unao ushahidi kama nimempiga, akasema mimi nimepokea malalamiko, nina uwezo wa kukuweka lockup. Nikamwambia, majadilianao yameishia hapa, nipelekeni mahakamani.
Basi wakachachamaa kuwa nina kiburi, watamsaidia mke wangu na watanipa fundisho, nikasema nasubiri. Kimbembe ikawa mke wangu hataki niwekwe lockup. Maana anajua jinsi nilivyokuwa na react sikuwa natania, ndoa ingeisha. Wakamwambia aandike maelezo, mimi nawekwa lockup then mahakamani. Wife akawajibu sina ushahidi mahakamani, na sitaki awekwe lockup maana hana kosa. π
Kilichoendelea ni yeye kukoswa kofi na kidada kimoja, eti unatusumbua. Kidogo akaja OCD akasikiliza marumbano, akawambia msizunje ndoa za watu, huyu dada anampenda mmewe, waacheni huru.
Kurudi home hana hata nauli, anatembea kwa miguu. Nikampa nauli ya daladala, nikapanda boda boda nikaondoka. Home nikawachukua watoto nikaondoka nao kwenda matembezi bila kumpa taarifa. Jioni hatukurudi, ππ ngoja niishie hapa story ndefu na inachekesha mwishoni.
Ni kweli,ukishamcharaza kama hivyo unampa siku kama tatu hivi,unamtoa outing jioni,mkirudi ule usiku penzi lake huwa linakuwa tamu balaa,maana mnakuwa mmefuta kila kitu penzi linaanza tena moja.Ogopa sana hawa wanaojidai hapigi hata kofi moja,anaweza kukununia hata mwezi na siku vikimfika vya kumfika ndio wa kwanza kuchukua kisu na kuua.....Male feminist katika ubora wako.
Wakati anatongozwa hakujibu ovyo. Majibu ya ovyo yanaashiria ameanza kukengeuka. Makofi ya hapa na pale yanasaidia kuwarudisha kwenye mstari.
Kwenye ndoa hakuna demokrasia 'kila wakati'.
Uuwiii. π πHilo moja lenyewe nakurudishia.
Mwanamke alikosea hapo.Uliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Kuna sababu nyingine sikuzitaja hapa, Ila sababu ya kunilaza rumande ndio kichocheo kikuu kilichonipelekea niachane naye.Kwahyo ulimuacha mkeo kwasababu hiyo tu?
Kweli binadamu wengi ni kipengele, kwa jinsi hii stori yako inavyotia aibu hakutakiwa kuihadithia ukiwa proud namna hiyo.Mimi kuna mmoja aliwahi nipeleke, nikaitwa dawati la jinsia, nikaenda.
Wakaanza ngonjera na vitisho kuwa nimempiga. Nikawaambia aeleze vizuri kosa ni lipi, aksema hakuwapikia watoto alikuwa anajisikia vibaya. Akaulizwa kama alitoa taarifa kwangu, akakataa.
Kimwanamke kimoja kikaanza, hata kama hakupikia watoto, huna haki ya kumpiga. Nikamuuliza unao ushahidi kama nimempiga, akasema mimi nimepokea malalamiko, nina uwezo wa kukuweka lockup. Nikamwambia, majadilianao yameishia hapa, nipelekeni mahakamani.
Basi wakachachamaa kuwa nina kiburi, watamsaidia mke wangu na watanipa fundisho, nikasema nasubiri. Kimbembe ikawa mke wangu hataki niwekwe lockup. Maana anajua jinsi nilivyokuwa na react sikuwa natania, ndoa ingeisha. Wakamwambia aandike maelezo, mimi nawekwa lockup then mahakamani. Wife akawajibu sina ushahidi mahakamani, na sitaki awekwe lockup maana hana kosa. π
Kilichoendelea ni yeye kukoswa kofi na kidada kimoja, eti unatusumbua. Kidogo akaja OCD akasikiliza marumbano, akawambia msizunje ndoa za watu, huyu dada anampenda mmewe, waacheni huru.
Kurudi home hana hata nauli, anatembea kwa miguu. Nikampa nauli ya daladala, nikapanda boda boda nikaondoka. Home nikawachukua watoto nikaondoka nao kwenda matembezi bila kumpa taarifa. Jioni hatukurudi, ππ ngoja niishie hapa story ndefu na inachekesha mwishoni.
Mimi kuna mmoja aliwahi nipeleke, nikaitwa dawati la jinsia, nikaenda.
Wakaanza ngonjera na vitisho kuwa nimempiga. Nikawaambia aeleze vizuri kosa ni lipi, aksema hakuwapikia watoto alikuwa anajisikia vibaya. Akaulizwa kama alitoa taarifa kwangu, akakataa.
Kimwanamke kimoja kikaanza, hata kama hakupikia watoto, huna haki ya kumpiga. Nikamuuliza unao ushahidi kama nimempiga, akasema mimi nimepokea malalamiko, nina uwezo wa kukuweka lockup. Nikamwambia, majadilianao yameishia hapa, nipelekeni mahakamani.
Basi wakachachamaa kuwa nina kiburi, watamsaidia mke wangu na watanipa fundisho, nikasema nasubiri. Kimbembe ikawa mke wangu hataki niwekwe lockup. Maana anajua jinsi nilivyokuwa na react sikuwa natania, ndoa ingeisha. Wakamwambia aandike maelezo, mimi nawekwa lockup then mahakamani. Wife akawajibu sina ushahidi mahakamani, na sitaki awekwe lockup maana hana kosa. π
Kilichoendelea ni yeye kukoswa kofi na kidada kimoja, eti unatusumbua. Kidogo akaja OCD akasikiliza marumbano, akawambia msizunje ndoa za watu, huyu dada anampenda mmewe, waacheni huru.
Kurudi home hana hata nauli, anatembea kwa miguu. Nikampa nauli ya daladala, nikapanda boda boda nikaondoka. Home nikawachukua watoto nikaondoka nao kwenda matembezi bila kumpa taarifa. Jioni hatukurudi, ππ ngoja niishie hapa story ndefu na inachekesha mwishoni.
AtaPol
Pole sana mkuu kwa mapito hayo. Nami ningefanya hivyo hivyo. Ila mimi wakati navua mkanda na viatu,nimgemwambia kabisa NIKITOKA NISIKUKUTE NYUMBANI!
Aiseee hahaMimi mke wangu alichukua 3M ya biashara akamkopesha shoga yake anaedaiwa kwenye mikopo nyonya damu wakati shoga yake hana kazi yoyote itakayo msaidia kulipa hilo deni.
Ikabidi niende polisi mwenyewe nikawaambia polisi waniweke ndani maana nikibaki nje ntamuua wife.
Kuna kipengere kinachomtaka mwanamke awe na nauli muda wote?.Kweli binadamu wengi ni kipengele, kwa jinsi hii stori yako inavyotia aibu hakutakiwa kuihadithia ukiwa proud namna hiyo.
Kuoa mwanamke ambaye hana pakwenda ni nzuri for man's ego. Na kwanini mkeo hana nauli? π€¦ββοΈπ€¦ββοΈ
Ndio, binadamu wa kike au wakiume tunapaswa kuwa na akiba muda wowote, kwenu hukuambiwa kuhusu kukanyaga nyanya za watu kipindi unakua?Kuna kipengere kinachomtaka mwanamke awe na nauli muda wote?.
Kwani hajaolewa?Dawa ni kuoa polisi mwenye cheo.
Namnyemelea Suzan K, akijaaa naoa kabisa
Unamaanisha hakuna nyakati unatembea huna hula hela mfukoni?.Ndio, binadamu wa kike au wakiume tunapaswa kuwa na akiba muda wowote, kwenu hukuambiwa kuhusu kukanyaga nyanya za watu kipindi unakua?
Au umejilea mtaani.
Mhusika ameisema kwa kejeli nami nikamuuliza kwa kejeli kwanini mkeo hakuwa na nauli? Ameisema as if it is funny wakati si kitu kizuri.Unamaanisha hakuna nyakati unatembea huna hula hela mfukoni?.
Mimi nimeshangaa dai lako maana nina nyakati zisizo hesabika nakuwa kitaa na sina hela na huwa sioni hatari katika hilo.
Kweli mkuu huyo kaka yake alivyokuwa anafanya ujagiri pesa alikuwa ana wagaiahuyo Mwanamke ali kosa hekima,masuala binafsi ya Kaka ake, ana kuhusisha vipi kwa ulazima.