Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?

Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?

Ilikuwa ukimaliza tu kula usiku Kama hajapitia kilabuni siku hiyo uatasikia " hayaa kakojoeni mkalale".............. Hili limenilemaza Hadi Leo hata nikiwa napata moja Moto moja baridi au nimetoka na washkaji kidogo Mara nyingi nikijitahidi Sana mwisho saa tatu usiku......

Ila all in all , he was right in his own perspective na kumpa zawadi ni suala la msingi... Tatizo zawadi gani maana za wamama rahisi Sana.
Mhh... really? Nutajie characters za baba yako na nikusaidie.

Ni kweli kabisa huwa kwa wanaume kuchagua zawadi huwa ni ngumu sana kwao. Kwa sisi wanawake ni rahisi sana coz tunajua kumsoma mtu na kujua anatakiwa kupatiwa nini... ila kuna vitu huwa ni basic pia mkuu
 
Mwanzo nilikua natuma hela, ila nilibadilisha kulingana na status aliyokuwa nayo. Yaani iko hivi mshua alikua senior officer NGO flani hivi, baada tu ya kustaafu akaanza kuishi maisha ambayo hakuwahi yaishi yaani ile hadhi ya chini kabisa mara mashati/viatu vilivyochanika, hapo unakuta maza hana time nae.

Sasa kazi yangu ni kufix hilo eneo, yaani tamtafutia Tishet classic na open shoes za ngozi ile pure kabisa mwenyewe akitinga anaweka na mkanda nje kwenye suruali. Na huwa anazipenda sana hizo zawadi. Kiukweli mie mshua huwa namkubali sana japo nae pia alikua anapungufu yake. Ila yeye ndio sababu ya mie kuwa hapa nilipo.
Aweee[emoji7][emoji7] jamaniiii hadi rahaa.
May God keep me longer for my husband nimhudumie jamani awe smart muda wote jamani. And may God bless u jaman. U are doing a great job. Unarikiwe kila leo... wamama kuna time wanapitiwa tu.
 
Kuna mzee mmoja mwenye busara aliwahi sema kama wewe " wazazi wenu wanapendana sana na wanaoneana wivu wavumilieni" itakua labda .... ila nimependa sana spirit ya mshua wako kwa mkewe na ndiyo staili ninayoenda nayo na mke wangu. Nashukuru sana Mungu mke wangu hana mizengwe kabisa, angekua nayo ase ningeshindwa kuvumilia, kuvumilia yataka moyo
I am soo jelousy kwa mama yangu jamani. Jinsi baba anamtreat mama no wonder. Mama ndugu zake wa kike karibia woote wamerudi nyumbani na watoto wao ni single mothers na wala hawana wasiwasi. Wanamtaniaga mama eeh kwakweli mwenzetu ulijua kuolewa[emoji23][emoji23] yaan hata mimi ningekua mama niondoke niende wapi. Anavyomnyenyekea baba sasa ndo weeeh... na mimi namsifoaga baba bwana umejua kuoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mama. Baba anafurahigi. Ananiuliza kiaje mwanangu. Namwambia namwomba Mungu niwe mnyenyekevu kama mama. Baba na yeye anajionaga mfaaalmeeee... sema namnunuliaga baba mashati balaaa kwa sharti yasipomtosha ampe dogo[emoji23][emoji23] natafuta hela nimnunulie saa kali maana hawa wazee exposure walishaipata tolea miaka hiyo Nairobi huko. Nampenda baba.. na hivi anakula pombe basi viwhisk nampatia.. daddies are sweet bwana hasa akikukubali
 
Zawadi mzee ananunuliwa kutokana na mahitaji na kitu anachokipenda au angetamani kuwa nacho
Pamoja na kuwa zawadi za baba mara nyingi huwa ni za familia ila ni kweli kuwa baba alitakiwa ahakikishe vinapatikana
Mf:
  1. Kumkatia Bima ya Afya (Kama hana ni zawadi muhimu kuliko suti)
  2. Kumkarabatia/ Kumjengea nyumba kama iliyopo imechoka au haikidhi hali ya sasa
  3. kumwekea maji & Umeme nyumbani kwake nk
  4. Kumnunulia Simu, radio, TV nk
  5. Usafiri wowote kulingana na uwezo (Kama anahitaji)
  6. Kumwekea fixed amount ya kumpatia kila mwezi kwa kadri Mungu alivyo kubariki.
Mwisho;
Kuangalia Changamoto anazopata kutoka kwa familia na kumsaidia kuzibeba

Wababa wengi wanashukrani sana ukimsaidia kubeba majukumu yanayo muumiza kichwa hata kama sio ya kwake binafsi
Mtani wangu mpare... hapo kwenye namba 6 hapo[emoji23][emoji23] marehemu babu yangu alikuwa anawekewa hela kila mwisho wa mwezi, bado kila mtoto anamtumia hela kwenye simu, na wajukuu pia. Babu alikua na mchepuko wake hakika ni chombo kama bibi... ule mchepuko ulikula sana bata kwa hela zetu[emoji119][emoji119] maini. Kuku, etc. Babu akipata hela ama dawa za presha anagawana na mchepuko. Ugomvi uliibuka mpaka kwa Paroko. Babu aliapa kamwe asilani hataacha kumuhudumia mjane[emoji23][emoji23][emoji23] yaan paroko mwenyewe aliblow mapigo. Basi paroko akasema huku ukoo wa mamngi ni tatizo akanawa. Siku nikaenda moshi nikamnunulia babu yangu kipenzi whisk. Alinikera sana kumpelekea mchepuko wake halaf akanikana dili tulilopanga. Yaan kifupi babu alija badilika akawa hana shukrani. Hata saa aliyonunuliwa na mwanaye ya gharamaaa akasema mbaya akaighawa. Toka agawe ile whisk sikuwahi mpa tena kitu na nikajifanya kupiga simu fake mbele yale nikimuagiza mtu aniwekee laki tano yangu kwenye namba niliyompigia kumrusha tu roho maana hana shukrani. Jicho lilimtokaaa ndo roho yangu ikapata amani. Unisamehe tu babu uliko nilikurusha roho ile siku... sijui kwann wababa wengine hawanaga shukrani
 
Mie ningepata mume anayetreat nicely kama baba kwakweli ningefurahi...huwa namwambia mama live.mama mume umepata! Namuulizaga ulisali kwanza au?
Yule mwanaume haoni shida kumpa chochote kile mkewe jamani...ila kuna wanawake wana raha kwenye ndoa zao jamani ..we pata pichq hata chumvi iishe unaambiwa kamuombe babu hela ya chumvi imagine 500k?
Mie mama naamini hata namba za luku hazijui ..
Baba anasimamia show maji yapande kwenye tanki la nje kutoka kisimani ..maji yakijaa kuna alarm inamuonesha anaenda funga nje ...
Ingawa zaman enzi hizo tunaambiwa dingi alikua chapombe lakini treatment anazompa mkewe sio za kawaida...kifupi mama anaishi kama mke wa waziri .arghhh
Sasa sisi wengine usiponunua umeme jua mnalala gizani..ukiugua jua ujiuguze tu mwenyewe, hata kupelekwa hosy sahau...jiendeshe tu mwenyewe ufike hosp ukafie huko !

Nb;SIJAWAHI MUONA BABA ANAMUOMBA MAMA HELA!
[emoji1784]
Hehehe eeh.. mbona ninepata wivu pia jamani... huwa wenzetu wanawapataga wapi jamani? Lakini naamini muda sahihi utafika na tutazipata tu. Nadhani its high time wazazi wawafunde vijana how to be gents. How they should treat their ladies. Mimi namkubali sana baba jamani. Na anavyotupenda watoto wa kike sasa[emoji23]
Anasemaga hayo ya kiume mapumbavu sana maana muda wote yanajifanya yako busy eti wakati yeye ndo kawafikisha hapo kwenye huo ubize. Wako busy na maisha eti... nataka weekend nikamuoshe miguu baba kwanza. Nimsuguee... nimfanyie massage na mama. Na kucha kama ndefu niwakate. Kwa upendo kabisa[emoji7] na mume wangu nutakua namfanyia ili na mimi nifaidike na hizi treatments jamani[emoji23][emoji23] wanangu waje kuniandika kwenye threads huku jf siku moja nikiwa hai ama mfu
 
Hehehe eeh.. mbona ninepata wivu pia jamani... huwa wenzetu wanawapataga wapi jamani? Lakini naamini muda sahihi utafika na tutazipata tu. Nadhani its high time wazazi wawafunde vijana how to be gents. How they should treat their ladies. Mimi namkubali sana baba jamani. Na anavyotupenda watoto wa kike sasa[emoji23]
Anasemaga hayo ya kiume mapumbavu sana maana muda wote yanajifanya yako busy eti wakati yeye ndo kawafikisha hapo kwenye huo ubize. Wako busy na maisha eti... nataka weekend nikamuoshe miguu baba kwanza. Nimsuguee... nimfanyie massage na mama. Na kucha kama ndefu niwakate. Kwa upendo kabisa[emoji7] na mume wangu nutakua namfanyia ili na mimi nifaidike na hizi treatments jamani[emoji23][emoji23] wanangu waje kuniandika kwenye threads huku jf siku moja nikiwa hai ama mfu
Hahaha wewe uko karibu zaidi aisee kunizidi mimi..mie kwa watoto wote ndo kipenzi cha baba..lakini ni mkali na mtata balaa .so sina ukaribu huo wa kumgusa hata miguu .weee..naanzaje!
Ajabu mamangu bado analalamikaga hampi treatment bzuri namwambiaga je unaweza kuishi na mume asiyejua unavaa nini unatibiwaje? Unaweza? Yeye kwensa clinic tu anapewa zaidi ya 400k..na hapo anabima ya 1m...! Namwambiaga mama unakufuru tena ushindwe kbs...!kuna mambo mama anakosea sana hapo hom esp kwa wafantakazi ila mumewe anamkingia kifua tunachekaga balaa .yaan baba mguse koote usimguse mama🤣🤣!utajuutraaa...sasa wengine wanafurahi uanguke waanze kufurahi🤣🤣!
Mpende baba aisee..nampenda baba hadi nahis nakufuru
 
I am soo jelousy kwa mama yangu jamani. Jinsi baba anamtreat mama no wonder. Mama ndugu zake wa kike karibia woote wamerudi nyumbani na watoto wao ni single mothers na wala hawana wasiwasi. Wanamtaniaga mama eeh kwakweli mwenzetu ulijua kuolewa[emoji23][emoji23] yaan hata mimi ningekua mama niondoke niende wapi. Anavyomnyenyekea baba sasa ndo weeeh... na mimi namsifoaga baba bwana umejua kuoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mama. Baba anafurahigi. Ananiuliza kiaje mwanangu. Namwambia namwomba Mungu niwe mnyenyekevu kama mama. Baba na yeye anajionaga mfaaalmeeee... sema namnunuliaga baba mashati balaaa kwa sharti yasipomtosha ampe dogo[emoji23][emoji23] natafuta hela nimnunulie saa kali maana hawa wazee exposure walishaipata tolea miaka hiyo Nairobi huko. Nampenda baba.. na hivi anakula pombe basi viwhisk nampatia.. daddies are sweet bwana hasa akikukubali
Mtoto wa baba kumbe ni wewe.
 
Habari wadau,

Moja kati ya mada muhimu za kuweka mezani siku hizi ni kuhusu uhusiano kati ya watoto na Baba. Imekuwa kawaida kwa mama kupewa kipaumbele kuanzia ngazi ya familia mpaka jamii.

Kuna wakati taasisi fulani ilifanya tafiti ndogo ya kuwaambia wanaume waliokuwa wanafanya kazi umo kuwapigia baba zao simu na kuwaambia "Nakupenda", Lilikuwa zoezi gumu sana kwa wengi wao.

Leo tuzungumzie swala la zawadi. Mdau tuambie:

1. Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?
2. Unakumbuka ni lini?
3. Ilikuwa zawadi gani?
Ngumu kidogo kwangu,Me na mzee hatuna mazoea zaidi ya salamu hats kama tutakuwa hatujaonana kwa muda mrefu.kuna kipindi alizingua nilimaindi kisha nikaandika ujumbe kwa karatasi"Nakupenda baba" nikaweka mezani room kwake ila muda ulivyoenda nikautoa kabla hajauona..
Kitu kimoja nakipenda kuhusu yeye huwa anapenda kuniongelea vizuri kwa watu wengine nisipokuwepo,nikiwa naye huwa hatupigi stories na dakika moja mbele ni bifu za ajabu tu.
 
Hahaha wewe uko karibu zaidi aisee kunizidi mimi..mie kwa watoto wote ndo kipenzi cha baba..lakini ni mkali na mtata balaa .so sina ukaribu huo wa kumgusa hata miguu .weee..naanzaje!
Ajabu mamangu bado analalamikaga hampi treatment bzuri namwambiaga je unaweza kuishi na mume asiyejua unavaa nini unatibiwaje? Unaweza? Yeye kwensa clinic tu anapewa zaidi ya 400k..na hapo anabima ya 1m...! Namwambiaga mama unakufuru tena ushindwe kbs...!kuna mambo mama anakosea sana hapo hom esp kwa wafantakazi ila mumewe anamkingia kifua tunachekaga balaa .yaan baba mguse koote usimguse mama[emoji1787][emoji1787]!utajuutraaa...sasa wengine wanafurahi uanguke waanze kufurahi[emoji1787][emoji1787]!
Mpende baba aisee..nampenda baba hadi nahis nakufuru
Ha ha ha ha wamama wa kiafrika jaman tatizo. Bado analalamika? Me nahitaji mume wa hivyo jamani. Navyopenda na kudeka sasa[emoji119][emoji119] nimpate wapi hata sijui jamani.. mama anafokea wafanyakazi eh?[emoji23] ila inavutia sana kuwatch jinsi bana anamdeffend my wake. Mama anapata kiburi balaa hapo. Nitetewe hivyo mara moja naenda mtengenezea juice nzito sana ama nikammiminie whisk mara moja na busu kubwa kubwa[emoji23][emoji23] baba ananiutaga malaika wake basi weeee[emoji119][emoji119] naonaga kama sikanyagi lami. Utasikia leo navaa shati la malaika wangu[emoji23][emoji23] Mungu anipe uhai tu na baba yangu jamani... covid ndo muharibifu tuu bastard. Namtumiaga picha namwambia baba si nimeanza kupona unaskia ndio mamii na umependezaa[emoji23][emoji23] basi weeee... nawaonaga wengine kama majani ya mgomba tu hiyo mamii inavyitamkwaaa... baba mtamu jamani
 
Ha ha ha ha wamama wa kiafrika jaman tatizo. Bado analalamika? Me nahitaji mume wa hivyo jamani. Navyopenda na kudeka sasa[emoji119][emoji119] nimpate wapi hata sijui jamani.. mama anafokea wafanyakazi eh?[emoji23] ila inavutia sana kuwatch jinsi bana anamdeffend my wake. Mama anapata kiburi balaa hapo. Nitetewe hivyo mara moja naenda mtengenezea juice nzito sana ama nikammiminie whisk mara moja na busu kubwa kubwa[emoji23][emoji23] baba ananiutaga malaika wake basi weeee[emoji119][emoji119] naonaga kama sikanyagi lami. Utasikia leo navaa shati la malaika wangu[emoji23][emoji23] Mungu anipe uhai tu na baba yangu jamani... covid ndo muharibifu tuu bastard. Namtumiaga picha namwambia baba si nimeanza kupona unaskia ndio mamii na umependezaa[emoji23][emoji23] basi weeee... nawaonaga wengine kama majani ya mgomba tu hiyo mamii inavyitamkwaaa... baba mtamu jamani
🤣🤣🤣🤣 mie baba yangu hataki nipatwe na janga ..yaan hataki ujue ! Nikiumwaga anapiga simu kwangu na kwa hubby anamwambia msisitize huyo anywe dawa...wapi wa kunisisitiza sasa🤣🤣!
Nakumbukaga kwa sendoff aliniambia mwanangu sio kusema unaenda kuolewa yakikushinda naomba urudi🤣🤣..hii inanipaga nguvu sana ..chaaa !
Tunakaaga mimi na shost angu tunaanza mhadithia mama maisha yetu tunamwambia unayaweza wewe hayo?? Anakaa kimyaa🤣🤣!
Mie nikikaa na mama in a week nishakwazana naye...! Yaani hapana haziivi .!
Kifupi ukitamani mwanaume wa aina fulani ndo hupati ng'o🤣! Unapata kimeo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mie baba yangu hataki nipatwe na janga ..yaan hataki ujue ! Nikiumwaga anapiga simu kwangu na kwa hubby anamwambia msisitize huyo anywe dawa...wapi wa kunisisitiza sasa[emoji1787][emoji1787]!
Nakumbukaga kwa sendoff aliniambia mwanangu sio kusema unaenda kuolewa yakikushinda naomba urudi[emoji1787][emoji1787]..hii inanipaga nguvu sana ..chaaa !
Tunakaaga mimi na shost angu tunaanza mhadithia mama maisha yetu tunamwambia unayaweza wewe hayo?? Anakaa kimyaa[emoji1787][emoji1787]!
Mie nikikaa na mama in a week nishakwazana naye...! Yaani hapana haziivi .!
Kifupi ukitamani mwanaume wa aina fulani ndo hupati ng'o[emoji1787]! Unapata kimeo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] yeeoomiii... nikiongea kitu hapa nitakosamo ndoa jamani... maybe kwakua wababa wamepitia ujana na wanawajua ndo maana wanatujazaga.. shouts out kwa wababa woote wasweet
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] yeeoomiii... nikiongea kitu hapa nitakosamo ndoa jamani... maybe kwakua wababa wamepitia ujana na wanawajua ndo maana wanatujazaga.. shouts out kwa wababa woote wasweet
🥰🥰🥰🥰😍😋
 
I am soo jelousy kwa mama yangu jamani. Jinsi baba anamtreat mama no wonder. Mama ndugu zake wa kike karibia woote wamerudi nyumbani na watoto wao ni single mothers na wala hawana wasiwasi. Wanamtaniaga mama eeh kwakweli mwenzetu ulijua kuolewa[emoji23][emoji23] yaan hata mimi ningekua mama niondoke niende wapi. Anavyomnyenyekea baba sasa ndo weeeh... na mimi namsifoaga baba bwana umejua kuoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mama. Baba anafurahigi. Ananiuliza kiaje mwanangu. Namwambia namwomba Mungu niwe mnyenyekevu kama mama. Baba na yeye anajionaga mfaaalmeeee... sema namnunuliaga baba mashati balaaa kwa sharti yasipomtosha ampe dogo[emoji23][emoji23] natafuta hela nimnunulie saa kali maana hawa wazee exposure walishaipata tolea miaka hiyo Nairobi huko. Nampenda baba.. na hivi anakula pombe basi viwhisk nampatia.. daddies are sweet bwana hasa akikukubali
Safi sana, mie mwenyewe mshua ananikubali sana hadi madogo huwa kuna mda unaona kabisa wana'mind, na hii ninajua ni kwasababu sikutaka kabisa kujihusisha na timbwili zake na mwanamaza japo yeye hajawahi niambia!!
 
I am soo jelousy kwa mama yangu jamani. Jinsi baba anamtreat mama no wonder. Mama ndugu zake wa kike karibia woote wamerudi nyumbani na watoto wao ni single mothers na wala hawana wasiwasi. Wanamtaniaga mama eeh kwakweli mwenzetu ulijua kuolewa[emoji23][emoji23] yaan hata mimi ningekua mama niondoke niende wapi. Anavyomnyenyekea baba sasa ndo weeeh... na mimi namsifoaga baba bwana umejua kuoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mama. Baba anafurahigi. Ananiuliza kiaje mwanangu. Namwambia namwomba Mungu niwe mnyenyekevu kama mama. Baba na yeye anajionaga mfaaalmeeee... sema namnunuliaga baba mashati balaaa kwa sharti yasipomtosha ampe dogo[emoji23][emoji23] natafuta hela nimnunulie saa kali maana hawa wazee exposure walishaipata tolea miaka hiyo Nairobi huko. Nampenda baba.. na hivi anakula pombe basi viwhisk nampatia.. daddies are sweet bwana hasa akikukubali
Inapendeza sana kama nyumba haina mwanamke maneno mengi, maneno mengi ya mwanamke yasiyo na break na staha katika familia yanaua familia kimchezomchezo mnaona.!!
 
Aweee[emoji7][emoji7] jamaniiii hadi rahaa.
May God keep me longer for my husband nimhudumie jamani awe smart muda wote jamani. And may God bless u jaman. U are doing a great job. Unarikiwe kila leo... wamama kuna time wanapitiwa tu.
Amina, unajua kama familia mlizoea ishi maisha flani gafla unaona mambo ya mebadilika lazima kama kijana mkubwa uwajibike kufix mambo, mwanzoni ishu kama kusomesha madogo niliona ni jukumu la mzee ila mzee alikomaa pensheni yake hasomeshi madogo akati sie tupo. So napo ikabidi tuwajibike, yeye hela yake ni kinywaji tu mengine sie tuna mrekebishia.
 
Safi sana, mie mwenyewe mshua ananikubali sana hadi madogo huwa kuna mda unaona kabisa wana'mind, na hii ninajua ni kwasababu sikutaka kabisa kujihusisha na timbwili zake na mwanamaza japo yeye hajawahi niambia!!
Hahaha me na mama walaaa sinaga story nae. Hatujawahigi kuwa friends. Ni dk 2 na hizo zinazofata ni vitaa[emoji23][emoji23] wamama qa kichagga apaa womiii... Mungu aniepushe nisije kuwa kama yeye...
 
Inapendeza sana kama nyumba haina mwanamke maneno mengi, maneno mengi ya mwanamke yasiyo na break na staha katika familia yanaua familia kimchezomchezo mnaona.!!
Hahaha sureee... kuna muda ndimi zetu zinakua kali sana na maneno kwasababu ya hasira
 
Back
Top Bottom