Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Naona ndo knachonikuta saizi[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kumpenda mtu kwa maneno au hadithi tamu au copy and paste duh kazi kweli kweli

Mimi introvent nimejificha hapa nyuma ya keybod najisomea koment na kucheka tu sijui mwaka gani nitaandika mada nipendwe.
 
Kumpenda mtu kwa maneno au hadithi tamu au copy and paste duh kazi kweli kweli

Mimi introvent nimejificha hapa nyuma ya keybod najisomea koment na kucheka tu sijui mwaka gani nitaandika mada nipendwe.
Wewe andika yeyote hata kujisaidia juu ya tundu la choomkuu
 
Kuna mmoja et alinipenda kisa sijui nili comment kitu gani huko mahali,,ahh mapenzi Ni upofu wakati mwingine
 
Mm niliwahi mpenda mtu humu jf kwa sababu ya content zake tu na mwisho nikajaliwa kupata kijana nae lkn mwisho wa siku alisepa kama upepo
 
Na uzee huu bado hisia zipo tu jamani, mmoja nikiona LIKE yake najiwazia tu hapa. Bad thing is, sina la kufanya! Akifanya kubisha naweza kum cc [emoji23][emoji23]
 
Na uzee huu bado hisia zipo tu jamani, mmoja nikiona LIKE yake najiwazia tu hapa. Bad thing is, sina la kufanya! Akifanya kubisha naweza kum cc [emoji23][emoji23]
Mu-cc
 
Wakuu,

Kuna binti mmoja wa TikTok, ni mzuri sana.

Yani nikikutana na video au picture yake hisia zinanipanda hadi utosini.

Ni yule binti ambaye mwili wake ni kama nywila ya kufuli zangu za hisia

Imebidi hadi ni uninstall TikTok kwa ajili yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…