Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

Ulishawahi kumpoteza mwenza kwa sababu ya utofauti wa kidini?

Hadi dhehebu?
Nilidhani nyie wakristo bwana na mwokozi wa maisha yenu wote ni Yesu
Yeah mie nlikua namanifest hadi dhehebu😃😃..Wazee wangu nawajua vizuri sana aisee ,. Makwazo mengine madogo madogo yanaweza kuepukika
 
Roma ilikuwa zamani, sasa hivi hamna kitu, mpaka mashoga ni mapadre hakuna lolote la kujivunia kwenye hilo genge
Nitafia hukuhuku Roma mkuu,. Dini zote ni utapeli sikuizi so kuhama hama ni kujichosha tu
 
Yeah mie nlikua namanifest hadi dhehebu😃😃..Wazee wangu nawajua vizuri sana aisee ,. Makwazo mengine madogo madogo yanaweza kuepukika
Kila la heri
Tukutane hapa after 5 yrs tukijaaliwa uzima
 
Kiranga Scars Infropreneur min -me Mjuni Lwambo ulishawahi kumpoteza mweza kwasababu ya kutokuwa na dini?
Japo siyo mie uliye niuliza swali, ila sito wahi ruhusu dini iingilie suala au utaratibu wangu wowote.

If I love her and she loves mez basi lazima tuli jadili kwa kina.
Kama nili weza kwenda church kisa Maureen (rip), and we were still young.
why nishindwe ukubwani??
 
Kuna muda unaanzisha mahusiano na mtu unaamini huyu ni wa ndoto kabisa ila linapokuja swala la dini unaishiwa nguvu kabisa.

Nilikutana na mtu mmoja alisema yeye hawezi kuolewa na mtu wa dini tofauti kwa sababu familia yake haitomruhusu na isitoshe baba yake amefariki hivyo hawezi kusaliti kiapo walichowekeana.

Nadhani ingefika mahali sasa hili jambo kwa wanafamilia litazamwe upya mana linaweza kupelekea mtu kumkosa mtu ambaye alimuona sahihikwa upande wake kisa dini.
NDugu yangu wa karibu aliachana na bby mama wake kwasababu ya dini,walikataa hata kujibu barua yake ya posa kisa jamaa ni mkristo na hakutaka kubadili dini.

Mwafrika kujifanya mjuaji wa dini za waarabu nao nia moja ya upunguani.

Sahivi mtoto analelewa na fala mwinginw yani dini imeleta utengano..kmmk.
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Acha ujinga mwanamke unampa sifa zote hiz,,, si ubadilishe din wew
 
Nilishapataga demu mkali sana wakibelgiji, demu ataki kusikia kabsa maswala ya Mungu iwe kanisani au msikitini tena anamind ukimletea hizo mada na anakiri wazi kuwa hatatamani wanae wajihusishe na izo mbanga. Nikaona hapa usikute nipo na shetani nikajaga kumpga chini japo haikuwa rahisi demu tulikuwa tunapendana sana.
 
Mimi nipo kwenye Hiko kipindi.
Nipo na msichana kwanza yuko third year chuo nimemkuta bikra.

Ana akili kubwa sana Yani ana uwezo mkubwa wa fast problem skills ana time management

Mzuri sana kila mtu haamini kama Nina mmiliki.

Wazazi wake sio haba wanajitegemea nikimuoa siwezi kuoa familia nzima

Hana marafiki wengi
Muelewa
Supporter sana financially

Yani ana kila sifa ya kuwa mke ila tatizo ni dini.

Yeye mkristo KKKT
Mimi muislamu.

Naona kabisa nampoteza ila sijui nifanyje
Kama kkkt huyu nipe namba zake mkuu. Dini muhimu msije muita kafiri huyu. Lete sisi wa Kkkt tumchumbie
 
Back
Top Bottom