Ulishawahi kununua asali kwenye duka la serikali? Uliwezaje?

Ulishawahi kununua asali kwenye duka la serikali? Uliwezaje?

Evelyn Salt

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
70,916
Reaction score
141,437
Ni mara ya tatu sasa naenda kwenye duka la linalomilikiwa na serikali linalouza asali ila sijawahi kufanikiwa. Duka lipo karibia na mataa ya Chang'ombe kama unaelekea mkuki house (Dar es Salaam).

Lile duka hawapokei cash malipo ni kwa control namba, lakini hata hiyo control namba mara zote ni ishu, kila siku network ni shida?

Majibu ni hatupokei cash ukisema nna hela kwenye simu unaambiwa network inasumbua sasa biashara wanafanya lini?

Nakereka sana kufunga safari ndefu halafu nafika majibu ndio hayo, hivi wameshindwa hata kuuza kwa risiti? Hadi nahisi labda huwa hawauzi je kuna mtu alishawahi kupata huduma pale?
 
Bora hata wewe uliambiwa kuhusu kulipia kwa control no 🤣🤣🤣 mie kila nikienda naambiwa hakuna.
Hakuna mzigo umeisha.
Njoo wiki ijayo.
Nikienda tena naambiwa mzigo haujafika.
Nilishaacha kwa kweli.
 
Bora hata wewe uliambiwa kuhusu kulipia kwa control no [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mie kila nikienda naambiwa hakuna.
Hakuna mzigo umeisha.
Njoo wiki ijayo.
Nikienda tena naambiwa mzigo haujafika.
Nilishaacha kwa kweli.
Kwani zinauzwaje mbona mnapapenda sana
Ni cheap? Quality au zina nini asali zao?
 
Bora hata wewe uliambiwa kuhusu kulipia kwa control no 🤣🤣🤣 mie kila nikienda naambiwa hakuna.
Hakuna mzigo umeisha.
Njoo wiki ijayo.
Nikienda tena naambiwa mzigo haujafika.
Nilishaacha kwa kweli.
mmh ila mashelf muda wote huwa yamejaa asali sijawahi kuona pamepungua ila sijawahi kuuziwa vile vile
 
Serikalini TEA wale wauza vitabu vya mashuleni pale BAMAGA ndio naona wapo vizuri sana huduma nzuri, unapewa Control namba na kulipa Fasta, ila kwingineko Daah MAJANGA
 
Kila kitu Serikalini kinaenda kwa mtindo huo lakini hapa namba moja wa kulaumiwa ni wananchi wenye nchi ambao badala ya kutimiza wajibu wao wa kuiwajibisha serikali huwa wapo wapo tu na kushangaa shangaa kama mazombi yaliyofufuka kutoka kuzimu.
We rudi kwanza Tanzania sio upo nje unalaumu waliopo huku😬
 
Acha uongo, mbona watu wananunua kila siku? Ni kweli kuna wakati stock huisha kwa sababu Asali inayouzwa hapo ni ile iliyozalishwa na Serikali tu.
 
Back
Top Bottom