Ulishawahi kununua asali kwenye duka la serikali? Uliwezaje?

Ulishawahi kununua asali kwenye duka la serikali? Uliwezaje?

mmh ila mashelf muda wote huwa yamejaa asali sijawahi kuona pamepungua ila sijawahi kuuziwa vile vile
Pole sana. Tatizo la mtandao huenda itakuwa kweli maana kwa sasa malipo ya serikali, nasemea hapo ulipoenda kununua (TFS) huwa yanafanyika kwa njia ya control number.

Ila nashangaa sana kwamba haujawahi kufanikiwa ikiwa ni mara tatu sasa. This is so strange, though. Kwa ninavyoelewa shida ya network kutengeneza hizo control number huwa inatokea ila ni mara chache sana.

Nakushauri mara nyingine ukifika na ukakutana na tatizo hilohilo ingia ndani kwenye hilo Jengo la (Mpingo house). Ulizia unahitaji kuonana na Mtaalamu wa Nyuki ama Marketing officer, ama mtu yeyote anayehusika na masuala ya asali au Afisa mwingine yeyetoe kutoka katika hiyo Taasisi (Tanzania Forest Services Agency - TFS).

Fikisha malalamiko/ ujumbe wako na nina uhakika utapatiwa ufumbuzi.
 
Ni mara ya tatu sasa naenda kwenye duka la linalomilikiwa na serikali linalouza asali ila sijawahi kufanikiwa. Duka lipo karibia na mataa ya Chang'ombe kama unaelekea mkuki house (Dar es Salaam).

Lile duka hawapokei cash malipo ni kwa control namba, lakini hata hiyo control namba mara zote ni ishu....kila siku network ni shida??? majibu ni hatupokei cash ukisema nna hela kwenye simu unaambiwa network inasumbua sasa biashara wanafanya lini??? nakereka sana kufunga safari ndefu halafu nafika majibu ndio hayo, hivi wameshindwa hata kuuza kwa risiti??? Hadi nahisi labda huwa hawauzi je kuna mtu alishawahi kupata huduma pale???
Mimi nilinunua shs. 10,000/= kwa kilo moja, na nililipa pembeni kidogo kwa wakala wala hakukua na tatizo.
 
Upo sahihi, tatizo vijana wengi hawajui kuwa siku hazigandi
Too much siasa ni kujipa stress tu, huku tunashupaza shiiiingo wao huko ccm na chadema wanakutana mjengoni na mabig smile jioni wanaenda kula kuku pamoja, kazi kwetu mashabiki maandazi
 
Kwa nini hujauziwa na Asali ipo? Tatizo mpo negative kwa kila kitu cha Serikali. System ya malipo ya serikali inajulikana, hakuna mahali watu wanapokea cash, na inaweza kutokea umefika system ipo chini, katika nchi hii hiyo kutokea ni kawaida, hata mabenki kuna wakati system inakuwa down. Mtumishi wa aliyepo hapo hawezi kupokea cash under any circumstances, kwa sababu hata kama atafanya hivyo kukusaidia ili kukupunguzia usumbufu in case system ipo chini utarudi hapa kusema pale hela zetu zinapigwa maana wanapokea cash! No one wants that! Mifumo ni ya Serikali na pesa ni za Serikali, mfumo ukigoma utaambiwa tu umegoma, hakuna namna, sababu no one wants to mess up with government money.
Suala la kitu kiddogo napinga, anayeuza namjua ni very decent lady. Kama ilitokea hukuuziwa na Asali ipo itakuwa ni sababu nyingine.
Wale dada wawili wanakuandikia ukalipe kwa wakala aliye nje na ukishalipa hiyo asali unaichukua mwenyewe kwenye shelfu, hapo kitu kidogo mtapeana wapi!
 
Too much siasa ni kujipa stress tu, huku tunashupaza shiiiingo wao huko ccm na chadema wanakutana mjengoni na mabig smile jioni wanaenda kula kuku pamoja, kazi kwetu mashabiki maandazi
Leo nimeshangaa huyo Behaviourist hakuweka clip ya Samia ya kula kwa urefu wa kamba yake.... Usemavyo ni upuuzi kushabikia siasa wakati unawanafaisha wengine. Hapa JF watu wengi na siasa uchwara kiasi wengine BP inafika 260/160 ati wameisema chadema
 
It's all about quality and assurance.
Si unajua wengine wanakuuzia sukari guru wanasema asali.
Serekali haina mkono wa kuchakachua vitu ila wafanyakazi ndo wanachakachua'

Sahau kuhusu quality.

Ona..baada ya manunuzi wanalipwa watu wa kuondoa mchanga na uchafu mwingine ktk mazao kama ufuta.

Ukiwekwa ghalani kusubiri kuuzwa, wanalipwa watu wengine tena kuweka mchanga ili kuongeza uzito!

Unakumbuka korosho za tz zilikutwa na mawe huko nje?

Kwenye asali wanashindwa nn?

Haya mambo kwa nyie mbogasaba ni ngumu sana!

Huku kwetu hata mafuta ya kula tunachanganya na maji yenye rangi ya chakula na tunawauzia!
Karibu tz'
 
Ni mara ya tatu sasa naenda kwenye duka la linalomilikiwa na serikali linalouza asali ila sijawahi kufanikiwa. Duka lipo karibia na mataa ya Chang'ombe kama unaelekea mkuki house (Dar es Salaam).

Lile duka hawapokei cash malipo ni kwa control namba, lakini hata hiyo control namba mara zote ni ishu....kila siku network ni shida??? majibu ni hatupokei cash ukisema nna hela kwenye simu unaambiwa network inasumbua sasa biashara wanafanya lini??? nakereka sana kufunga safari ndefu halafu nafika majibu ndio hayo, hivi wameshindwa hata kuuza kwa risiti??? Hadi nahisi labda huwa hawauzi je kuna mtu alishawahi kupata huduma pale???
Ni kweli asali ya Pale (TFS) ni ya kiwango cha juu na huwa inapelekwa kufanyiwa testing maabara ya Germany. Jamaa wako vizuri ndo maana huwa asali yao haikai.
Me nikiikosa huwa nanunua kwa hawa jamaa wa AGT Natural Honey, asali yao wananunua hukohuko TFS na wanaifanyia branding ya kutosha, mara ya kwanza nilipewa niliposafiri na ndege za ATCL, kwakweli ukiikosa ya TFS chukua tu ya AGT nao ni wa uhakika.

20211212_140113.jpg
 
Ni kweli asali ya Pale (TFS) ni ya kiwango cha juu na huwa inapelekwa kufanyiwa testing maabara ya Germany. Jamaa wako vizuri ndo maana huwa asali yao haikai.
Me nikiikosa huwa nanunua kwa hawa jamaa wa AGT Natural Honey, asali yao wananunua hukohuko TFS na wanaifanyia branding ya kutosha, mara ya kwanza nilipewa niliposafiri na ndege za ATCL, kwakweli ukiikosa ya TFS chukua tu ya AGT nao ni wa uhakika.

View attachment 2201072
hii ndio ile natural honey watu wanaisemaga eti inasaidia yale mambo yetu 😁 #vijanawahovyo
 
Toka lini ukaona serikali inafanya biashara kwa ufanisi. Hao wauze wasiuze mshahara wao palepale. Acha kujitafutia stress.
 
sio cheap bei kawaida lita 1 tsh 10000 ila ni asali nzuri

Hujawahi kufanikiwa kuinunua, lakini hapa unaieleza nzengo kwamba ni "asali nzuri"!

Kivipi sasa mwalimu, by hearsay? ama hili ni tangazo la kimkakati?

Heshima kwako... the double 'Agent'. Wasalimie huko Dasalamu.

-Kaveli-
 
Hujawahi kufanikiwa kuinunua, lakini hapa unaieleza nzengo kwamba ni "asali nzuri"!

Kivipi sasa mwalimu, by hearsay? ama hili ni tangazo la kimkakati?

Heshima kwako... the double 'Agent'. Wasalimie huko Dasalamu.

-Kaveli-
Jamani kwani lazima niwe nimenunua ndio nijue ladha, alinunua mtu akanimiminia ndio nikaijua ubora wake, hapo vipi???
 
Back
Top Bottom