Ulishawahi kuona malaika?

Kuwa mcha Mungu haswa bila makando kando.

Isome mara kwa mara ayat kursi haswa nyakati za usiku mnene, utafanikiwa jambo lako.
 
Ina maana mtoto hawatembeliwi na malaika?
 
Mimi pia am curious sana siku nione paradise kukoje Yesu yukoje Malaika niwaone hua natamani sana....ila nachoshukuru Mungu hua nafeel vitu kama ivo
Kama mimi
Ameen kesho utatupa mrejesho
Msijali ila naamini kama nikuona basi ni kwa mapenzi ya Mungu na kama sio pia ni kwamapenzi yake sitalalama hata nitashikuru tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha Mwamposa aendelee kutajirika tu.
 
Kuwa mcha Mungu haswa bila makando kando.

Isome mara kwa mara ayat kursi haswa nyakati za usiku mnene, utafanikiwa jambo lako.
Mimi ni mkristo na baba yangu alikuwa ni muislam ila ninajua Mungu wangu yupo tena anaongea na watu kama mimi ninavyoongea na wewe

Je unaijua sauti ya Mungu wako?
 
Chai
 
Bongo muvi
 
Kuna siku nlikua ofisin gafla nkapitiwa na usingizi mzito sana nkawa naota mtu anataka kunikata kucha ya mguu wa kushoto nkawa nakemea nkawa nafumbua macho nashindwa kama kitu kinanikandamiza nilale nikataja Baba wa Mianga aiseeee Yan nlskia kishindo kikubwa as if transformer imeburst ule mlio mara 10 yake hapohapo Ile hali ikaachia nikajua huyo alikua Mungu katuma nguvu zake
 
Kwanini asiseme ,mbona vitu vingi Tu wakiviona wanavisema
 
Bongo muvi imekuharibu.
 
Amen Mungu wa mianga unaweza toa maelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…