Ndio. Alinitokea ili kutoa kiburi changu.
Shuleni nilikuwa naonekana kipanga wa somo la Physics, nilijiona kama Mungu duniani.
Sasa usiku wa manane, nikamuona Malaika katika ndoto anawaka sana, nikapelekwa ubaoni, akaandika swali la topic la Heat and Thermodynamics, nikaliangalia nikasema lishaisha, akacheka, aisee nikachukua chaki, nikasolve , aisee nilimaliza ubao bila jibu, baadaye nikaamua kukiri wazi hapa sijui, Malaika akasmile , akachukua chaki akasolve kipande kichache tu na jibu akaliandika, akili yangu ikafunguka na kuona jibu ndo hilo.
Aisee nikaacha kuwa na kiburi kabisa na hata sasa sina kiburi tena.