FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Hii ndio akili kubwa..Kama tatizo la nguvu za kiume lingekuwa kwa matajiri tu lisingekuwa kubwa maana matajiri ni sehemu ndogo sana ya population ya Tz na dunia kwa jumla.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio akili kubwa..Kama tatizo la nguvu za kiume lingekuwa kwa matajiri tu lisingekuwa kubwa maana matajiri ni sehemu ndogo sana ya population ya Tz na dunia kwa jumla.
Kuna ile ishu ya hapo Rombo nadhani ulikuwa haujazaliwa bado maana imetokea 2015 ilipelekea wanawake wa huko kukodi wanaume kutoka kenya ,ilibidi serikali iingilie kati.Hii imekaaje wakuu. Mpaka leo nazeeka sijawahi kuona au kusikia mtu masikini yaani mwenye kipato duni na pengine mwenye elimu duni akihangaishwa na shida hizi za kukosa nguvu za kiume.
Hawa wenzetu wanatumia mbinu gani au ndio vile Mungu hakunyimi vyote?
Ushawahi wapa mzigo masikini na wenye pesa ili kukamilisha research yako?Hii imekaaje wakuu. Mpaka leo nazeeka sijawahi kuona au kusikia mtu masikini yaani mwenye kipato duni na pengine mwenye elimu duni akihangaishwa na shida hizi za kukosa nguvu za kiume.
Hawa wenzetu wanatumia mbinu gani au ndio vile Mungu hakunyimi vyote?
We jamaaUshawahi wapa mzigo masikini na wenye pesa ili kukamilisha research yako?
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅kenya nu jirani zetu. Hakuna tatizo kukodishaKuna ile ishu ya hapo Rombo nadhani ulikuwa haujazaliwa bado maana imetokea 2015 ilipelekea wanawake wa huko kukodi wanaume kutoka kenya ,ilibidi serikali iingilie kati.
Hapana, sio chakula duni. Maskini anakula Dona la uhakika,mboga za majani za kutosha. Vyakula ambavyo mtu mwenye fedha ya kubadilishia mboga anakwambia mimi huweiz nilisha Dona na mboga za majani, Kwamba kwake hicho ni Chakula Dunilishe yake ni chakula duni
[emoji849]Weeee, Sourse?Kuna ile ishu ya hapo Rombo nadhani ulikuwa haujazaliwa bado maana imetokea 2015 ilipelekea wanawake wa huko kukodi wanaume kutoka kenya ,ilibidi serikali iingilie kati.
It's all over the internet search hivi google " wanawake rombo"[emoji849]Weeee, Sourse?
Aaa wapi wangesogea tu ndani ndani mwa nnchi huku kuliko kwenda kwa kina muriithi😅😅😅😅kenya nu jirani zetu. Hakuna tatizo kukodisha