Ulishawahi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto? Hii inahitaji hekima na busara nyingi sana

Ulishawahi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto? Hii inahitaji hekima na busara nyingi sana

Kiukweli sijawahi fanikiwa zaidi ya kushauri watu watengane
Sawa mkuu. Kutengana ni lazima iwe option of last resort kama njia zote za upatanishi zimeshindikana. Watu wasipotengana inaweza kuzaa mauti baina yao.
 
Nilipitia hili yan ilikua tukikwazana kidogo mi naanza kulia najua kanikwaza sababu Sina mtoto du!! Yale maisha....Asante Mungu kwa kunifuta machozi aisee
Pole sana. Ulifanikiwa baada ya miaka mingapi ndoani dada yangu?

Tunapitia hali hii kwa sasa na wife, hata miaka miwili hatujafikisha ila naona pepo la kukata tamaa limeshatuteka. Ni full migogoro tu
 
Pole sana. Ulifanikiwa baada ya miaka mingapi ndoani dada yangu?

Tunapitia hali hii kwa sasa na wife, hata miaka miwili hatujafikisha ila naona pepo la kukata tamaa limeshatuteka. Ni full migogoro tu

Hujaniuliza mm ila naomba nikujibu kwa experience yangu..kua na subira huku ukimuomba Mungu I mean it sababu nina ndugu yangu alikaa miaka8 bila mtoto ilibakia kidogo watengane mambo yalikua ni mengi mno huwez amini mwaka wa 9 mkewe akaconcieve akapata mapacha3 wawili wa kiume 1 wa kike!

Jirani yetu mwanae alioa 2017...muda huu nnavyotype mkewe ndio ana mimba ya mwezi mmoja.

Ni ngumu kukubali ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi mno...Mungu hua hawai wala hachelewi boss.
 
Hujaniuliza mm ila naomba nikujibu kwa experience yangu..kua na subira huku ukimuomba Mungu I mean it sababu nina ndugu yangu alikaa miaka8 bila mtoto ilibakia kidogo watengane mambo yalikua ni mengi mno huwez amini mwaka wa 9 mkewe akaconcieve akapata mapacha3 wawili wa kiume 1 wa kike!

Jirani yetu mwanae alioa 2017...muda huu nnavyotype mkewe ndio ana mimba ya mwezi mmoja.

Ni ngumu kukubali ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi mno...Mungu hua hawai wala hachelewi boss.
Ubarikiwe sana. Umenipa faraja na somo kwa pamoja.
 
Nachojua mimi siwezi nikauza furaha yangu kwa sababu ya kitu chochote...

Hata tukiwa na watoto 50 pale ambapo kichwni kwangu na uhakika kuna mtu ana mess na furaha yangu its over..

Hamna kitu kitanikwamisha,watoto tutahudumia kila mtu akiwa na hamsini Zake.Na kwanza hawatakuwa watoto wa kwanza kupitia changamoto ya wazazi wake kuachana.Akikuwa akianza kuwa na mpenzi ataelewa kuna kuachana kwenye mapenzi na si jambo la ajabu.Akikuwa ataelewa baba na mama walishindwana ..

Kitu unachopaswa kuniambia ni kuhudumia watoto wangu ndoa ikifa hicho nitakuelewa ila sio niishi na mtu anacheza na amani ya moyo wangu sijawahi kufanya huo upuuzi na Mungu anisaidie nisiwahi kufanya huo upuuzi.Msingi mzima wa mimi kutafuta hela ni ili niwe na freedom hasa ya kuwa na furaha.

Nakupenda sawa nakubali ila ukicheza na furaha yangu nakuwaga mtu mwingine kabisaaa kuanzia sura hadi maamuzi.
Kwa jinsi ndoa zilivyo na ups and downs nyingi. Kama hujaolewa nakushauri usijiingize kwenye ndoa kabisa kuliko kuingia na kutoka.
 
Pole sana. Ulifanikiwa baada ya miaka mingapi ndoani dada yangu?

Tunapitia hali hii kwa sasa na wife, hata miaka miwili hatujafikisha ila naona pepo la kukata tamaa limeshatuteka. Ni full migogoro tu
Msikate tamaa aisee miaka 4
 
Nachojua mimi siwezi nikauza furaha yangu kwa sababu ya kitu chochote...

Hata tukiwa na watoto 50 pale ambapo kichwni kwangu na uhakika kuna mtu ana mess na furaha yangu its over..

Hamna kitu kitanikwamisha,watoto tutahudumia kila mtu akiwa na hamsini Zake.Na kwanza hawatakuwa watoto wa kwanza kupitia changamoto ya wazazi wake kuachana.Akikuwa akianza kuwa na mpenzi ataelewa kuna kuachana kwenye mapenzi na si jambo la ajabu.Akikuwa ataelewa baba na mama walishindwana ..

Kitu unachopaswa kuniambia ni kuhudumia watoto wangu ndoa ikifa hicho nitakuelewa ila sio niishi na mtu anacheza na amani ya moyo wangu sijawahi kufanya huo upuuzi na Mungu anisaidie nisiwahi kufanya huo upuuzi.Msingi mzima wa mimi kutafuta hela ni ili niwe na freedom hasa ya kuwa na furaha.

Nakupenda sawa nakubali ila ukicheza na furaha yangu nakuwaga mtu mwingine kabisaaa kuanzia sura hadi maamuzi.
Hii misimamo ya hivi huwa imekaa kibinafsi sana ingawa n mizuri kwa muhusika
Binafsi kwangu furaha ya viumbe nilowaleta duniani naipa kipaombele sana .kuna namna watoto walolelewa na wazazi wote wawili hujengeka,labda itokee mzazi mmoja ametangulia mbele za haki...familia ni nguzo aise hasa kwa walio na hofu ya Mungu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom