Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Kiukweli sijawahi fanikiwa zaidi ya kushauri watu watenganeUlishahawi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli sijawahi fanikiwa zaidi ya kushauri watu watenganeUlishahawi kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto/watoto?
Sawa mkuu. Kutengana ni lazima iwe option of last resort kama njia zote za upatanishi zimeshindikana. Watu wasipotengana inaweza kuzaa mauti baina yao.Kiukweli sijawahi fanikiwa zaidi ya kushauri watu watengane
Pole sana. Ulifanikiwa baada ya miaka mingapi ndoani dada yangu?Nilipitia hili yan ilikua tukikwazana kidogo mi naanza kulia najua kanikwaza sababu Sina mtoto du!! Yale maisha....Asante Mungu kwa kunifuta machozi aisee
Pole sana. Ulifanikiwa baada ya miaka mingapi ndoani dada yangu?
Tunapitia hali hii kwa sasa na wife, hata miaka miwili hatujafikisha ila naona pepo la kukata tamaa limeshatuteka. Ni full migogoro tu
Mungu awape subira..hakika atawajaalia kwa wakati wake msikate tamaaPole sana. Ulifanikiwa baada ya miaka mingapi ndoani dada yangu?
Tunapitia hali hii kwa sasa na wife, hata miaka miwili hatujafikisha ila naona pepo la kukata tamaa limeshatuteka. Ni full migogoro tu
Okay thanks
Ubarikiwe sana. Umenipa faraja na somo kwa pamoja.Hujaniuliza mm ila naomba nikujibu kwa experience yangu..kua na subira huku ukimuomba Mungu I mean it sababu nina ndugu yangu alikaa miaka8 bila mtoto ilibakia kidogo watengane mambo yalikua ni mengi mno huwez amini mwaka wa 9 mkewe akaconcieve akapata mapacha3 wawili wa kiume 1 wa kike!
Jirani yetu mwanae alioa 2017...muda huu nnavyotype mkewe ndio ana mimba ya mwezi mmoja.
Ni ngumu kukubali ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi mno...Mungu hua hawai wala hachelewi boss.
Amina. Ubarikiwe.Mungu awape subira..hakika atawajaalia kwa wakati wake msikate tamaa
Kwa jinsi ndoa zilivyo na ups and downs nyingi. Kama hujaolewa nakushauri usijiingize kwenye ndoa kabisa kuliko kuingia na kutoka.Nachojua mimi siwezi nikauza furaha yangu kwa sababu ya kitu chochote...
Hata tukiwa na watoto 50 pale ambapo kichwni kwangu na uhakika kuna mtu ana mess na furaha yangu its over..
Hamna kitu kitanikwamisha,watoto tutahudumia kila mtu akiwa na hamsini Zake.Na kwanza hawatakuwa watoto wa kwanza kupitia changamoto ya wazazi wake kuachana.Akikuwa akianza kuwa na mpenzi ataelewa kuna kuachana kwenye mapenzi na si jambo la ajabu.Akikuwa ataelewa baba na mama walishindwana ..
Kitu unachopaswa kuniambia ni kuhudumia watoto wangu ndoa ikifa hicho nitakuelewa ila sio niishi na mtu anacheza na amani ya moyo wangu sijawahi kufanya huo upuuzi na Mungu anisaidie nisiwahi kufanya huo upuuzi.Msingi mzima wa mimi kutafuta hela ni ili niwe na freedom hasa ya kuwa na furaha.
Nakupenda sawa nakubali ila ukicheza na furaha yangu nakuwaga mtu mwingine kabisaaa kuanzia sura hadi maamuzi.
....na kuchelewa kupata mtoto ni moja wapo ya hizo changamoto za ndoa.Kwa jinsi ndoa zilivyo na ups and downs nyingi.
....na kuchelewa kupata mtoto ni moja wapo ya hizo changamoto za ndoa.
Ndio maana Mungu anawabariki sana wazunguKuna watoto wengi hawana baba wala mama huko mitaani watu wa adopt waache kukariri maisha
Msikate tamaa aisee miaka 4Pole sana. Ulifanikiwa baada ya miaka mingapi ndoani dada yangu?
Tunapitia hali hii kwa sasa na wife, hata miaka miwili hatujafikisha ila naona pepo la kukata tamaa limeshatuteka. Ni full migogoro tu
Asante. Hongera sana kwa kuvuka hili jaribu. Mungu akujaalie zaidi.Msikate tamaa aisee miaka 4
Njoo na mimi nikupelekee motoWanapitia moto mkali sana
Uongo mtupuni kweli
Ubarikiwe sana. Umenipa faraja na somo kwa pamoja.
Ahsante.Ameen kaka yangu Mungu atakubariki kwa wakati wako pia!
Amen mkuuAmeen kaka yangu Mungu atakubariki kwa wakati wako pia!
Hii misimamo ya hivi huwa imekaa kibinafsi sana ingawa n mizuri kwa muhusikaNachojua mimi siwezi nikauza furaha yangu kwa sababu ya kitu chochote...
Hata tukiwa na watoto 50 pale ambapo kichwni kwangu na uhakika kuna mtu ana mess na furaha yangu its over..
Hamna kitu kitanikwamisha,watoto tutahudumia kila mtu akiwa na hamsini Zake.Na kwanza hawatakuwa watoto wa kwanza kupitia changamoto ya wazazi wake kuachana.Akikuwa akianza kuwa na mpenzi ataelewa kuna kuachana kwenye mapenzi na si jambo la ajabu.Akikuwa ataelewa baba na mama walishindwana ..
Kitu unachopaswa kuniambia ni kuhudumia watoto wangu ndoa ikifa hicho nitakuelewa ila sio niishi na mtu anacheza na amani ya moyo wangu sijawahi kufanya huo upuuzi na Mungu anisaidie nisiwahi kufanya huo upuuzi.Msingi mzima wa mimi kutafuta hela ni ili niwe na freedom hasa ya kuwa na furaha.
Nakupenda sawa nakubali ila ukicheza na furaha yangu nakuwaga mtu mwingine kabisaaa kuanzia sura hadi maamuzi.