Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Huko mjini atakuwa na mke au nyumba ndogo , huyo wa kijijini ametelekezwa kiainaKuna mmoja nnpo nae huu kijiji najilia tu mumewe yupo Dar huko
Halina mbamba yaan jeupeee kama papai nalipelekea moto mpaka linakuwa jekundu maaanina
Mmewe kuja huku Kwa mwaka mara moja anakaa week 1 au siku 3 then ananichia kitumbua changu niendelee kujibandulia gogo
Mkienda mjin kutafta maisha nenden na wake zenu mnatuweka katika vishawishi huku
Wakati fulani sisi wanaume ndio chanzo cha wake zetu kuchepuka.Sijawahi kutongoza mwanamke yeyote ninaemjua bwana wake, pia sijawahi kumtongoza mwanamke ninaetambua kabisa ni mke wa mtu.
Wanawake wasimbe wapo wengi sana, lakini kwanini ufanye mapenzi na mtu unaetambua kabisa ni mke wa mtu na kila mara anatoka kwa mwanamme kama wewe kipindi anakuja kwako?
Inafikirisha sana.
Hapo sasa.Yani usiku mme wake achakate mbususu, mchana niletewe mimi hapana siwezi aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huwa ni kwaniniWanaliwa wakiwa kwenye ndoa wakiachika na michepuko ula kona
Ili wajute.Hivi huwa ni kwanini
Hiko kitu hakisusiwi mkuuDah! Mimi nikigundua mke wangu anatchepuka, hata kama nitamsamehe ila kumpanda tena nitapata ugumu sana kushea is a problem to me. Na bibilia inasema lile usilopenda kutendewa na wewe usitende Kwa mwingine hivyo najichunga
Hii arguement yako haina mashiko kwa wale ambao hatuogopi wake zetu kugegedwa nje. Sasa sii na wao ni binadamu wana matamanio ya kuonja de liboloz tofautiHakuna wanawake ninaowachukia kama hao walioolewa halafu wanagawa, ni zaidi ya mbwa
Nimeishawakataa 4 na sina mda nao kabisa wanasema what goes around comes around
Siwezi kuwa msaliti hata siku moja
Vijana ogopeni sana dhambi na kama hamuamini Mungu, basi msiwape ushirikiano wake za watu hawafai
Kama wanasaliti ndoa zao huoni na wewe utakuja kuchapiwa pia?
Je utajisikiaje?
Yaani ni hatari..!! Sasa sijui wanataka nini..!!Usipokuwa na pesa ,shida, ukiwa na kazi inayokukeep busy Kama engineer hapo Napo shida.
Kweli kila mtu na maamuzi yake bossHii arguement yako haina mashiko kwa wale ambao hatuogopi wake zetu kugegedwa nje. Sasa sii na wao ni binadamu wana matamanio ya kuonja de liboloz tofauti
Mnachokiandika mnatuchanganya na hizo AVATAR zenu banaa..!!Kuna member yumo huku Ni mkee wa mtu naogopa kueleza jins tulivyo anza mausiano
Umesema ukweli hiyo sentensi yako ya mwisho.Sijui nianze kusimulia yupi wapo zaidbya wanne
Wakwanza tulipatana mtandaon kimasihara sana yani tumefahamiana leo kesho katia miguu nikachakata akanogewa ikapita miezi mingi tunachati tu akaja tena nikachapa zaidi ndo kanogewa mno kidgo anipe jicho kwa utalam wangu. Mumewe napeda muita dady
Mwingine nae nikamnasa huyu ye alikuwa na shida ktk ndoa yake akawa anadai hajawahi ona raha ya kulana mpka alipokutana na mimi nikamfunguwa bomba ananipenda adi kapagawa
Mwingine ni demu wangu anaolew soon nae atakuwa mke wa mtu ila kasema atazid kuprovide huduma non stop wacha asitiriwe, wanawake wanapenda ndoa sana kuvaa shela ni kila ndoto ya mwanamke ila kuishi ndoa ni wachache sana
Una utani nae au unafanya makusudi ? GENTAMYCINE unamsikia huyu anavyosemaHuyo si GENTAMYCINE huyo au ni nani mwingine 🤔
Hii njemba ni mwanaume kabisa tena location k/Koo kua makini mkuu sio mwanamke huyo, Ila anajilengesha kwa wanaume na anaomba Pesa ya vocha vibaya sanaMnachokiandika mnatuchanganya na hizo AVATAR zenu banaa..!!
Embu check hiki kitu hapa chini..!!
View attachment 2610575
Dah..!!
Ni kweli kuna mtu aliwahi kuleta thread kuwa jamaa kafanyiwa mbaya na wajeda sasa sijui kama ni kweli ama uongoUna utani nae au unafanya makusudi ? GENTAMYCINE unamsikia huyu anavyosema
Ngoja aje utamueleza vizuri km ni yeye aliefanyiwa ule mchezo mchafu au ni Nani mwingineNi kweli kuna mtu aliwahi kuleta thread kuwa jamaa kafanyiwa mbaya na wajeda sasa sijui kama ni kweli ama uongo
Mkuu hiyo siyo sababu ya kuhalalisha kutoka na mke wa mtu, kama kaweza kumsaliti mumewe basi anaweza akawa na wewe na wengine pia, bora walio single, kwanza mnaweza fikia hatua ya kuoana ukaepusha msururu, mke wa mtu ni hamna malengo yoyote zaidi ya risk tu ukifumwaUnajua Madam muda mwingine vijana wanaona bora watoke na mke wa mtu wanaweza kuwa salama zaidi kuliko kutoka na single ambaye anamsururu wa wanaume zaidi ya watano na wote wanachakata mbususu moja. Mke wa mtu anaaminika anachakatwa na mumewe tu ambaye anajulikana sasa single ni mtihani.
Mke wa mtu anatia kinyaa, malaya wa kujiuza hatii kinyaa. Wanaume mna tatizo mahali sio bureHao unajua kabisa kazi yao, ukitoka anaingia mwingine muda huo huo
AMEENUnaweza kudhani umeleta mke kumbe umeleta changudoa aliyejicha kwenye baibui na tabasamu lake.........
Mungu atuepishie wanawake wa namna hiyo na atuletee wanawake wema wanaojua thamani ya tupu zao.......