Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Sasa wamakonde kutokuwa na akili inaingiaje hapo na kisa nilichotoa? Haya ni mambo ya kawaida sana katika jamii yetu wala halihusiani na kabila la mtu ndio maana usishangae mama yako mzazi nae anapigwa mpini na wahuni tuWhy wanawaogopa? Unaonesha Wamakonde mlivyo hamna akili
Mwambie huyo. Tupo tunakwepa mitego mingi tu japo kibabe Sana maana unapigana vita ndani ya nafsi yako mwenyeweWapo marijali wengi tu... usitusemee wengine bhana. Yusufu mbona alikua rijali na alikwepa?
Siyo sifa nzuri.Mtakamatwa halafu mlawitiwe mubashar huku mnajinung'unisha kwa maumivu.Ukiwa busy wana tunakusaidia π€£
Watanifanya nini!! Chezea kitu ingine sio mimi.Kuleni wake za watu ila kama mme wake ni muha, mfipa, mkinga, mkerewe au msukuma bas UJUE SIKU ZAKO ZINAHESABIKA
Sisi hatutakuwepo.Watakachokufanya utatuelezea kwa mtindo wa makala.Watanifanya nini!! Chezea kitu ingine sio mimi.
Morning mkuu tough! Ulivyoacha kupiga ni maamuzi sahihi, ila inaonekana wake za watu pia wanajiachia tu hawaogopiπAhaha ndio ivyo wengine wakivibe inn hawasemi...na nyege mbaya sana... Ila saivi sipigi tena na nimemtandika block.. Sitaki ugomvi na watu ndugu yangu....
Morning, yan its very risky ila wao huwa hawaogopi, ndio mana fumanizi za mapenz zipo nyingi sana sababu wanawake ukiwakanda vizuri hadi mume wake anamwona hafai anaanza kumkandia na kumdharau saivi nipo makini nao sana,Morning mkuu tough! Ulivyoacha kupiga ni maamuzi sahihi, ila inaonekana wake za watu pia wanajiachia tu hawaogopiπ
Ni kweli risk kubwa, tunasikia matukio ya kikatili sababu ya wivu wa mapenzi, mtu kakatwa mapanga aah, endelea kuwakanda waliosingle tuππMorning, yan its very risky ila wao huwa hawaogopi, ndio mana fumanizi za mapenz zipo nyingi sana sababu wanawake ukiwakanda vizuri hadi mume wake anamwona hafai anaanza kumkandia na kumdharau saivi nipo makini nao sana,
Duuh, bora kama itakua ni chai,ila kama ni kweli mkuu una dhambi weweπKwa bahat mbaya akat amenifumania tunapambana nilimsukuma ajapiga kisogo kwenye ubao wa kitanda akakata moto alipokuja kuzinduka adi leo hii hana mtandao hakumbuki chochote kile katika maisha yake
Hahaha hata masinge saivi nimepunguza ahahaha, hela zinaenda sana kukimbizana na wanawake saivi nimechil tu... Mwili ufanye Rejuvenation hata kwa miezi miwili... Nafanya mazoez sana daily jionNi kweli risk kubwa, tunasikia matukio ya kikatili sababu ya wivu wa mapenzi, mtu kakatwa mapanga aah, endelea kuwakanda waliosingle tuππ
Ni vizuri pia mkuuπHahaha hata masinge saivi nimepunguza ahahaha, hela zinaenda sana kukimbizana na wanawake saivi nimechil tu... Mwili ufanye Rejuvenation hata kwa miezi miwili... Nafanya mazoez sana daily jion
Sio mbaya... Nataka nijaribu kujicontrol nibadili lifestyle kidogo... Hii hapa chini imenifanya nijisikie vibaya sana.. Anapiga simu kinoma mke wa mtu mpaka nimemblock... Sisi watu wenye hi libido ni tatizo mkuu... Inahitaji control ya hali ya juu sanaNi vizuri pia mkuuπ
Huwa inamaanisha nini kumdhuru anayetembea na mke wa mtu?Moja ya vitu unajiweka kwenye hatari ya kuondolewa maisha yako ni kutembea na Mke WA MTU. Kifo nje nje!
Nimewahi kushuhudia MTU anauawa Kwa kutembea na Mke WA MTU.
Tembea na Mke WA MTU Ila tambua unatembea na kifo
Kuna watu kuua sio issue tembea uone. Yani ukitembea na Mke wake ni either akuue wewe mwanaume. Au awaue nyie wote au nyote watatu mfe.
Ogopa Sana mahusiano Yana hisia Kali mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] angalia usije ponza bank yako mkuuMke wa mtu akikuelewa hana Gharama unajilia mbususu kizembe sana bila hata nguvu ya buku.
Ni noma sana mkuuTupe kisa mkuuuu ππ
Mkazie hamna kubadili msimamo, imagine hizo sms akaziona mume wake, unahisi atajisikiaje na anaweza akakuvizia akudunde hivi hivi.Sio mbaya... Nataka nijaribu kujicontrol nibadili lifestyle kidogo... Hii hapa chini imenifanya nijisikie vibaya sana.. Anapiga simu kinoma mke wa mtu mpaka nimemblock... Sisi watu wenye hi libido ni tatizo mkuu... Inahitaji control ya hali ya juu sana
Tupe kisa mkuuuu ππ