Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Hahaha
 
Hata usipochapa, utachapiwa tu.
 
Alikuwa mzuri!?
 
Katika vitu mwenyezi Mungu alikataza na kuandika kwa mkono wake bila kiagiza mwanadamu aandike ni pamoja na marufuku ya kukaza wake za wanaume wenzenu

Kutoka 20:17
Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako. Kutoka 20:17
 
Kama mwanamke alikuvutia ukamuoa lazima awavutie wengine na hakuna mwanamke asiyetongozws, ila sio lazima akubali. Naamini waaminifu wachache bado wapo.
 
Kama
Mke wa mtu sumu hii kauli Haina nguvu now days[emoji2

Hadi umri huu nashukuru sijawahi tembea na mke wa mtu hata kujaribu kumtongoza Huwa ni kitu nakikwepa sana.
Ukiwa na tabia ya kutongoza wake wa watu, unaweza kufa hata bila kutembea/kuzini nao. Iko hivi. Unamtongoza mke wa mtu,kumbe hakupendi na hapendi umalaya. Akitoka hapo anaenda kumwambia mmewe, fulani ananisumbua. Mume anachukulia serious. Anakumaliza kimya kimya. Ni hatari
 
Story haijaisha, ikawaje
 
Chai ya mchana
 
Mapenzi ya kuiba huwaga matamu bao 1 unaweza ukamwaga na ubongo aisee
 
Chai ya mchana
Ndugu yangu sipati faida yeyote nikidanganya,Kwa wanunuaji wa nafaka vijijini hilo ni suala la kawaida sana kwasababu tunaenda na pesa kwahiyo tunapopanga nyumba ya kuishi ambapo mara nyingi wenye nyumba nao wanaishi humohumo ....huwa tunanunua mahitaji yote muhimu tunayaweka ndani na kumkabidhi mama mwenye nyumba ili awe anapika ili ukirudi kwenye mizinguko usipate tabu ya kupika
 
Chai ya mchana
Sasa hebu nikupe kisa niliwahi kwenda kijiji kimoja wanaita Makangaga nilienda kununua kunde na karanga nilipofika hapo kijijini nilinunua mzigo mkubwa sana na hapo niliwachapa mademu 5 na hao wote hakuna hata niliekamtongoza ni wao waliokijileta akiwemo na mwalimu wa shule ya msingi nae nilimla mno binti wa kihaya yule....
 

Hebu cheki na WAROMA 7:1-15 inasemaje kiongozi
 
Napitatu ntarudi baadaeeee

Adam naomba wimboo wa

Kamaaandqaaaaaaa ....
 
Sikia kwa mwenzio tu ndugu
Sitaki kukumbuka sio mm
Alikamatwa jamaa na mke wa mtu sinza
Yaan mwanaume akakimbilia chumba cha pekeyake empty ...jamaa wakamchukuq mwanamke kila anaetoka getini wanauliza huyu huyu anapigwa mpaka akataja tukakimbia mita 300
 
Sikutaka hata kujua kikichotokea wala kurudi tena ileeneo
 
Hawa wake za watu sio siri matumizi ya kinga hawajali kabisa, na wengi wao ni waathirika trust me guys ukijaribu tu uneisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…