Wanaotembea na wake za watu hawana kinyaa....Sijawahi kutongoza mwanamke yeyote ninaemjua bwana wake, pia sijawahi kumtongoza mwanamke ninaetambua kabisa ni mke wa mtu.
Wanawake wasimbe wapo wengi sana, lakini kwanini ufanye mapenzi na mtu unaetambua kabisa ni mke wa mtu na kila mara anatoka kwa mwanamme kama wewe kipindi anakuja kwako?
Inafikirisha sana.
Haaaa,we jamaa wwMsisahau kuweka na mlivyokamatwa.
We jamaa ka mie yani kama demu nikishajua bwana ake nakaa nae mbali kbs hata ka sio mumewe mke wa mtu ndio kabisa siwekagi namba zao....Sijawahi kutongoza mwanamke yeyote ninaemjua bwana wake, pia sijawahi kumtongoza mwanamke ninaetambua kabisa ni mke wa mtu.
Wanawake wasimbe wapo wengi sana, lakini kwanini ufanye mapenzi na mtu unaetambua kabisa ni mke wa mtu na kila mara anatoka kwa mwanamme kama wewe kipindi anakuja kwako?
Inafikirisha sana.
Sio kinyaa tu hawana akiliWanaotembea na wake za watu hawana kinyaa....
Ni ushamba na ujinga kwa mwanaume anaejielewa na ikitokea bahati mbaya au kwa kutokujua haitakiwi kutangaza.We jamaa ka mie yani kama demu nikishajua bwana ake nakaa nae mbali kbs hata ka sio mumewe mke wa mtu ndio kabisa siwekagi namba zao....
Kutembea na mje wa mtu kwa kweli sio ujanja...
Ila malaya wa kujiuza barabarani fresh tu au siomimi kiukweli nina kinyaa kikali sana siwezi gonga mke mtu naona ni uchafu tu
Ni upumbavu kabisa na ishara ya kukosa akiliKutembea na mje wa mtu kwa kweli sio ujanja...
Mpaka mtu yamkute...Hawa wanawake ni wengi hatuwezi kuwamaliza,
I hope ulikuwa unavaa kinga maana wake za watu bwana si salama kwa walio wengi. Unakuta mwanamme yuko bize kula machangu huko mitaani na kujizolea maradhi kisha anakuja nyumbani na kumgawia mkewe haswa hawa jamaa wanaojifanya wapenda dini. Unakuta wengi wao wanakulana wenyewe kwa wenyewe aidha kwa waimba kwaya au hawa wanaosali kwenye jumuiya. Utakuta wengi wao ni mafuska au waathirika wamejikita kwenye dini kuficha uozo wao. Kajipime haraka san kijana.Mimi ilikuwa hivi,
Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza 🤣🤣 akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.
Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka 🤣🤣.
Hapa CCM imetoka wpMnapata ujasiri wa kumvua chupi mke wa mtu ila hamna ujasiri wa kumvua madaraka mwenyekiti wa CCM?
Huu ujinga utawatesa na kuwafanya watumwa ktk nchi yenu milele.
Ilikuwaje kuwaje mnafanya....nani alianza.. simulia scenario ndo tutakasMimi ilikuwa hivi,
Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza 🤣🤣 akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.
Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka 🤣🤣.