Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Sijawahi kutongoza mwanamke yeyote ninaemjua bwana wake, pia sijawahi kumtongoza mwanamke ninaetambua kabisa ni mke wa mtu.

Wanawake wasimbe wapo wengi sana, lakini kwanini ufanye mapenzi na mtu unaetambua kabisa ni mke wa mtu na kila mara anatoka kwa mwanamme kama wewe kipindi anakuja kwako?

Inafikirisha sana.
Wanaotembea na wake za watu hawana kinyaa....
 
Sijawahi kutongoza mwanamke yeyote ninaemjua bwana wake, pia sijawahi kumtongoza mwanamke ninaetambua kabisa ni mke wa mtu.

Wanawake wasimbe wapo wengi sana, lakini kwanini ufanye mapenzi na mtu unaetambua kabisa ni mke wa mtu na kila mara anatoka kwa mwanamme kama wewe kipindi anakuja kwako?

Inafikirisha sana.
We jamaa ka mie yani kama demu nikishajua bwana ake nakaa nae mbali kbs hata ka sio mumewe mke wa mtu ndio kabisa siwekagi namba zao....


Kutembea na mje wa mtu kwa kweli sio ujanja...
 
We jamaa ka mie yani kama demu nikishajua bwana ake nakaa nae mbali kbs hata ka sio mumewe mke wa mtu ndio kabisa siwekagi namba zao....


Kutembea na mje wa mtu kwa kweli sio ujanja...
Ni ushamba na ujinga kwa mwanaume anaejielewa na ikitokea bahati mbaya au kwa kutokujua haitakiwi kutangaza.

Hawa ndo huwa wanauawa, wanadhani kuchapiwa ni kila mtu anaweza kuvumilia. Ndo hawa wakikatwa mapanga ndgu wanaomba serikali iwasaidie wakati upumbavu wa ndgu yao kujitangaza ili apate sifa za kijinga.
 
Screenshot_20230504-194439.jpg
duh
 
Mimi ilikuwa hivi,

Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza 🤣🤣 akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.

Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka 🤣🤣.
I hope ulikuwa unavaa kinga maana wake za watu bwana si salama kwa walio wengi. Unakuta mwanamme yuko bize kula machangu huko mitaani na kujizolea maradhi kisha anakuja nyumbani na kumgawia mkewe haswa hawa jamaa wanaojifanya wapenda dini. Unakuta wengi wao wanakulana wenyewe kwa wenyewe aidha kwa waimba kwaya au hawa wanaosali kwenye jumuiya. Utakuta wengi wao ni mafuska au waathirika wamejikita kwenye dini kuficha uozo wao. Kajipime haraka san kijana.
 
Mimi ilikuwa hivi,

Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza 🤣🤣 akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.

Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka 🤣🤣.
Ilikuwaje kuwaje mnafanya....nani alianza.. simulia scenario ndo tutakas
 
Back
Top Bottom