Subiria moto siku ya kiama utageuzwa kuni mkuu..sijaoa ila mke anauma eeeMimi ilikuwa hivi,
Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza π€£π€£ akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.
Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka π€£π€£.
Well said,Ukifikiria maumivu atayopata mwanaume mwenzio kwa kutembea na mke wake, kama una akili timamu hauwezi kuthubutu kabisa kutembea na mke wa mwenzio, yale maumivu ni makali sana matokeo yake unaharibu familia nzima ya mwenzako mke ataachika watoto watateseka, sio sahihi kabisa kutembea na mke wa mtu haikufanyi uonekane mwanaume rijali zaidi ya kuonekana ni mwehu
mume engineer na anasafiri safiri hebu ongeza nyama kidogo kanisa gani hilo mnasali.Mimi ilikuwa hivi,
Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza π€£π€£ akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.
Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka π€£π€£.
Kisa kama hiki kiliwahi tokea Igunga...Tangu nishuudie mauaji ya kikatili ya jirani yangu, chanzo kikiwa ni wake za watu..
Jamaa alinyongwa,akatolewa macho,akakatwa ulimi kisha akatupwa kwenye kisima cha maji..mtu anaeitwa mke wa mtu hata awe na shepu ya aina gani nakaa nae mbali mita 100
Mke wa mtu ni zaidi ya hatari
Tuelezee ulichoropokajeNashukuru Mungu nilichoropoka salama katu sitarudia tena..
Wakati nipo najipigia tu mke wake kila nikikutana na mwamba nilikuwa namuonea huruma sana...
Zinahesabikaje Tena mkuu? Inatakiwa one touch madhara pale pale, hizo siku za kuhesabika ni kufarijiana tu! Eti za mwizi ni 40, kwani si unaweza kuiba mara 30 ukatoka ukaacha?kuleni wake za watu ila kama mme wake ni muha, mfipa, mkinga, mkerewe au msukuma bas UJUE SIKU ZAKO ZINAHESABIKA
Huko ni mara tu huko,,,,,, ANYWAY MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTITangu nishuudie mauaji ya kikatili ya jirani yangu, chanzo kikiwa ni wake za watu..
Jamaa alinyongwa,akatolewa macho,akakatwa ulimi kisha akatupwa kwenye kisima cha maji..mtu anaeitwa mke wa mtu hata awe na shepu ya aina gani nakaa nae mbali mita 100
Mke wa mtu ni zaidi ya hatari
Ni ww nn mkuuu angalia usije ukaishia segereamume engineer na anasafiri safiri hebu ongeza nyama kidogo kanisa gani hilo mnasali.
ππππππ Uzinzi jau sanaKwa bahat mbaya akat amenifumania tunapambana nilimsukuma ajapiga kisogo kwenye ubao wa kitanda akakata moto alipokuja kuzinduka adi leo hii hana mtandao hakumbuki chochote kile katika maisha yake
...bila kusahau Mkuryakuleni wake za watu ila kama mme wake ni muha, mfipa, mkinga, mkerewe au msukuma bas UJUE SIKU ZAKO ZINAHESABIKA
Acha utoto mimi huwa naibugia kabisa mdomoni Kisha anashusha vitu vyake kabla sijamdumbukiza dula headopenmimi kiukweli nina kinyaa kikali sana siwezi gonga mke wa mtu naona ni uchafu tu
Ubarikiwe ndugu. Hao vijana wengine wanafikiri ni umaarufu. Wanasahau kuwa muosha huoshwa. Wataoa, nao yatawakuta.mimi kiukweli nina kinyaa kikali sana siwezi gonga mke wa mtu naona ni uchafu tu