Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Subiria moto siku ya kiama utageuzwa kuni mkuu..sijaoa ila mke anauma eee
 
Tangu nishuudie mauaji ya kikatili ya jirani yangu, chanzo kikiwa ni wake za watu..
Jamaa alinyongwa,akatolewa macho,akakatwa ulimi kisha akatupwa kwenye kisima cha maji..mtu anaeitwa mke wa mtu hata awe na shepu ya aina gani nakaa nae mbali mita 100

Mke wa mtu ni zaidi ya hatari
 
Well said,
mtu yeyote anaetembea na mke wa mtu hajatumia akili,

Hasara ni nyingi kuliko faida
Sio suala la kujivunia
 
mume engineer na anasafiri safiri hebu ongeza nyama kidogo kanisa gani hilo mnasali.
 
Kisa kama hiki kiliwahi tokea Igunga...
 
Huko ni mara tu huko,,,,,, ANYWAY MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…