Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Inshu za kuzaliana huwa zinaniboa sanA,mkulane tu inatoshaWake za watu ni simple sana kula hasa hawa wenye marejesho ya Vicoba na kausha Damu...
mi kuna mmoja kaahidi kunizalia ila kasema tutunze SIRIπ π π
jamani wanawake heshimuni ndoa zenu, hakuna mwanaume rijali anaekwepa mtego wa mbususu
Mmh kwa mdada mbona ni rahisi sana kujulikana kama ni mke wa mtu or not, usihisi hata kama kuna limitations anakupa mfano muda wa kuwasiliana na wewe, utakapomuhitaji, yaani usihisi kabisa ? Kwa hiyo case yako labda kwa sababu alikua mbali, ila hawa ambao wanaishi na waume zao hapa hapa mmhKuna time huwa hamsemi kama ni wake za watu mimi kuna mtu nimejua juz kuwa ni mke wa mtu nimefumua sana jamaake alikuwa south kusoma karudi ndio anasema ye mke wa mtu
Sina siri, nitakamatwa tu. Alafu kuwa na wapenzi wengi naona ni kujihangaisha tu mtu uanze kuishi kwa kujificha yote hayo ya nini?Kwa hiyo ukiamua kuwa na mmoja ni mmoja tu? [emoji848]
Wenzako hawawezi wanakuwa na tamaa tunashare sana mbususu zao na mabwana zao kwa siri
Kuna namna mwanamume aliyemtongoza alikosea tangu mwanzo walipoanzaMwanamke akianza kuliwa nje lazima atagundulika. Wewe utajidai humtafuti usiku ajabu yeye ndio akawa anakutafuta. Utadakwa tu labda mumewe aamue kupotezea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua Madam muda mwingine vijana wanaona bora watoke na mke wa mtu wanaweza kuwa salama zaidi kuliko kutoka na single ambaye anamsururu wa wanaume zaidi ya watano na wote wanachakata mbususu moja. Mke wa mtu anaaminika anachakatwa na mumewe tu ambaye anajulikana sasa single ni mtihani.Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa[emoji848]
Kwa sisi kuwa na manzi wengi ni sawa kwa sababu mnatofautiana utamuAlafu kuwa na wapenzi wengi naona ni kujihangaisha
Bas mchague wanawake wasio na mabalaa. Wake za watu kile ni kifo.Kwa sisi kuwa na manzi wengi ni sawa kwa sababu mnatofautiana utamu
Nyie ndo mafundi wa kuwapanga wanaume utakuta mwanamke ana wanaume hata 7 na anajua kuwapanga na wote wanachakata mbususu hamjuaniSina siri, nitakamatwa tu.
Sasa unakuta naye ana ladha yake af anakupea yoteBas mchague wanawake wasio na mabalaa. Wake za watu kile ni kifo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakua na uhakika gani kama huyo mke wa mtu katulia na mumewe tu? Kuna wake za watu ni nuksi kuliko hata hao wasioolewa. Shauri zao.Unajua Madam muda mwingine vijana wanaona bora watoke na mke wa mtu wanaweza kuwa salama zaidi kuliko kutoka na single ambaye anamsururu wa wanaume zaidi ya watano na wote wanachakata mbususu moja. Mke wa mtu anaaminika anachakatwa na mumewe tu ambaye anajulikana sasa single ni mtihani.
Huo ni mtazamo wako. Wengine hatuwez biashara ya kuwa na msururu.Nyie ndo mafundi wa kuwapanga wanaume utakuta mwanamke ana wanaume hata 7 na anajua kuwapnga na wote wanachakata mbususu hamjuani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa.Sasa unakuta naye ana ladha yake af anakupea yote
Wanaume pia mnatofautiana sana utamu, kuwa na makando kando ni hulka tu.Kwa sisi kuwa na manzi wengi ni sawa kwa sababu mnatofautiana utamu
Hao unajua kabisa kazi yao, ukitoka anaingia mwingine muda huo huoIla malaya wa kujiuza barabarani fresh tu au sio
Daaaaah π π noma sanaungesema mme wa mtu
Huyo si GENTAMYCINE huyo au ni nani mwingine π€Kuna jamΓ a aliingiziwa vitu sehemu za haja kubwa sababu katembea na mke wa mtu huko Kawe akakatwa na masikio, wajamaa wakaja humu kufungua kesi wanaanza kumtetea eti kwamba kaonewaingine hajatendewa haki, hivi unaenda kulala na mke wa mtu nyumbani kwa nyumba aliyoijenga Mwanaume mwenzio anakufuma unategemea nini km sio kifo au kufanywa vitendo vya ajabu ?