Ulisikia muziki huu kwa mara ya kwanza Ukiwa wapi?

Ulisikia muziki huu kwa mara ya kwanza Ukiwa wapi?

Jose hakuwa akimiliki any disco 82/83, japo I was still a kid lakini kulikuwa na number of young dudes(na Jose akiwemo) waliokuwa wakipiga kwenye houseparty za zama hizo. Unajua zile vyombo vya nyumbani lakini ndiyo vinatumika kwenye home yards au summits na mna-enjoy sana tu.
Back to the topic: Robert 'Kool' Bell, JT and others(Kool and the Gang) enzi za hizo wengine tulikuwa watoto hata houseparty hizo labda kuzingulia madirishani but I used to love music na niliimba in my own funny ways lmao. Childish yeah but it was all vibe.

Pale Morogoro Bilibi ilikuwa inapiga kwenye kumbi za starahe, siyo majumbani, na DJ wake mkuu (nimesahau jina lake) alikuwa na undugu na DJ wa Clouds (au Mawingu) ya Dar es Salaam ambaye nadhani alikuwa ni Joseph Kusaga.

Yule DJ mkuu wa Bilibi alikuwa anaitwa Justin; alikuwa anatoa nyimbo kali kutoka Clouds (Mawingu) pale Dar na kuzipeleka Morogororo.
 
Vile vile mwishoni mwa miaka ya themanini na mwanzoni mwa miaka ya tisini kulikuwa na kundi la muziki la wataliano weusi lilijulikana kama "Black Box" lilitoa nyimbo za spidi kubwa sana wakiimba kwa lafudhi ya kimarekani nao wakazaniwa kuwa ni wamarekani weusi lakini wapi. Kati ya nyimbo zao zilzohit sana ni "Ride on Time" na "Everybody Everybody." Miaka hiyo huo wimbo wa "Everybody Everybody" ulikuwa unatumiwa sana kuwakaribisha maharusi kwenye kumbi hapa Dar. Kitu cha Kuchekesha ni kuwa huyo msicha unayemuona kwenye vdeo akiimba, jina lake ni Katrin Quinol. Yeye siye alieimba wimbo huo ila alikuwa akiigiza (lip-sync) tu wakati wa kushuti video, lakini ndiye aliyepata sifa sana.


View: https://www.youtube.com/watch?v=M0quXl_od3g



View: https://www.youtube.com/watch?v=18N2k1TBBRE
 
Wimbo huu ulitoka nikiwa Primary School; tafsiri yake kamili siijui hadi kufikia kuruka ukuta. Hebu toa tasfri ya kwako.

Bendi ilikuwa inaitwa Vijana jazz ilikuwa inamilikiwa na TANU Youth League ikiongozwa na Hemedi Maneti aliyefariki mwaka 1990 kwa kinachosemekana ni ukimwi.


View: https://www.youtube.com/watch?v=aaRGixRNVqA
 
Listening to new day by Celine Dion, damn she had a magic voice.

My play list, *
new day
My heart will go on .
Fool again
Queen of my heart
Selina alikuwa mimbaji mzuri sana. Alitoa nyimbo nyingi sana nzuri lakini wimbo nilioupenda na hata yeye mwenye ailiwahi kukiri kuwa ndio wimbo wake mzuri na allishindwa kuuimba kwa mara ya pili kwa vile ulikuwa unatumia octaves tatu ni ule wa "Its all coming back to me Now"


View: https://www.youtube.com/watch?v=j8fHNdrZTSI
 
Selina alikuwa mimbaji mzuri sana. Alitoa nyimbo nyingi sana nzuri lakini wimbo nilioupenda na hata yeye mwenye ailiwahi kukiri kuwa ndio wimbo wake mzuri na allishindwa kuuimba kwa mara ya pili kwa vile ulikuwa unatumia octaves tatu ni ule wa "Its all coming back to me Now"


View: https://www.youtube.com/watch?v=j8fHNdrZTSI

Octaves ndio nini,kama hutojali? Katika nyimbo za Celine mwenyewe naupenda huu sana.
 
Octaves ndio nini,kama hutojali? Katika nyimbo za Celine mwenyewe naupenda huu sana.
Hili ni swali gumu sana. Ila elewa kuwa kwenye muziki sauti zimepangwa hivi "do, re, mi, fa, so, la, ti, do" kukamilisha octave moja. Sasa wimbo huo una hizo octaves tatu kuanzia sauti ya chini sana hadi ile ya juu sana. Niliwahi kuanzisha thread hapa kuelezea misingi ya utunzi wa muziki ila nikakosa muda wa kuimaintain hata sijui thread hiyo iko wapi siku hizi.
 
Kool & the Gang : "Let's Go Dancin' (Ooh La La La)"

Mimi niusikia kwa Mara ya kwanza Morogoro mwaka 1982/83 kwenye Bilibi Disco ambayo nadhani ilikuwa pia inamilikwa na Joseph Kusaga. Ulikuwa ikirudiwa rudiwa sana kwa vile wat waliupenda sana


View: https://www.youtube.com/watch?v=JWuoGZAz94c


World cup ya mwaka 1994, kila mechi zilipoisha ulikuwa unapigwa!! Kila niusikiapo kumbukumbu ile hunijia.

Kabla ya mechi watu wamejaa uani kwetu kuangalia mpira kwa upendo mkubwa, wengine walisafiri umbali mrefu kuja kuangalia mpira na hata hatuwajui, kwangu mie ilikuwa ni upendo wa hali ya juu sana.
 
Back
Top Bottom