Ulitegemea nini kwenye ndoa ila baada ya kuingia mambo yakawa tofauti?

Sorry Mkeo ana umri gani?
 
Pesa inaleta furaha kwa familia sana tu ni kama chumvi kwenye mboga
Siyo kwa muda wote!! Unaweza kumpa pesa na akatafuta ki-ben ten kwa pesa yako hiyo hiyo!! Kuna mtu namkumbuka alikuwa na pesa za kumtosha kabisa. Akaajiri dereva binafsi wa familia!! Asubuhi dreva wake anampeleka kazini na jioni anamfuata. Dreva alikuwa anarudisha gari nyumbani baada ya kumpeleka boss wake kazini. Akiwa nyumbani dreva kazxi yake ni kumwendesha mama popote anapotaka kwenda, saloon, sokoni, madukani, nk. Kilichotokea huyu dreva ndo akawa kipenzi cha mama!! akipewa pesa na mumewe naye anamgawia huyu kijana!!! Hatimaye mzee alikuja kuambiwa kinachoendelea, naye akaamua kutumia utu uzima akamezea tu, na kujifanya kusema mnamsingizia mke wangu!! hapo pesa yake imemletea furaha au?
 
I thought mbususu would available any time t, niliwaza kitoto sana. Upo kwa ndoa lakini unaweza kunyimwa tu kama kawaida na ukalala na ugwadu wako aiseee!

I thought I was marrying her, kumbe nimekusanya familia mbili na yangu ya tatu, noma sana.
 
I thought mbususu would available any time t, niliwaza kitoto sana. Upo kwa ndoa lakini unaweza kunyimwa tu kama kawaida na ukalala na ugwadu wako aiseee!

I thought I was marrying her, kumbe nimekusanya familia mbili na yangu ya tatu, noma sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji850]
 
Lakin mwisho wasiku maisha hayafanani na Mhanga hawez kusema ukweli makosa yake had wakafika huko Kila mtu hajakamilika
 
I thought mbususu would available any time t, niliwaza kitoto sana. Upo kwa ndoa lakini unaweza kunyimwa tu kama kawaida na ukalala na ugwadu wako aiseee!

I thought I was marrying her, kumbe nimekusanya familia mbili na yangu ya tatu, noma sana.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wape vijana solution wakinyimwa wafanyajeπŸ˜€πŸ˜€
 
Wanaume wengi huwa hawafahamu kitu muhimu sana anachokikosa mwanamke ndani ya ndoa!! Na kwa kuwa hawakifahamu huwa hawawezi kuwapatia hicho kitu wanachokokosa!! Wanachokosa wanawake walioolewa ni kutongozwa na mwanamume ampendaye!! Ujue kuwa wakati ulipokuwa unamtongoza kabla ya ndoa alikuwa anafurahia sana mtongozo wako!! Je kwa sasa huwa unamtongoza? mwanamke yeyote yule anapenda sana kutongozwa!! hata kama yule anayemtongoza hampendi na hamkubali!! Ile kutongozwa tu inamhakikishia kuwa anavutia na anapendwa!! Wanaume msiache kuwa mnawatongoza wake zenu hata kama mko kwenye ndoa!! tongoza kiaina ili upate mbususu!! toa vizawadi hata kama ni vidogo vidogo ili aendelee kujisikia kuwa anakuvutia!! Kukunyima mbususu maana yake ni kwamba anataka umtongoze!! Ukihitaji huduma yake usisubiri wakati mmeenda chumbani!! anza mapema kmwonyesha dalili kuwa unamhitaji, ongea naye vizuri, mpapase papase vizuri huku ukimwambia jinsi anavyokuvutia, masaa mengi tu kabla ya wakati!! mtoe out hata mahali simple tu mkapata hata soda tu!! Ukiwa naye mwambia kumbe huwa unamiss vitu vizuri sana unapokuwa haunaye karibu!! mnaporudi nyumbani shikaneni mikono ili ajione ni malkia wako mbele ya jamii!! Ukifanya hayo halafu akakunyima mbususu njoo hapa utuambie!! Matokeo yake yatakuwa makubwa sana kuliko unavyofikiria!!
 
Kama mwanamke hana hisia na wewe hata umvizie kwenye ovulation hatokupa kei, na huo ute unaweza kukata kwa muda, acha kabisa mwanamke akikuwekea kinyongo kwenye mapenzi ndo imetoka hiyo, yupo tayari akajikojoze kwa kidole na wewe ukiwa umelala kando yake
 
That lady she's never loves you,women likes sex vividily to man has feeling with.You've too much expectation on marriage.You 'll struggle on that union untill your last breath!
 
Maombi yanaendelea na unapewa kulingana na mood yake sio yako. Upwiru kukaba koo ni uhakika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke kulipa K yake anaangalia mambo matatu

Mood
Muda
Mode

Kimoja kikikosekana hapo ujue hupati kitu, wajanja tunaanza na MODE tunahakikisha mode inakua activated kwa ku supply miamala ya uhakika ,hayo mengine ya mood na muda ataya set mwenyewe

Asikudanganye Mtu kwa dunia ya sasa hakuna mwanamke mwenye msimamo ,kama huamini jaribu kutumia hii mbinu ya ku activate mode yake ,lazima umle tuu
 
Kosa lako liko hapo namba 5. Yaani umeoa ili umfanye huyo mwanamke kuwa business partner badala ya kumzalisha haraka haraka? Mwanamke kazi yake kuu kwenye ndoa ni kuzaa watoto na kuwalea... hata hela hatakiwi kutafuta sema tu dunia imebadilika. Anatakiwa afanye kazi za nyumbani tu. Kuokoa hiyo ndoa yako hakikisha unampa mimba haraka iwezekanavyo.
 
Huyu mleta mada ni mjinga sana. Mwanamke anamwambia anataka wazae yeye anadai yuko bize kutengeneza maisha.. kulikuwa na haja gani ya kumuoa?
 
Hivi mbono humu mnakosoa sana ndoa lakini mtaani watu wengi wameoa mpaka nawaza sijui nioe tu😁
Mtaani watu hawapendi kuonekana kama wanapitia magumu ktk ndoa ila wengi wanavumilia. Hapa kuna utambulisho wa bandia watu wapo huru kuongea ukweli. Usipuuze hata moja aliloandika mtoa mada kabla hujaingia huko.
 

Yani alipofika Sijui ana uwivu nae nimejikuta namuonea huruma sasa,huyu atakufa mapema asipo badilika
Kumbe kuna wanaume weak kiasi hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…