Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Mm nilikuwa nawasubiri nyie mliobobea 😀Nasubiria kujifunza toka kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nilikuwa nawasubiri nyie mliobobea 😀Nasubiria kujifunza toka kwako
That is life am on now brooKweli kabisa, usione watu wanakunywa Sana pombe ukadhani wanapenda muda mwingine ni kupoteza time ili warudi saa 6 usiku kwao wafikie kulala tu
Wewe oa tu kama huyu Jamaa siunaona anapitia changamoto lkn hajaachana na mkeweHivi mbono humu mnakosoa sana ndoa lakini mtaani watu wengi wameoa mpaka nawaza sijui nioe tu[emoji16]
Kabisa siwezi chomoka na nimeshakuwa mtumwaaDuh Mungu akusaidie,furaha yako umemkabidhi mkeo na ameshajua,utateseka sana pole
Kweli kabisa Wanawake wanataka harusi na Sio ndoa
Hapo ndio huwa tunakamatikaTrue thus kwenye uchumba watu usificha sana Tabia ili wasichunguzwe madhaifu yao
Mpwa Leo miwa day😀😀😀Mkuu samahani kwa nitakayoyasema hapa na siombei yakutokee lakini kama hapo ndipo huyu mwanamke kakufikisha, basi utakuja kufa mapema sana aisee. Na kitakachokuua ni presha au mshtuko wa moyo. Pole sana mkuu.
Yours is a typical case kwa nini wanaume huwa tunakufa mapema...
Kwa hali uliyoieleza sikushauri uoe mke wa pili, labda umuache huyo uoe mwingineBro mke na mpenda ila asaivi najipanga nioe mke wa pili na nita muhudumia.
Huku Wana wanakusanua live 😂😂That's is why i love Jf
😂😂😂😂 Kama mazuri vileKabisa siwezi chomoka na nimeshakuwa mtumwaa
Zije na stori za hiv, sio negative tuu.Nilioa kipindi ambacho kwanza sikuwaza kama nitaoa mapema kwa sababu nilikua nishapata mtoto kipindi ambacho bado nilikua najitafuta na maisha yaani katika 24+ nilikua nishapata mtoto nikasema sasa nitulie nisake maisha mipango ya kuoa nikasema mpaka ikifika 30+ huko.
Nikiwa katika 27+binti niliezaa nae akawa amekomaa nimuoe kwa sababu tulikua tunaishi pamoja,amani ndani hakuna tena ukichelewa kurudi kelele,ukiwahi kurudi kelele,ukifanya hivi ni shida na kelele mwanzo mwisho,nikiwa nawaza nimuoe au nimpige chini mzee siku hiyo akanipigia sim maongezi yetu yakawa hivi baada ya salam
Mzee:unaishi na mtoto wa watu na tayari amekuzalia mtoto vipi una mpango nae gani
Mimi:Kwa sasa sina mpango wowote tunaishi tu
Mzee:ili uwe mwanaume kamili lazima uwe na mipango na maamuzi
Mimi:sawa nimekuelewa
Mzee:najua umenielewa ila hujanielewa kama ninavyokusudia
Mimi:kwa nini
Mzee:kama bado unamuhitaji huyo mwanamke fanya mpango ndani ya mwaka huu umuoe na pia kama humuhitaji fanya linalowezekana ndani ya miezi mitatu ijayo uwe umeshaachana nae
Maongezi yangu na mzee yakaisha hivyo hapo ilikua mwezi wa nne
Basi baada ya kipindi kupita ndani ya huo mwaka nikaja kumuoa
Kiukweli baada ya kumuoa mambo mengi sana yalibadilika mpaka nasema kumbe nisingemuoa huwenda nisingepata kama yeye tena
1)kuhusu mbususu hapa nilipewa yote bila kubaniwa tofauti na kipindi kile,ilikua ukitaka mbususu unaskia nenda kwa huyo aliekutumia sms,mara mtoto bado mdogo hivyo ikawa inapelekea kua na mpango wa kando tofauti tulivyopata wa mtoto pili kila kitu kiliwezekana
2)alivyojifungua mtoto wa kwanza alikua hafui nguo zangu akidai kazi nyingi hawezi au amechoka nami nikawa najifulia zangu kwa kua kufua kwangu halijawahi kua tatizo mpaka leo ila baada ya kumuoa mambo yalibadilika hivyo vyote akawa anavifanya yeye mwenyewe hata tulipopata mtoto wa pili nikawa namuonea huruma nimtafutie msaidizi wa kazi lakini alikataa akawa anafanya mwenyewe mpaka leo na hapo sio mama wa nyumbani kama mwanzo kuna ka kabiashara nimemfungulia
Yapo mengi ambayo alikua ananikwaza ila baada ya kumuoa mengi sana alibadilika tena bila hata ya kukaa chini na kumwambia mpaka wa leo nashindwa kuelewa ulikua ni utoto au alikua anafanya kusudi basi nikikaa kijiweni au nikisoma makala mitandaoni kama hivi nikiskia mikasa ya watu wanavyoishi na wake zao au mwingine akikusimulia changamoto umsaidie mawazo ya kiushauri unashindwa hata uanzie wapi maana kwako havipo kabisa, mpaka washkaji wanahisi wewe ni msiri sana kwamba ww hukutani na changamoto ktk ndoa yako muda mwingine unatunga stori ili mradi waone wote mnapitia misala lakini kwako haipo kabisa.
Naweza sema nilitarajia kutana na zile kelele lakini mambo yamekua tofauti kabisa na ndio maana namuona wakipekee sana sijui huko mbele ya safari,miaka 10 sasa kwenye ndoa mambo bado ni mazuri
Yapo Sana hayo,Hivi kbs m/mke nimekuoa alafu nakuomba uchi unanijibu hujiskii tu kukwichikwichi [emoji23] aisee huo ni ujeuri
Heeeh kumuacha sio shida shida nikimkuta mwanaume ambae atakua nae baada ya kumuacha.Huyo ndo ntajua ni sumu kwangu,Kwa hali uliyoieleza sikushauri uoe mke wa pili, labda umuache huyo uoe mwingine
Acha tuu ndoa ni shida zisikie tuu😂😂😂😂 Kama mazuri vile
😃😃😃😃 Mbona unamuuliza hivyo?Sorry upo kwenye ndoa?
Daah mkuu umefika mbali, huenda mke wako anajua udhaifu wako kuwa unampenda kupitiliza anatumia silaha hiyo kukuangamizaHeeeh kumuacha sio shida shida nikimkuta mwanaume ambae atakua nae baada ya kumuacha.Huyo ndo ntajua ni sumu kwangu,
😂😂😂😂 nimetubu mkuu
Complex creature[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kinaweza kukuonyesha wrong signals kwa makusudi ili akuingize chakaKatika harakati za kusoma psychology, nilikutana na kipengele kikielezea kwa nini wanasaikolojia huwa wanatumia wanyama katika majaribio yao na si wanadamu
Mfano mzuri, experiment ya mbwa na kengele (conditional reflex action - kwa wanabailojia)
Sababu wakasema " Human being is a intelligent and complex creature, He can change any time whenever he discovers that he is investigated.
Binadamu ni kiumbe chenye akili sana, kinaweza kubadilika muda wowote endapo kitagundua kwamba kinachunguzwa
😃😃😃 Vijana inabidi walijue hili kabla ya ndoaI thought mbususu would available any time t, niliwaza kitoto sana. Upo kwa ndoa lakini unaweza kunyimwa tu kama kawaida na ukalala na ugwadu wako aiseee!
I thought I was marrying her, kumbe nimekusanya familia mbili na yangu ya tatu, noma sana.